Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna watu walimbeza sana alipokuja

Wengine walisema ataishia kucheza fullback

Nadhani sasa wamemuelewa klopp
Aisee imenikumbusha kipindi anatua hakuanza kucheza immediately lakini akapata kucheza kule Bayern ugenini na jamaa kweli hajawai kurudi nyuma. Kawazima mdomo ma critics wote.

Hard work inalipa muda wote.

YNWA
 
Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg
 
Mpira ni biashara, hawa kina salah mane and firmino tumewatumia kwa muda mrefu sana... mpaka wapinzan walishatukariri tunachezaje.. mda fulan ni lazima ukubali tu kuuza mchezaji wako mmoja mkubwa ili wengine wapate nafasi, tusingemuuza torres naiman asingesajiliwa Suarez.... hawa watatu hawaumizi kwa kuwa ukiangalia umri wao soon wataanza kutokupa kile unachotaka... kujicommit nao kwa mkataba wa mda mrefu ni risk pia.. Now tukubali tu firmino si bora kuliko jota.. ila kipnd firmino akiwa onform uwez mfananisha na jota... mane hana consistency ndio ni mpambanaj lakn anamakosa mengi kwa sasa... salah kinachombeba ni mzuri ingawaje age imeenda ila bado anaubora ule ule... binafsi nawaelewa FSG maana hata ningekuwa mimi ningefanya wanachofanya.. Diaz ni mchezaj mzur sana nae atahitaji nafasi kuprove hilo..kama minamino angeeingia kwenye mfumo vzur naiman jota asingesajiliwa.
I understand you.

But, football business huwa ina-generate good money & profit kutokana na maendeleo ndani ya pitch, siyo nje ya pitch, i mean you can accumulate good deals/sponsors/partners kama team inafanya vizuri ndani ya uwanja (trophies), because team yeyote inayofanya vizuri ndani ya pitch huwa inabeba vitu vitatu muhimu sana katika football business;

1. Star Power (Players & Manager)
2. Global appeal
3. Trophies

football ni business, but to make it kuwa profitable business unahitaji hivyo vitu vitatu, na vyote vinategemeana na vyote vinatokana na mafanikio ya ndani ya PITCH, na ili upate mafanikio ndani ya pitch itabidi uwekeze katika players, tengeneza players ambao watakuwa na star-presence, mfano at LFC, siyo kila mtu anaangalia au anafatilia team kwasababu ya ushabiki, kuna watu wanaangalia LFC kwasababu ya Salah, VVD, Mane, TAA, Alisson, Thiago, Fabinho, Firmino etc, hii ni star-power, na kuitengeneza inachukua time, especially kwa Club yetu ambayo inajiendesha kwa faida zake yenyewe, we should respect this.

I mean, tulipata a nike deal kwasababu ya our global appeal, ambayo ilikuja kutokana na trophies+star-power ya wachezaji tulionayo, FSG took over in 2010, but value ya Club imekuja kuongezeka maradufu after 7 years walizokuwepo at the club, na hii ni baada ya Klopp & star players aliowatengeza kubadilisha kabisa upepo wa LFC, siku hizi kila siku Club inapata new business partners all over the world, ni kwasababu ya star-power na global appeal iliyotengezwa na team kufanya vizuri ndani ya uwanja, LFC ni top 3 kati ya clubs zinazo angaliwa zaidi duniani, few years ago haikuwa hivi, LFC haikuwa na strong base Africa, but now ipo kubwa sana sababu ya Salah, Mane & Keita, you can sell everything related to LFC kwa wa-Misri, not because they love the club, but kwasababu hero wao anacheza LFC, same to Mane in Senegal & Keita in Guinea.

So yes, we can sell Mane & Salah, but can we replace their star-power kwa mara moja? (achana na output yao uwanjani), tunaongelea biashara, utd can pay Ronaldo 500k p/w sisi hatuwezi hiyo, Chelsea can buy any player for £100m sisi hatuwezi hiyo, City can buy players like Grealish for 100m na kumfanya kuwa rotational player, sisi hatuwezi hiyo, sisi tunanunua rough diamonds kwa £5m-£45m (inflated market) na kuzigeuza kuwa diamonds safi (Mane, Salah, Firmino, Fabinho, Jota, Diaz, Robertson, Coutinho, Gomez, Suarez, Torres etc), Under Klopp ni wachezaji watatu tu wamevuka mark ya £50m (VVD, Alisson, Keita) and we bought VVD +Keita for Coutinho money, and we had to choose Alisson over Fekir because budget ilikuwa tight (Fekir ni one of La Liga best players now na his knee is fine), FSG wana-operate kwenye tight budget, Diaz will replace Mane eventually, but ingekuwa ni Utd/City/Chelsea wangem-replace Mane na mchezaji mwenye star-power kama yake.

If you lose Salah/Mane/Firmino in the same window, unakuwa unapoteza hela nyingi sana kwenye upande wa commercials/deals/sponsors, Nike wanawekeza LFC kwasababu kuna wachezaji wakubwa ambao watawauzia jerseys zao, juzi zimetoka takwimu, Salah anakimbizana na kina Messi/Ronaldo kwenye mauzo ya Jersey, sasa unamuuza Salah, then unamsign Bowen ili am-replace who will buy Bowen shirts outside of scousers?

Sadio Mane, amegenerate a lot of Money for this club na bado ataendelea ku-generate a lot of money, because bado ana-play big part kwenye competition zote tulizopo, na kuna jinsi ya ku-phase out players, angalia City, Madrid, Bayern wanavyofanya, na ndio maana hizi team bado zipo juu sana kimpira, angalia City walivyowa-phase out kina Aguero, silva, kompany etc, na angalia sahiv wanavyom-phase out Fernandinho, imemchukua Pep 2 seasons kufanikiwa kum-mould Rodri, it took Pep years kumruhusu Aguero baada ya ku-perfect style ya kucheza bila recognizable striker, Pep knew itahitajika hela nyingi sana kupata mchezaji ambaye ataweza ku-replace output ya Aguero, na alikuwa haoni ST wa maana na kwa bei zilizopo, and thats why hata Aguero alivyoondoka, Pep hakuwa na haraka ya kukubali demands za Levy, kama angekuwa desperate angelipa 100m for Kane, na siyo kwamba kina Mansour wangeshindwa kulipa 100m for Kane, but Pep hakuwa desperate.

Sasa, sisi hatuna hela ya kununua kina Haaland or Mbappe, tuna hela ya kununua kina Diaz & Jota, na kuwafanya kuwa stars, we bought Mane & Salah kila mmoja kwa fee isiyozidi £40m, na wamekuwa global stars kupitia LFC, na ndiyo hicho tunacho-hope kwa Diaz na Jota, its not like we can sell Salah today na kukubali kumpa Mbappe 400k p/w, hatuwezi, hatuwezi ku-replace like for like, and it wont suprise me kama Klopp atamgeuza Fabio kuwa our false 9 (Firmino replacement), thats how we operate.

Angalia EPL, na ntajie Left Wingers watatu unaodhani ni bora zaidi ya Mane now, you cant just sell him because you want to, teams zote ambazo zimekaa on top muda mrefu huwa zina-culture ya ku-keep important players wao kwa muda mrefu, lets say msimu ujao Diaz atakuwa anaanza, dont you find it breathtaking kuwa na mchezaji kama Mane akitokea bench? kuliko kina Minamino au Gordon?, City kina Mahrez wanatokea bench, Chelsea kina Pulisic sometimes wanatokea bench, and you wonder why Tuchel amebeba important trophies kwa muda mfupi?

Jana against Burnley, the midfield was struggling to contain Sean Dyche team (He's a LFC fan but he hates us, i dont know why) and soon baada ya half-time, Klopp akaangalia bench lake akamuona Thiago, akamuita akamwambia ingia ndani humo control the game and kill their tempo, na alivyoingia Thiago, si mmeona Burnley walivyopotea, sasa you think Milner, Ox, Morton etc wangeweza ku-supress momemtum ya Burnley ambao wapo kwao na wanapigania maisha yao ya EPL? kila siku tunasema Pep anatumia hela nyingi, No, ni kuwa ana luxury ya kuwa na quality depth, ukiwa quality depth unakuwa na uwezo wa kuwa na plans A, B, C na varieties nyingi sana uwanjani, jana ile game ya burnley tulikuwa tunapotea bila ile sub ya Thiago (point blank), jana Captain was struggling, Klopp reacted fast, but kama asingekuwa na reliable CM, angeamua ku-gamble tu na Captain mpaka mwisho, ndiyo ungekuta tunalalamika humu kuwa Klopp hapendi kufanya subs, kumbe haliamini bench lake.

Tumekuwa tukililia quality squad depth, na sasa ndiyo hii tunaishuhudia, we should embrace it.

At one point LFC ilikuwa na kit sponsor Warrior, Nike/Adidas walikuwa wanampa deals SG tu, hakuna kampuni kubwa iliyokuwa inataka kuwekeza kwenye team yetu at that time, now we get these big deals because tuna players wenye global appeals.

Man utd, can still attract sponsors because kina Glazers wanauwezo wa kununua kina Sancho, Varane etc na ku-offer big wages kwa global star kama Ronaldo, sisi HATUWEZI, we wanted Sancho kabla ya Utd, na aliongea mpaka na Klopp, but tulifeli kwenye Fee, tukaja na gear ya kuomba camp ya Sancho itupe time, football spies walivyopata hizo fununu, kwamba Sancho wants to leave Dortmund, waliwapenyezea Utd, na Utd walichofanya ni ku-present a big wage package to Sancho ambapo ilikuwa ni easy kwa kijana kama sancho kukubali (£350k p/w) nobody is turning that offer down, Luis Diaz who i believe will turn out to be a BETTER SIGNING than Sancho, mshahara wake ni £57k p/w at LFC, this is how we operate, and trust me Klopp will mould Diaz kuwa a world beater.

Na kwenye post yangu, nilisema, give Mane & Firmino atleat 2 years, klopp will leave in 2024, Kama summer hii tuta-sign understudy mwingine, let them get moulded by Klopp, ili akiondoka wawe tayari ku-fire under the new manager, bila kuathiri the nature of our business.
 
I understand you.

But, football business huwa ina-generate good money & profit kutokana na maendeleo ndani ya pitch, siyo nje ya pitch, i mean you can accumulate good deals/sponsors/partners kama team inafanya vizuri ndani ya uwanja (trophies), because team yeyote inayofanya vizuri ndani ya pitch huwa inabeba vitu vitatu muhimu sana katika football business;

1. Star Power (Players & Manager)
2. Global appeal
3. Trophies

football ni business, but to make it kuwa profitable business unahitaji hivyo vitu vitatu, na vyote vinategemeana na vyote vinatokana na mafanikio ya ndani ya PITCH, na ili upate mafanikio ndani ya pitch itabidi uwekeze katika players, tengeneza players ambao watakuwa na star-presence, mfano at LFC, siyo kila mtu anaangalia au anafatilia team kwasababu ya ushabiki, kuna watu wanaangalia LFC kwasababu ya Salah, VVD, Mane, TAA, Alisson, Thiago, Fabinho, Firmino etc, hii ni star-power, na kuitengeneza inachukua time, especially kwa Club yetu ambayo inajiendesha kwa faida zake yenyewe, we should respect this.

I mean, tulipata a nike deal kwasababu ya our global appeal, ambayo ilikuja kutokana na trophies+star-power ya wachezaji tulionayo, FSG took over in 2010, but value ya Club imekuja kuongezeka maradufu after 7 years walizokuwepo at the club, na hii ni baada ya Klopp & star players aliowatengeza kubadilisha kabisa upepo wa LFC, siku hizi kila siku Club inapata new business partners all over the world, ni kwasababu ya star-power na global appeal iliyotengezwa na team kufanya vizuri ndani ya uwanja, LFC ni top 3 kati ya clubs zinazo angaliwa zaidi duniani, few years ago haikuwa hivi, LFC haikuwa na strong base Africa, but now ipo kubwa sana sababu ya Salah, Mane & Keita, you can sell everything related to LFC kwa wa-Misri, not because they love the club, but kwasababu hero wao anacheza LFC, same to Mane in Senegal & Keita in Guinea.

So yes, we can sell Mane & Salah, but can we replace their star-power kwa mara moja? (achana na output yao uwanjani), tunaongelea biashara, utd can pay Cr7 500k p/w sisi hatuwezi hiyo, Chelsea can buy any player for £100m sisi hatuwezi hiyo, City can buy players like Grealish for 100m na kumfanya kuwa rotational player, sisi hatuwezi hiyo, sisi tunanunua rough diamonds kwa £5m-£45m (inflated market) na kuzigeuza kuwa diamonds safi (Mane, Salah, Firmino, Fabinho, Jota, Diaz, Robertson, Coutinho, Gomez, Suarez, Torres etc), Under Klopp ni wachezaji watatu tu wamevuka mark ya £50m (VVD, Alisson, Keita) and we bought VVD +Keita for Coutinho money, and we had to choose Alisson over Fekir because budget ilikuwa tight (Fekir ni one of La Liga best players now na his knee is fine), FSG wana-operate kwenye tight budget, Diaz will replace Mane eventually, but ingekuwa ni Utd/City/Chelsea wangem-replace Mane na mchezaji mwenye star-power kama yake.

If you lose Salah/Mane/Firmino in the same window, unakuwa unapoteza hela nyingi sana kwenye upande wa commercials/deals/sponsors, Nike wanawekeza LFC kwasababu kuna wachezaji wakubwa ambao watawauzia jerseys zao, juzi zimetoka takwimu, Salah anakimbizana na kina Messi/Ronaldo kwenye mauzo ya Jersey, sasa unamuuza Salah, then unamsign Bowen ili am-replace who will buy Bowen shirts outside of scousers?

Sadio Mane, amegenerate a lot of Money for this club na bado ataendelea ku-generate a lot of money, because bado ana-play big part kwenye competition zote tulizopo, na kuna jinsi ya ku-phase out players, angalia City, Madrid, Bayern wanavyofanya, na ndio maana hizi team bado zipo juu sana kimpira, angalia City walivyowa-phase out kina Aguero, silva, kompany etc, na angalia sahiv wanavyom-phase out Fernandinho, imemchukua Pep 2 seasons kufanikiwa kum-mould Rodri, it took Pep years kumruhusu Aguero baada ya ku-perfect style ya kucheza bila recognizable striker, Pep knew itahitajika hela nyingi sana kupata mchezaji ambaye ataweza ku-replace output ya Aguero, na alikuwa haoni ST wa maana na kwa bei zilizopo, and thats why hata Aguero alivyoondoka, Pep hakuwa na haraka ya kukubali demands za Levy, kama angekuwa desperate angelipa 100m for Kane, na siyo kwamba kina Mansour wangeshindwa kulipa 100m for Kane, but Pep hakuwa desperate.

Sasa, sisi hatuna hela ya kununua kina Haaland or Mbappe, tuna hela ya kununua kina Diaz & Jota, na kuwafanya kuwa stars, we bought Mane & Salah kila mmoja kwa fee isiyozidi £40m, na wamekuwa global stars kupitia LFC, na ndiyo hicho tunacho-hope kwa Diaz na Jota, its not like we can sell Salah today na kukubali kumpa Mbappe 400k p/w, hatuwezi, hatuwezi ku-replace like for like, and it wont suprise me kama Klopp atamgeuza Fabio kuwa our false 9 (Firmino replacement), thats how we operate.

Angalia EPL, na ntajie Left Wingers watatu unaodhani ni bora zaidi ya Mane now, you can just sell him because you want to, teams zote ambazo zimekaa on top muda mrefu huwa zina-culture ya ku-keep important players wao kwa muda mrefu, lets say msimu ujao Diaz atakuwa anaanza, dont you find it breathtaking kuwa na mchezaji kama Mane akitokea bench? kuliko kina Minamino au Gordon?, City kina Mahrez wanatokea bench, Chelsea kina Pulisic sometimes wanatokea bench, and you wonder why Tuchel amebeba important trophies kwa muda mfupi?

Jana against Burnley, the midfield was struggling to cointain Sean Dyche team (He's a LFC fan but he hates us, i dont know why) and soon baada ya half-time, Klopp akaangalia bench lake akamuona Thiago, akamuita akamwambia ingia ndani humo control the game and kill their tempo, na alivyoingia Thiago, si mmeona Burnley walivyopotea, sasa you think Milner, Ox, Morton etc wangeweza ku-supress momemtum ya Burnley ambao wapo kwao na wanapigania maisha yao ya EPL? kila siku tunasema Pep anatumia hela nyingi, No, ni kuwa ana luxury ya kuwa na quality depth, ukiwa quality depth unakuwa na uwezo wa kuwa na plans A, B, C na varieties nyingi sana uwanjani, jana ile game ya burnley tulikuwa tunapotea bila ile sub ya Thiago (point blank), jana Captain was struggling, Klopp reacted fast, but kama asingekuwa na reliable CM, angeamua ku-gamble tu na Captain mpaka mwisho, ndiyo ungekuta tunalalamika humu kuwa Klopp hapendi kufanya subs, kumbe haliamini bench lake.

Tumekuwa tukililia quality squad depth, na sasa ndiyo hii tunaishuhudia, we should embrace it.

At one point LFC ilikuwa na kit sponsor Warrior, Nike/Adidas walikuwa wanampa deals SG tu, hakuna kampuni kubwa iliyokuwa inataka kuwekeza kwenye team yetu at that time, now we get these big deals because tuna players wenye global appeals.

Man utd, can still attract sponsors because kina Glazers wanauwezo wa kununua kina Sancho, Varane etc na ku-offer big wages kwa global star kama Ronaldo, sisi HATUWEZI, we wanted Sancho kabla ya Utd, na aliongea mpaka na Klopp, but tulifeli kwenye Fee, tukaja na gear ya kuomba camp ya Sancho itupe time, football spies walivyopata hizo fununu, kwamba Sancho wants to leave Dortmund, waliwapenyezea Utd, na Utd walichofanya ni ku-present a big wage package to Sancho ambapo ilikuwa ni easy kwa kijana kama sancho kukubali (£350k p/w) nobody is turning that offer down, Luis Diaz who i believe will turn out to be a BETTER SIGNING than Sancho, mshahara wake ni £57k p/w at LFC, this is how we operate, and trust me Klopp will mould Diaz kuwa a world beater.

Na kwenye post yangu, nilisema, give Mane & Firmino atleat 2 years, klopp will leave in 2024, Kama summer hii tuta-sign understudy mwingine, let them get moulded by Klopp, ili akiondoka wawe tayari ku-fire under the new manager, bila kuathiri the nature of our business.
Salute Mkuu 🙋
 
Nakwambia huyu Julian akianza Juni kununua akamleta huyu dogo Anfield aaa tutakua fire sanaaa...

Dogo ana mapafu ya paka mwanzo mwisho anakimbiza na pia msimu huu ameanza kujiamini zaidi awepo nafasi ya kufunga.

Tazama rekodi zake kwa ufupi

Akiwa Westham.
View attachment 2116187

Akiwa Hull City
View attachment 2116189

Hana majeruhi ya mara kwa mara hivyo ni quality addition muhimu sana.

Tazama pia mechi alizocheza si mchezo kama last season alicheza mechi 38 EPL. Msimu huu kashacheza mechi 24 EPl. Huyu sio wa kumuacha kabisa. Na umri sasa miaka 25 hivyo ile dhana ya kununua wachezaji wenye umri wa wastani itakua imezingatiwa.

YNWA
I dont think Jarrod Bowen ni LFC quality, he will cost more than £70m, because of his British passport, limited players kama Jarrod huwa wanashindwa ku-handle pressure ya ku-deliver kwenye most demanding big clubs.

£70m should get you a world class winger, siyo Jarrod.
 
I dont think Jarrod Bowen ni LFC quality, he will cost more than £70m, because of his British passport, limited players kama Jarrod huwa wanashinda ku-handle pressure ya ku-deliver kwenye most demanding big clubs.

£70m should get you a world class winger, siyo Jarrod.
In Klopp i trust the way alivyomleta to this level dogo Robertson is astonishing. Kutoka kushuka daraja na Hull City na kuja kucheza Liverpool with this consistence ni kielelezo tosha kwamba chini ya Klopp tutelage the sky is the limit...

This season Jarrod is hitting those levels and boy work very very hard for the team, typical player wa Klopp.

Bei ya £70m man Bowen aint worth that amount bora kwenda ku import German nimeona we are being mentioned kumfuatilia Serge Gnabry wa Bayern Munich haha huyu angetufaaa proven winner can play wide areas or middle pale mbele ana uzoefu wa EPL kiasi na umri wake safi miaka 26.

YNWA
 
I understand you.

But, football business huwa ina-generate good money & profit kutokana na maendeleo ndani ya pitch, siyo nje ya pitch, i mean you can accumulate good deals/sponsors/partners kama team inafanya vizuri ndani ya uwanja (trophies), because team yeyote inayofanya vizuri ndani ya pitch huwa inabeba vitu vitatu muhimu sana katika football business;

1. Star Power (Players & Manager)
2. Global appeal
3. Trophies

football ni business, but to make it kuwa profitable business unahitaji hivyo vitu vitatu, na vyote vinategemeana na vyote vinatokana na mafanikio ya ndani ya PITCH, na ili upate mafanikio ndani ya pitch itabidi uwekeze katika players, tengeneza players ambao watakuwa na star-presence, mfano at LFC, siyo kila mtu anaangalia au anafatilia team kwasababu ya ushabiki, kuna watu wanaangalia LFC kwasababu ya Salah, VVD, Mane, TAA, Alisson, Thiago, Fabinho, Firmino etc, hii ni star-power, na kuitengeneza inachukua time, especially kwa Club yetu ambayo inajiendesha kwa faida zake yenyewe, we should respect this.

I mean, tulipata a nike deal kwasababu ya our global appeal, ambayo ilikuja kutokana na trophies+star-power ya wachezaji tulionayo, FSG took over in 2010, but value ya Club imekuja kuongezeka maradufu after 7 years walizokuwepo at the club, na hii ni baada ya Klopp & star players aliowatengeza kubadilisha kabisa upepo wa LFC, siku hizi kila siku Club inapata new business partners all over the world, ni kwasababu ya star-power na global appeal iliyotengezwa na team kufanya vizuri ndani ya uwanja, LFC ni top 3 kati ya clubs zinazo angaliwa zaidi duniani, few years ago haikuwa hivi, LFC haikuwa na strong base Africa, but now ipo kubwa sana sababu ya Salah, Mane & Keita, you can sell everything related to LFC kwa wa-Misri, not because they love the club, but kwasababu hero wao anacheza LFC, same to Mane in Senegal & Keita in Guinea.

So yes, we can sell Mane & Salah, but can we replace their star-power kwa mara moja? (achana na output yao uwanjani), tunaongelea biashara, utd can pay Ronaldo 500k p/w sisi hatuwezi hiyo, Chelsea can buy any player for £100m sisi hatuwezi hiyo, City can buy players like Grealish for 100m na kumfanya kuwa rotational player, sisi hatuwezi hiyo, sisi tunanunua rough diamonds kwa £5m-£45m (inflated market) na kuzigeuza kuwa diamonds safi (Mane, Salah, Firmino, Fabinho, Jota, Diaz, Robertson, Coutinho, Gomez, Suarez, Torres etc), Under Klopp ni wachezaji watatu tu wamevuka mark ya £50m (VVD, Alisson, Keita) and we bought VVD +Keita for Coutinho money, and we had to choose Alisson over Fekir because budget ilikuwa tight (Fekir ni one of La Liga best players now na his knee is fine), FSG wana-operate kwenye tight budget, Diaz will replace Mane eventually, but ingekuwa ni Utd/City/Chelsea wangem-replace Mane na mchezaji mwenye star-power kama yake.

If you lose Salah/Mane/Firmino in the same window, unakuwa unapoteza hela nyingi sana kwenye upande wa commercials/deals/sponsors, Nike wanawekeza LFC kwasababu kuna wachezaji wakubwa ambao watawauzia jerseys zao, juzi zimetoka takwimu, Salah anakimbizana na kina Messi/Ronaldo kwenye mauzo ya Jersey, sasa unamuuza Salah, then unamsign Bowen ili am-replace who will buy Bowen shirts outside of scousers?

Sadio Mane, amegenerate a lot of Money for this club na bado ataendelea ku-generate a lot of money, because bado ana-play big part kwenye competition zote tulizopo, na kuna jinsi ya ku-phase out players, angalia City, Madrid, Bayern wanavyofanya, na ndio maana hizi team bado zipo juu sana kimpira, angalia City walivyowa-phase out kina Aguero, silva, kompany etc, na angalia sahiv wanavyom-phase out Fernandinho, imemchukua Pep 2 seasons kufanikiwa kum-mould Rodri, it took Pep years kumruhusu Aguero baada ya ku-perfect style ya kucheza bila recognizable striker, Pep knew itahitajika hela nyingi sana kupata mchezaji ambaye ataweza ku-replace output ya Aguero, na alikuwa haoni ST wa maana na kwa bei zilizopo, and thats why hata Aguero alivyoondoka, Pep hakuwa na haraka ya kukubali demands za Levy, kama angekuwa desperate angelipa 100m for Kane, na siyo kwamba kina Mansour wangeshindwa kulipa 100m for Kane, but Pep hakuwa desperate.

Sasa, sisi hatuna hela ya kununua kina Haaland or Mbappe, tuna hela ya kununua kina Diaz & Jota, na kuwafanya kuwa stars, we bought Mane & Salah kila mmoja kwa fee isiyozidi £40m, na wamekuwa global stars kupitia LFC, na ndiyo hicho tunacho-hope kwa Diaz na Jota, its not like we can sell Salah today na kukubali kumpa Mbappe 400k p/w, hatuwezi, hatuwezi ku-replace like for like, and it wont suprise me kama Klopp atamgeuza Fabio kuwa our false 9 (Firmino replacement), thats how we operate.

Angalia EPL, na ntajie Left Wingers watatu unaodhani ni bora zaidi ya Mane now, you cant just sell him because you want to, teams zote ambazo zimekaa on top muda mrefu huwa zina-culture ya ku-keep important players wao kwa muda mrefu, lets say msimu ujao Diaz atakuwa anaanza, dont you find it breathtaking kuwa na mchezaji kama Mane akitokea bench? kuliko kina Minamino au Gordon?, City kina Mahrez wanatokea bench, Chelsea kina Pulisic sometimes wanatokea bench, and you wonder why Tuchel amebeba important trophies kwa muda mfupi?

Jana against Burnley, the midfield was struggling to contain Sean Dyche team (He's a LFC fan but he hates us, i dont know why) and soon baada ya half-time, Klopp akaangalia bench lake akamuona Thiago, akamuita akamwambia ingia ndani humo control the game and kill their tempo, na alivyoingia Thiago, si mmeona Burnley walivyopotea, sasa you think Milner, Ox, Morton etc wangeweza ku-supress momemtum ya Burnley ambao wapo kwao na wanapigania maisha yao ya EPL? kila siku tunasema Pep anatumia hela nyingi, No, ni kuwa ana luxury ya kuwa na quality depth, ukiwa quality depth unakuwa na uwezo wa kuwa na plans A, B, C na varieties nyingi sana uwanjani, jana ile game ya burnley tulikuwa tunapotea bila ile sub ya Thiago (point blank), jana Captain was struggling, Klopp reacted fast, but kama asingekuwa na reliable CM, angeamua ku-gamble tu na Captain mpaka mwisho, ndiyo ungekuta tunalalamika humu kuwa Klopp hapendi kufanya subs, kumbe haliamini bench lake.

Tumekuwa tukililia quality squad depth, na sasa ndiyo hii tunaishuhudia, we should embrace it.

At one point LFC ilikuwa na kit sponsor Warrior, Nike/Adidas walikuwa wanampa deals SG tu, hakuna kampuni kubwa iliyokuwa inataka kuwekeza kwenye team yetu at that time, now we get these big deals because tuna players wenye global appeals.

Man utd, can still attract sponsors because kina Glazers wanauwezo wa kununua kina Sancho, Varane etc na ku-offer big wages kwa global star kama Ronaldo, sisi HATUWEZI, we wanted Sancho kabla ya Utd, na aliongea mpaka na Klopp, but tulifeli kwenye Fee, tukaja na gear ya kuomba camp ya Sancho itupe time, football spies walivyopata hizo fununu, kwamba Sancho wants to leave Dortmund, waliwapenyezea Utd, na Utd walichofanya ni ku-present a big wage package to Sancho ambapo ilikuwa ni easy kwa kijana kama sancho kukubali (£350k p/w) nobody is turning that offer down, Luis Diaz who i believe will turn out to be a BETTER SIGNING than Sancho, mshahara wake ni £57k p/w at LFC, this is how we operate, and trust me Klopp will mould Diaz kuwa a world beater.

Na kwenye post yangu, nilisema, give Mane & Firmino atleat 2 years, klopp will leave in 2024, Kama summer hii tuta-sign understudy mwingine, let them get moulded by Klopp, ili akiondoka wawe tayari ku-fire under the new manager, bila kuathiri the nature of our business.
After 7 years chini ya Klopp Liverpool kama brand imekua katikati level za kutisha sana. Hii ni down to Klopp na Edwards.

I rate Edwards chini ya Monchi na Zorc when its comes to deals. Na wa it's because they have been doing this kind of magic transfer for the past decades. Edwards ali catch up vyema sana. Hope one day he will come back again. He is just the best piece of business under FSG for the back room staff.

Yaaani hawa wachezaji walivyopatikana wakiwa hawana majina lakini hiyu Edwards aliona kutumia modern metrics wanatufaa akiwaleta Liverpool akamkabidhi Klopp ambae nae akafanya kazi yake vyema leo hii ni world names. Nilishangaa sana kuona Salah jezi anashidana na akina Messi, Ronaldo aisee i salute Klopp job well done.

Making this boys to this status sio jambo rahisi na ndio maana wengi wao wanasema klabu ikiwahitaji wabakie watabaki they owe all this to Klopp and Liverpool. They are loyal kwa kweli as a fan inanipa faraja kuona hatupo tena timu ya kuuza wachezaji wakishafika level fulani.

Hatuna mapesa kama ya Chelsea, Manchester City, Manchester United lakini tuna Klopp who has mastered buying raw diamonds and making them to pure talents and world beaters.

Dave Fallows and Barry Hunter ndio link ya Liverpool recruitment na ma scouts wanafanya kazi day and night kuhakikisha wanaleta players aligned with the club policy. How we got Diaz baada ya kutonywa na ma scout kama ulivyoelezea ni pure team work on alert hakuna kuacha any stone unturned pale we mean business.

Salute pia kwa Mike Gordon hakika kumpata Diaz was the perfect new year present kwetu kama klabu. This boy is the next Colombia poster boy.

YNWA
 
Hivi hio lisbon ni team ya kukaa na kututisha kweli [emoji28][emoji28]Mimi naona watutafutie team nyingine hii game tushaua mapema ...tunampiga goli 4 kule kule kwake ...!
Hahaha haya wewe usije sema ooh tunawasubiri nyumbani ujue pale Sporting wachezaji wao watakua kwanza wanajitafutia soko maana wanajua ile mechi wengi wataiangalia...

Pedro Goncalves huyu dogo msumbufu balaa. Mark the name. Ndoto yake ni kucheza timu kubwa anajua vyema akiwazima ni njia moja ya kutafuta timu.

YNWA
 
In Klopp i trust the way alivyomleta to this level dogo Robertson is astonishing. Kutoka kushuka daraja na Hull City na kuja kucheza Liverpool with this consistence ni kielelezo tosha kwamba chini ya Klopp tutelage the sky is the limit...

This season Jarrod is hitting those levels and boy work very very hard for the team, typical player wa Klopp.

Bei ya £70m man Bowen aint worth that amount bora kwenda ku import German nimeona we are being mentioned kumfuatilia Serge Gnabry wa Bayern Munich haha huyu angetufaaa proven winner can play wide areas or middle pale mbele ana uzoefu wa EPL kiasi na umri wake safi miaka 26.

YNWA
Robertson was a gamble for £8m, signing yake haikuwa na pressure yeyote from the fans.

I know kuna natural talented British players na ni wachache sana, kwenye my generation niliowaona ni SG, Scholes, Wayne Rooney, Lampard, Harry Kane, Daniel Sturridge (injuries aside), Trent, Foden, Jude, Jacob Ramsey, Elliot, Mason Greenwood (his career might be over now though) etc, hawa ni baadhi ya natural talents ambazo zinaweza kucheza kwenye league ya aina yeyote Europe, because ni special & rare talents.

But, most of British players ni trained robots, huwa wana-thrive kwenye robotic formations ambazo zinawa-suit zaidi, na ndiyo maana mid-table clubs nyingi sana zimejaza British players, na ilifikia kipindi top 4-6 teams in the league zilikuwa hazitaki kabisa ku-deal na British players mpaka FA waka-impose ishu ya home-grown player-rule, na ndiyo imekuwa the only way ya ku-force these players chances za kuingia kwenye top 6 teams.

British players, ukiachana na suala la ku-thrive kwenye robotic formations, pia wana-thrive kwenye comfortable set-ups, Bowen is doing good at West Ham because that is his level, anacheza bila pressure, anacheza kwenye club ambayo haina high hopes/demands/expectations, West Ham wakipata top 4 msimu huu wanakuwa wame-over achieve kupita kiasi, because siyo required standard yao, so kuna mawili kuhusu Bowen, anaweza ku-move kwenye big club na akafanikiwa au aka-flop, hii ni gamble, na huwezi ku-gamble more than £70m, kwa hiyo price unakuwa una uhakika na unachonunua, British players wengi waliofanikiwa kwenye big clubs ni wale ambao wamekuzwa na teams husika tangu wakiwa young au wale ambao wamenunuliwa kwa low prices ambazo hazina expectations, mfano SG, Owen, Trent etc hawa wamekuzwa na LFC, Gomez, Robertson walikuja kwa low prices ambazo hazikuwa na expectations, Sterling alikuja LFC kutoka QPR akiwa mdogo sana, then pia tuna mifano ya big flops ambazo zilishindwa kuhimili pressure ua ku-deliver at LFC, Andy Caroll was our first record signing at that time (£36m), Andy was a hot player at time, alikuwa anafanya vizuri at Newcastle kupita maelezo hence the overhyped price tag, but he failed massively, then Downing alikuwa na all-around play nzuri kuliko hata Bowen now, but he failed at LFC, Lallana, Charlie Adams, Jermaine Pennant, Robbie Keane, Joe Cole too, flopped massively at LFC.

Bowen is 25 now, if you pay more than £70m, it means unategemea instant impact, hakuna time ya ku-develop a 25 year-old player, na kwa price tag yake ni lazima anakuja kuwa starter, so aki-flop inakuwa ni big loss, huge price tag comes with huge responsibilities.
 
After 7 years chini ya Klopp Liverpool kama brand imekua katikati level za kutisha sana. Hii ni down to Klopp na Edwards.

I rate Edwards chini ya Monchi na Zorc when its comes to deals. Na wa it's because they have been doing this kind of magic transfer for the past decades. Edwards ali catch up vyema sana. Hope one day he will come back again. He is just the best piece of business under FSG for the back room staff.

Yaaani hawa wachezaji walivyopatikana wakiwa hawana majina lakini hiyu Edwards aliona kutumia modern metrics wanatufaa akiwaleta Liverpool akamkabidhi Klopp ambae nae akafanya kazi yake vyema leo hii ni world names. Nilishangaa sana kuona Salah jezi anashidana na akina Messi, Ronaldo aisee i salute Klopp job well done.

Making this boys to this status sio jambo rahisi na ndio maana wengi wao wanasema klabu ikiwahitaji wabakie watabaki they owe all this to Klopp and Liverpool. They are loyal kwa kweli as a fan inanipa faraja kuona hatupo tena timu ya kuuza wachezaji wakishafika level fulani.

Hatuna mapesa kama ya Chelsea, Manchester City, Manchester United lakini tuna Klopp who has mastered buying raw diamonds and making them to pure talents and world beaters.

Dave Fallows and Barry Hunter ndio link ya Liverpool recruitment na ma scouts wanafanya kazi day and night kuhakikisha wanaleta players aligned with the club policy. How we got Diaz baada ya kutonywa na ma scout kama ulivyoelezea ni pure team work on alert hakuna kuacha any stone unturned pale we mean business.

Salute pia kwa Mike Gordon hakika kumpata Diaz was the perfect new year present kwetu kama klabu. This boy is the next Colombia poster boy.

YNWA
I respect Edwards, but it was Klopp who upped his game.

Edwards & Dave fallows formed a transfer Commitee (TC), na walikuwa responsible for the signings of Markovic, Moreno, Dejan Lovren, Lallana, Balotelli, Borini, Lambert etc, when Klopp came in with his team, move yao ya kwanza ilikuwa ni kuivunja TC yote na kuanza upya, Edwards akapewa jukumu la ku-see out deals, our scouting department ikafanyiwa re-shuffle, kazi ya kwanza ya Edwards chini ya Klopp ilikuwa ni Grujic ambaye alikuwa recommended na Buvac, but baada ya hapo kuna deals kadhaa Edwards alishindwa ku-close down, kama za Gotze, Zielinski, Alex Teixeira etc, Benitez had to tip Klopp about Gini, klopp himself wanted Mane, Edward was learning, and klopp started to take him serious alivyo-suggest deal ya Mo Salah kama mbadala wa Gotze, klopp had to trust Edwards ana it paid off, but most of the players ambao wapo LFC now wamekuwa suggested na Buvac (Grujic, VVD, Keita, Fekir (failed deal etc), Ljinders (Fabinho, Jota, Diaz, Tsimikas etc), Klopp himself wanted Matip, Ox, Thiago, Minamino etc, then hata Edwards ukiachana na Salah, he suggested kuhusu Alisson, Robertson, Konate etc, but personally i will always respect Edwards kwa kuweza ku-close deals ngumu kwa muda wake aliokuwa LFC, na pia kitu ambacho nimejifunza kwake ni kuwa na utayari wa kujifunza vitu na kupenda kile anachofanya, before Klopp Edwards was a laughing stock at LFC, wachezaji aliokuwa analeta kupitia ile TC ilikuwa ni kichekesho, Klopp ambaye alifanya kazi na guru kama Zorc, angeweza kumfukuza edwards, but decided to trust him na kumpa njia na uzoefu mpya wa kufanya kazi, na kwa kweli Edwards kwenye upande wa ku-close deals huwezi kuacha kumpa pongezi zake kubwa na hata kwa aina ya players ambao alimpa Klopp ukilinganisha na record yake kabla ya klopp, Robertson, Salah, konate etc ni suggestions za Edwards, so ni anastahili heshima zake, maana kuna kipindi Klopp na team yake wakishapata profile ya mchezaji wanamtuma tu Eswards kumaliza deal na anafanikisha.

Namuangalia Julian Ward kwa ukaribu kuhusu hii deal ya Fabio, japokuwa naona Klopp kaamua kuingilia kati mwenyewe, but Ward ana potential.

Man, sionagi wanachofanya kina Fallows, Lijnders alitakiwa apewe extra salary ya ku-scout portuguese & spanish speaking players, ana good eye ya talent, nakumbuka siku ambayo Gonzalo Siegrist (South America LFC based scout) kapewa maelekezo na Club kum-scout Luis Diaz heavly (His playing style, off the pitch life style, his socio-cultural appeal kwenye his home-town etc), na ukishakuwa notified kuhusu hili suala na Club, it means unapewa a big package ya kukamilisha kazi yako, Siegrist alikuwa Ureno tangu October, kwaajili ya scout reporting na baadhi ya weeks alikuwa anasafiri mpaka Colombia ku-study life style ya Diaz, his family na watu wa karibu waliomzunguka (Ndugu yangu kala sana maisha safari hii, maana alipewa mpaka deal ya kuandaa medical), sasa bhana juzi nikaona article ya Grujic anasema kwenye ile game yetu na Porto at Anfield, kuna watu wa LFC walimfata na kumhoji kidogo kuhusu tabia za Diaz, nikacheka sana, namuuliza jamaa hizi ndiyo tactic za kumjua Diaz kiundani, anaishia kucheka, South Americans ni balaa sana kwenye pesa, shortcuts nyingi sana aisee, na ubaya ni kwamba Grujic alivyotoka pale akaenda kumwambia Diaz watu wa LFC wanakuulizia, kitu ambacho kilimchanganya kabisa Diaz, na ndiyo maana hata Spurs walivyoanza mazungumzo na Porto, ikabidi camp ya Diaz i-leak kwenye vyombo vya habari kuhusu interest ya LFC, na agent wake ndiyo aliyewaambia LFC if you want Diaz you need to act now, because Porto are desperate kuhusu pesa na watakubali bid ya spurs, thats where we put Klopp, lijnders & Diaz kwenye zoom call na kumaliza kila kitu, then Julian Ward akamaliza kila kitu kwa upande wa Clubs, but bwana wee Siegrist kala hela sana safari hii, alinipa ishu ya profiling, but tangu nimeirudisha naona vitiki vya blue tu WhatsApp, but i understand him, being a paid scout for LFC ni full-time tough job, no money, so ukipata tumia vizuri, scouts wanaopata deals nyingi ni wale ambao wapo close na kina Fallows England, na ndiyo wanatumwa kila siku around europe, na hama wanacholeta, kina Lijnders, Klopp, Buvac, Edwards mara nyingi wamekuwa wakitumia connections kupata tips za hawa players na wengine wanaonekana kabisa tukicheza nao au kupitia games zingine, kina Fallows hamna kitu na ndiyo maana our academy is so weak.

Na hongera kwa agent wa Diaz, humble dude, na hii ndiyo deal yake kubwa ya kwanza, nadhani ameshajiweka sawa kwenye upande wa marketing sasa, na clubs kubwa zitaanza kumwamini. hongera sana kwake, tumeomba omba vikazi vya ku-profile youngsters wake ili tupate vihela kidogo vya kuishi.
 
I understand you.

But, football business huwa ina-generate good money & profit kutokana na maendeleo ndani ya pitch, siyo nje ya pitch, i mean you can accumulate good deals/sponsors/partners kama team inafanya vizuri ndani ya uwanja (trophies), because team yeyote inayofanya vizuri ndani ya pitch huwa inabeba vitu vitatu muhimu sana katika football business;

1. Star Power (Players & Manager)
2. Global appeal
3. Trophies

football ni business, but to make it kuwa profitable business unahitaji hivyo vitu vitatu, na vyote vinategemeana na vyote vinatokana na mafanikio ya ndani ya PITCH, na ili upate mafanikio ndani ya pitch itabidi uwekeze katika players, tengeneza players ambao watakuwa na star-presence, mfano at LFC, siyo kila mtu anaangalia au anafatilia team kwasababu ya ushabiki, kuna watu wanaangalia LFC kwasababu ya Salah, VVD, Mane, TAA, Alisson, Thiago, Fabinho, Firmino etc, hii ni star-power, na kuitengeneza inachukua time, especially kwa Club yetu ambayo inajiendesha kwa faida zake yenyewe, we should respect this.

I mean, tulipata a nike deal kwasababu ya our global appeal, ambayo ilikuja kutokana na trophies+star-power ya wachezaji tulionayo, FSG took over in 2010, but value ya Club imekuja kuongezeka maradufu after 7 years walizokuwepo at the club, na hii ni baada ya Klopp & star players aliowatengeza kubadilisha kabisa upepo wa LFC, siku hizi kila siku Club inapata new business partners all over the world, ni kwasababu ya star-power na global appeal iliyotengezwa na team kufanya vizuri ndani ya uwanja, LFC ni top 3 kati ya clubs zinazo angaliwa zaidi duniani, few years ago haikuwa hivi, LFC haikuwa na strong base Africa, but now ipo kubwa sana sababu ya Salah, Mane & Keita, you can sell everything related to LFC kwa wa-Misri, not because they love the club, but kwasababu hero wao anacheza LFC, same to Mane in Senegal & Keita in Guinea.

So yes, we can sell Mane & Salah, but can we replace their star-power kwa mara moja? (achana na output yao uwanjani), tunaongelea biashara, utd can pay Ronaldo 500k p/w sisi hatuwezi hiyo, Chelsea can buy any player for £100m sisi hatuwezi hiyo, City can buy players like Grealish for 100m na kumfanya kuwa rotational player, sisi hatuwezi hiyo, sisi tunanunua rough diamonds kwa £5m-£45m (inflated market) na kuzigeuza kuwa diamonds safi (Mane, Salah, Firmino, Fabinho, Jota, Diaz, Robertson, Coutinho, Gomez, Suarez, Torres etc), Under Klopp ni wachezaji watatu tu wamevuka mark ya £50m (VVD, Alisson, Keita) and we bought VVD +Keita for Coutinho money, and we had to choose Alisson over Fekir because budget ilikuwa tight (Fekir ni one of La Liga best players now na his knee is fine), FSG wana-operate kwenye tight budget, Diaz will replace Mane eventually, but ingekuwa ni Utd/City/Chelsea wangem-replace Mane na mchezaji mwenye star-power kama yake.

If you lose Salah/Mane/Firmino in the same window, unakuwa unapoteza hela nyingi sana kwenye upande wa commercials/deals/sponsors, Nike wanawekeza LFC kwasababu kuna wachezaji wakubwa ambao watawauzia jerseys zao, juzi zimetoka takwimu, Salah anakimbizana na kina Messi/Ronaldo kwenye mauzo ya Jersey, sasa unamuuza Salah, then unamsign Bowen ili am-replace who will buy Bowen shirts outside of scousers?

Sadio Mane, amegenerate a lot of Money for this club na bado ataendelea ku-generate a lot of money, because bado ana-play big part kwenye competition zote tulizopo, na kuna jinsi ya ku-phase out players, angalia City, Madrid, Bayern wanavyofanya, na ndio maana hizi team bado zipo juu sana kimpira, angalia City walivyowa-phase out kina Aguero, silva, kompany etc, na angalia sahiv wanavyom-phase out Fernandinho, imemchukua Pep 2 seasons kufanikiwa kum-mould Rodri, it took Pep years kumruhusu Aguero baada ya ku-perfect style ya kucheza bila recognizable striker, Pep knew itahitajika hela nyingi sana kupata mchezaji ambaye ataweza ku-replace output ya Aguero, na alikuwa haoni ST wa maana na kwa bei zilizopo, and thats why hata Aguero alivyoondoka, Pep hakuwa na haraka ya kukubali demands za Levy, kama angekuwa desperate angelipa 100m for Kane, na siyo kwamba kina Mansour wangeshindwa kulipa 100m for Kane, but Pep hakuwa desperate.

Sasa, sisi hatuna hela ya kununua kina Haaland or Mbappe, tuna hela ya kununua kina Diaz & Jota, na kuwafanya kuwa stars, we bought Mane & Salah kila mmoja kwa fee isiyozidi £40m, na wamekuwa global stars kupitia LFC, na ndiyo hicho tunacho-hope kwa Diaz na Jota, its not like we can sell Salah today na kukubali kumpa Mbappe 400k p/w, hatuwezi, hatuwezi ku-replace like for like, and it wont suprise me kama Klopp atamgeuza Fabio kuwa our false 9 (Firmino replacement), thats how we operate.

Angalia EPL, na ntajie Left Wingers watatu unaodhani ni bora zaidi ya Mane now, you cant just sell him because you want to, teams zote ambazo zimekaa on top muda mrefu huwa zina-culture ya ku-keep important players wao kwa muda mrefu, lets say msimu ujao Diaz atakuwa anaanza, dont you find it breathtaking kuwa na mchezaji kama Mane akitokea bench? kuliko kina Minamino au Gordon?, City kina Mahrez wanatokea bench, Chelsea kina Pulisic sometimes wanatokea bench, and you wonder why Tuchel amebeba important trophies kwa muda mfupi?

Jana against Burnley, the midfield was struggling to contain Sean Dyche team (He's a LFC fan but he hates us, i dont know why) and soon baada ya half-time, Klopp akaangalia bench lake akamuona Thiago, akamuita akamwambia ingia ndani humo control the game and kill their tempo, na alivyoingia Thiago, si mmeona Burnley walivyopotea, sasa you think Milner, Ox, Morton etc wangeweza ku-supress momemtum ya Burnley ambao wapo kwao na wanapigania maisha yao ya EPL? kila siku tunasema Pep anatumia hela nyingi, No, ni kuwa ana luxury ya kuwa na quality depth, ukiwa quality depth unakuwa na uwezo wa kuwa na plans A, B, C na varieties nyingi sana uwanjani, jana ile game ya burnley tulikuwa tunapotea bila ile sub ya Thiago (point blank), jana Captain was struggling, Klopp reacted fast, but kama asingekuwa na reliable CM, angeamua ku-gamble tu na Captain mpaka mwisho, ndiyo ungekuta tunalalamika humu kuwa Klopp hapendi kufanya subs, kumbe haliamini bench lake.

Tumekuwa tukililia quality squad depth, na sasa ndiyo hii tunaishuhudia, we should embrace it.

At one point LFC ilikuwa na kit sponsor Warrior, Nike/Adidas walikuwa wanampa deals SG tu, hakuna kampuni kubwa iliyokuwa inataka kuwekeza kwenye team yetu at that time, now we get these big deals because tuna players wenye global appeals.

Man utd, can still attract sponsors because kina Glazers wanauwezo wa kununua kina Sancho, Varane etc na ku-offer big wages kwa global star kama Ronaldo, sisi HATUWEZI, we wanted Sancho kabla ya Utd, na aliongea mpaka na Klopp, but tulifeli kwenye Fee, tukaja na gear ya kuomba camp ya Sancho itupe time, football spies walivyopata hizo fununu, kwamba Sancho wants to leave Dortmund, waliwapenyezea Utd, na Utd walichofanya ni ku-present a big wage package to Sancho ambapo ilikuwa ni easy kwa kijana kama sancho kukubali (£350k p/w) nobody is turning that offer down, Luis Diaz who i believe will turn out to be a BETTER SIGNING than Sancho, mshahara wake ni £57k p/w at LFC, this is how we operate, and trust me Klopp will mould Diaz kuwa a world beater.

Na kwenye post yangu, nilisema, give Mane & Firmino atleat 2 years, klopp will leave in 2024, Kama summer hii tuta-sign understudy mwingine, let them get moulded by Klopp, ili akiondoka wawe tayari ku-fire under the new manager, bila kuathiri the nature of our business.

Mkuu me hapo mwisho hapo Kwa klopp 2024,

Hivi kwanini hatuna ushawishi wa klopp abakie?
Naona wengi tunaona sawa tu klopp aondoke na tunasema aje steve G.

Kwanini tusizungumzie kwenye upande wa kubakia klopp ,au ndio tumeshasahau tulipotoka kipindi hutamani kuangalia mechi ya Liverpool ukijua utafungwa tu.

Hatuja kuwa strong kiasi hicho cha kumuachia klopp kirahisi hivyo.

Baada ya 2024 Klopp akae miaka 10 mingine hapo naweza kuamini kwamba tunaweza kujiongoza wenyewe.

Huyo SG asubirie mpaka miaka hata 10 huko ndio aje hapo sio sasa hivi,sijaona kama kuna huaraka sana steve kuwa kocha pale,itakuwa kama lampard mwisho wa siku tutamtimua na klopp tutakuwa tumeshamuacha.

Wengine sisi Liverpool tukifungwa tunaumia sana au Liverpool ikiwa mbovu tunakosa furaha Aisee.

Sasa hivi timu iko vizuri tutulie nayo sio kuanza kuangaika tena tunajiona tayari tumefika.
 
Mkuu
I respect Edwards, but it was Klopp who upped his game.

Edwards & Dave fallows formed a transfer Commitee (TC), na walikuwa responsible for the signings of Markovic, Moreno, Dejan Lovren, Lallana, Balotelli, Borini, Lambert etc, when Klopp came in with his team, move yao ya kwanza ilikuwa ni kuivunja TC yote na kuanza upya, Edwards akapewa jukumu la ku-see out deals, our scouting department ikafanyiwa re-shuffle, kazi ya kwanza ya Edwards chini ya Klopp ilikuwa ni Grujic ambaye alikuwa recommended na Buvac, but baada ya hapo kuna deals kadhaa Edwards alishindwa ku-close down, kama za Gotze, Zielinski, Alex Teixeira etc, Benitez had to tip Klopp about Gini, klopp himself wanted Mane, Edward was learning, and klopp started to take him serious alivyo-suggest deal ya Mo Salah kama mbadala wa Gotze, klopp had to trust Edwards ana it paid off, but most of the players ambao wapo LFC now wamekuwa suggested na Buvac (Grujic, VVD, Keita, Fekir (failed deal etc), Ljinders (Fabinho, Jota, Diaz, Tsimikas etc), Klopp himself wanted Matip, Ox, Thiago, Minamino etc, then hata Edwards ukiachana na Salah, he suggested kuhusu Alisson, Robertson, Konate etc, but personally i will always respect Edwards kwa kuweza ku-close deals ngumu kwa muda wake aliokuwa LFC, na pia kitu ambacho nimejifunza kwake ni kuwa na utayari wa kujifunza vitu na kupenda kile anachofanya, before Klopp Edwards was a laughing stock at LFC, wachezaji aliokuwa analeta kupitia ile TC ilikuwa ni kichekesho, Klopp ambaye alifanya kazi na guru kama Zorc, angeweza kumfukuza edwards, but decided to trust him na kumpa njia na uzoefu mpya wa kufanya kazi, na kwa kweli Edwards kwenye upande wa ku-close deals huwezi kuacha kumpa pongezi zake kubwa na hata kwa aina ya players ambao alimpa Klopp ukilinganisha na record yake kabla ya klopp, Robertson, Salah, konate etc ni suggestions za Edwards, so ni anastahili heshima zake, maana kuna kipindi Klopp na team yake wakishapata profile ya mchezaji wanamtuma tu Eswards kumaliza deal na anafanikisha.

Namuangalia Julian Ward kwa ukaribu kuhusu hii deal ya Fabio, japokuwa naona Klopp kaamua kuingilia kati mwenyewe, but Ward ana potential.

Man, sionagi wanachofanya kina Fallows, Lijnders alitakiwa apewe extra salary ya ku-scout portuguese & spanish speaking players, ana good eye ya talent, nakumbuka siku ambayo Gonzalo Siegrist (South America LFC based scout) kapewa maelekezo na Club kum-scout Luis Diaz heavly (His playing style, off the pitch life style, his socio-cultural appeal kwenye his home-town etc), na ukishakuwa notified kuhusu hili suala na Club, it means unapewa a big package ya kukamilisha kazi yako, Siegrist alikuwa Ureno tangu October, kwaajili ya scout reporting na baadhi ya weeks alikuwa anasafiri mpaka Colombia ku-study life style ya Diaz, his family na watu wa karibu waliomzunguka (Ndugu yangu kala sana maisha safari hii, maana alipewa mpaka deal ya kuandaa medical), sasa bhana juzi nikaona article ya Grujic anasema kwenye ile game yetu na Porto at Anfield, kuna watu wa LFC walimfata na kumhoji kidogo kuhusu tabia za Diaz, nikacheka sana, namuuliza jamaa hizi ndiyo tactic za kumjua Diaz kiundani, anaishia kucheka, South Americans ni balaa sana kwenye pesa, shortcuts nyingi sana aisee, na ubaya ni kwamba Grujic alivyotoka pale akaenda kumwambia Diaz watu wa LFC wanakuulizia, kitu ambacho kilimchanganya kabisa Diaz, na ndiyo maana hata Spurs walivyoanza mazungumzo na Porto, ikabidi camp ya Diaz i-leak kwenye vyombo vya habari kuhusu interest ya LFC, na agent wake ndiyo aliyewaambia LFC if you want Diaz you need to act now, because Porto are desperate kuhusu pesa na watakubali bid ya spurs, thats where we put Klopp, lijnders & Diaz kwenye zoom call na kumaliza kila kitu, then Julian Ward akamaliza kila kitu kwa upande wa Clubs, but bwana wee Siegrist kala hela sana safari hii, alinipa ishu ya profiling, but tangu nimeirudisha naona vitiki vya blue tu WhatsApp, but i understand him, being a paid scout for LFC ni full-time tough job, no money, so ukipata tumia vizuri, scouts wanaopata deals nyingi ni wale ambao wapo close na kina Fallows England, na ndiyo wanatumwa kila siku around europe, na hama wanacholeta, kina Lijnders, Klopp, Buvac, Edwards mara nyingi wamekuwa wakitumia connections kupata tips za hawa players na wengine wanaonekana kabisa tukicheza nao au kupitia games zingine, kina Fallows hamna kitu na ndiyo maana our academy is so weak.

Na hongera kwa agent wa Diaz, humble dude, na hii ndiyo deal yake kubwa ya kwanza, nadhani ameshajiweka sawa kwenye upande wa marketing sasa, na clubs kubwa zitaanza kumwamini. hongera sana kwake, tumeomba omba vikazi vya ku-profile youngsters wake ili tupate vihela kidogo vya kuishi.
Marekesho kutoka kwa Kop anasema kuna mengi umeandika humu siyo ya kweli.

👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Dave Fallow yeye ndio ana scout wachezaji ana channel yake kubwa sana ya Scout ambayo ameitengeneza Luis Diaz usajili wake Ulianza Kwenye Recomendation ya Scout anayebase Spain na Portugal anaitwa Kike huyu anatoa taarifa kwa Fallow na ndio watu wa kwanza kuonesha interest na hizi huwa wanawasialiana na wakala kama walivyofanya hapo mwanzo Hawa wakishapata hilo jina linapelekwa kwa Kitengo cha Science and Data chini ya Ian Graham na wenzake ambapo wanafanya extensive accession ya mchezaji strength yake na namna Makocha wetu wanataka iwe Then Hawa wanafanya mawasiliano na Makocha mfano mchezaji anatokea Portugal lazima Klopp ataongea na Pepjin na Vitor matos kwan wao wana wider network kule ya Makocha wenzao wlaiowahi fanya nao kazi na hata watu wa analysis plus wameishi soka la huko so Wanajua hii ni Full package hii sio,ingekuwa Ujerumani Klopp mwenyewe na Pete wangefanya ilo,South america lazima Claudio angetoa assessment yake kwa ufaham wa soka,character and other things hapa baadae Makocha wataambiwa kila kitu kumuhusu mchezaji na namna yetu ni kuwa na wachezaji wa 3 ambao Tuna amini wanaweza tu improve na mmoja tumbebe inarudi final details kama deal la Diaz bwana Ward yeye alifanya kusafiri na kutia dot tu maana kazi ilimalizwa na Kike na Fallows waliokwenda Portugal kwenye negotiation
I respect Edwards, but it was Klopp who upped his game.

Edwards & Dave fallows formed a transfer Commitee (TC), na walikuwa responsible for the signings of Markovic, Moreno, Dejan Lovren, Lallana, Balotelli, Borini, Lambert etc, when Klopp came in with his team, move yao ya kwanza ilikuwa ni kuivunja TC yote na kuanza upya, Edwards akapewa jukumu la ku-see out deals, our scouting department ikafanyiwa re-shuffle, kazi ya kwanza ya Edwards chini ya Klopp ilikuwa ni Grujic ambaye alikuwa recommended na Buvac, but baada ya hapo kuna deals kadhaa Edwards alishindwa ku-close down, kama za Gotze, Zielinski, Alex Teixeira etc, Benitez had to tip Klopp about Gini, klopp himself wanted Mane, Edward was learning, and klopp started to take him serious alivyo-suggest deal ya Mo Salah kama mbadala wa Gotze, klopp had to trust Edwards ana it paid off, but most of the players ambao wapo LFC now wamekuwa suggested na Buvac (Grujic, VVD, Keita, Fekir (failed deal etc), Ljinders (Fabinho, Jota, Diaz, Tsimikas etc), Klopp himself wanted Matip, Ox, Thiago, Minamino etc, then hata Edwards ukiachana na Salah, he suggested kuhusu Alisson, Robertson, Konate etc, but personally i will always respect Edwards kwa kuweza ku-close deals ngumu kwa muda wake aliokuwa LFC, na pia kitu ambacho nimejifunza kwake ni kuwa na utayari wa kujifunza vitu na kupenda kile anachofanya, before Klopp Edwards was a laughing stock at LFC, wachezaji aliokuwa analeta kupitia ile TC ilikuwa ni kichekesho, Klopp ambaye alifanya kazi na guru kama Zorc, angeweza kumfukuza edwards, but decided to trust him na kumpa njia na uzoefu mpya wa kufanya kazi, na kwa kweli Edwards kwenye upande wa ku-close deals huwezi kuacha kumpa pongezi zake kubwa na hata kwa aina ya players ambao alimpa Klopp ukilinganisha na record yake kabla ya klopp, Robertson, Salah, konate etc ni suggestions za Edwards, so ni anastahili heshima zake, maana kuna kipindi Klopp na team yake wakishapata profile ya mchezaji wanamtuma tu Eswards kumaliza deal na anafanikisha.

Namuangalia Julian Ward kwa ukaribu kuhusu hii deal ya Fabio, japokuwa naona Klopp kaamua kuingilia kati mwenyewe, but Ward ana potential.

Man, sionagi wanachofanya kina Fallows, Lijnders alitakiwa apewe extra salary ya ku-scout portuguese & spanish speaking players, ana good eye ya talent, nakumbuka siku ambayo Gonzalo Siegrist (South America LFC based scout) kapewa maelekezo na Club kum-scout Luis Diaz heavly (His playing style, off the pitch life style, his socio-cultural appeal kwenye his home-town etc), na ukishakuwa notified kuhusu hili suala na Club, it means unapewa a big package ya kukamilisha kazi yako, Siegrist alikuwa Ureno tangu October, kwaajili ya scout reporting na baadhi ya weeks alikuwa anasafiri mpaka Colombia ku-study life style ya Diaz, his family na watu wa karibu waliomzunguka (Ndugu yangu kala sana maisha safari hii, maana alipewa mpaka deal ya kuandaa medical), sasa bhana juzi nikaona article ya Grujic anasema kwenye ile game yetu na Porto at Anfield, kuna watu wa LFC walimfata na kumhoji kidogo kuhusu tabia za Diaz, nikacheka sana, namuuliza jamaa hizi ndiyo tactic za kumjua Diaz kiundani, anaishia kucheka, South Americans ni balaa sana kwenye pesa, shortcuts nyingi sana aisee, na ubaya ni kwamba Grujic alivyotoka pale akaenda kumwambia Diaz watu wa LFC wanakuulizia, kitu ambacho kilimchanganya kabisa Diaz, na ndiyo maana hata Spurs walivyoanza mazungumzo na Porto, ikabidi camp ya Diaz i-leak kwenye vyombo vya habari kuhusu interest ya LFC, na agent wake ndiyo aliyewaambia LFC if you want Diaz you need to act now, because Porto are desperate kuhusu pesa na watakubali bid ya spurs, thats where we put Klopp, lijnders & Diaz kwenye zoom call na kumaliza kila kitu, then Julian Ward akamaliza kila kitu kwa upande wa Clubs, but bwana wee Siegrist kala hela sana safari hii, alinipa ishu ya profiling, but tangu nimeirudisha naona vitiki vya blue tu WhatsApp, but i understand him, being a paid scout for LFC ni full-time tough job, no money, so ukipata tumia vizuri, scouts wanaopata deals nyingi ni wale ambao wapo close na kina Fallows England, na ndiyo wanatumwa kila siku around europe, na hama wanacholeta, kina Lijnders, Klopp, Buvac, Edwards mara nyingi wamekuwa wakitumia connections kupata tips za hawa players na wengine wanaonekana kabisa tukicheza nao au kupitia games zingine, kina Fallows hamna kitu na ndiyo maana our academy is so weak.

Na hongera kwa agent wa Diaz, humble dude, na hii ndiyo deal yake kubwa ya kwanza, nadhani ameshajiweka sawa kwenye upande wa marketing sasa, na clubs kubwa zitaanza kumwamini. hongera sana kwake, tumeomba omba vikazi vya ku-profile youngsters wake ili tupate vihela kidogo vya kuishi.
Marekesho kutoka kwa Kop anasema kuna mengi umeandika humu siyo ya kweli.

👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Dave Fallow yeye ndio ana scout wachezaji ana channel yake kubwa sana ya Scout ambayo ameitengeneza Luis Diaz usajili wake Ulianza Kwenye Recomendation ya Scout anayebase Spain na Portugal anaitwa Kike huyu anatoa taarifa kwa Fallow na ndio watu wa kwanza kuonesha interest na hizi huwa wanawasialiana na wakala kama walivyofanya hapo mwanzo Hawa wakishapata hilo jina linapelekwa kwa Kitengo cha Science and Data chini ya Ian Graham na wenzake ambapo wanafanya extensive accession ya mchezaji strength yake na namna Makocha wetu wanataka iwe Then Hawa wanafanya mawasiliano na Makocha mfano mchezaji anatokea Portugal lazima Klopp ataongea na Pepjin na Vitor matos kwan wao wana wider network kule ya Makocha wenzao wlaiowahi fanya nao kazi na hata watu wa analysis plus wameishi soka la huko so Wanajua hii ni Full package hii sio,ingekuwa Ujerumani Klopp mwenyewe na Pete wangefanya ilo,South america lazima Claudio angetoa assessment yake kwa ufaham wa soka,character and other things hapa baadae Makocha wataambiwa kila kitu kumuhusu mchezaji na namna yetu ni kuwa na wachezaji wa 3 ambao Tuna amini wanaweza tu improve na mmoja tumbebe inarudi final details kama deal la Diaz bwana Ward yeye alifanya kusafiri na kutia dot tu maana kazi ilimalizwa na Kike na Fallows waliokwenda Portugal kwenye negotiation
I respect Edwards, but it was Klopp who upped his game.

Edwards & Dave fallows formed a transfer Commitee (TC), na walikuwa responsible for the signings of Markovic, Moreno, Dejan Lovren, Lallana, Balotelli, Borini, Lambert etc, when Klopp came in with his team, move yao ya kwanza ilikuwa ni kuivunja TC yote na kuanza upya, Edwards akapewa jukumu la ku-see out deals, our scouting department ikafanyiwa re-shuffle, kazi ya kwanza ya Edwards chini ya Klopp ilikuwa ni Grujic ambaye alikuwa recommended na Buvac, but baada ya hapo kuna deals kadhaa Edwards alishindwa ku-close down, kama za Gotze, Zielinski, Alex Teixeira etc, Benitez had to tip Klopp about Gini, klopp himself wanted Mane, Edward was learning, and klopp started to take him serious alivyo-suggest deal ya Mo Salah kama mbadala wa Gotze, klopp had to trust Edwards ana it paid off, but most of the players ambao wapo LFC now wamekuwa suggested na Buvac (Grujic, VVD, Keita, Fekir (failed deal etc), Ljinders (Fabinho, Jota, Diaz, Tsimikas etc), Klopp himself wanted Matip, Ox, Thiago, Minamino etc, then hata Edwards ukiachana na Salah, he suggested kuhusu Alisson, Robertson, Konate etc, but personally i will always respect Edwards kwa kuweza ku-close deals ngumu kwa muda wake aliokuwa LFC, na pia kitu ambacho nimejifunza kwake ni kuwa na utayari wa kujifunza vitu na kupenda kile anachofanya, before Klopp Edwards was a laughing stock at LFC, wachezaji aliokuwa analeta kupitia ile TC ilikuwa ni kichekesho, Klopp ambaye alifanya kazi na guru kama Zorc, angeweza kumfukuza edwards, but decided to trust him na kumpa njia na uzoefu mpya wa kufanya kazi, na kwa kweli Edwards kwenye upande wa ku-close deals huwezi kuacha kumpa pongezi zake kubwa na hata kwa aina ya players ambao alimpa Klopp ukilinganisha na record yake kabla ya klopp, Robertson, Salah, konate etc ni suggestions za Edwards, so ni anastahili heshima zake, maana kuna kipindi Klopp na team yake wakishapata profile ya mchezaji wanamtuma tu Eswards kumaliza deal na anafanikisha.

Namuangalia Julian Ward kwa ukaribu kuhusu hii deal ya Fabio, japokuwa naona Klopp kaamua kuingilia kati mwenyewe, but Ward ana potential.

Man, sionagi wanachofanya kina Fallows, Lijnders alitakiwa apewe extra salary ya ku-scout portuguese & spanish speaking players, ana good eye ya talent, nakumbuka siku ambayo Gonzalo Siegrist (South America LFC based scout) kapewa maelekezo na Club kum-scout Luis Diaz heavly (His playing style, off the pitch life style, his socio-cultural appeal kwenye his home-town etc), na ukishakuwa notified kuhusu hili suala na Club, it means unapewa a big package ya kukamilisha kazi yako, Siegrist alikuwa Ureno tangu October, kwaajili ya scout reporting na baadhi ya weeks alikuwa anasafiri mpaka Colombia ku-study life style ya Diaz, his family na watu wa karibu waliomzunguka (Ndugu yangu kala sana maisha safari hii, maana alipewa mpaka deal ya kuandaa medical), sasa bhana juzi nikaona article ya Grujic anasema kwenye ile game yetu na Porto at Anfield, kuna watu wa LFC walimfata na kumhoji kidogo kuhusu tabia za Diaz, nikacheka sana, namuuliza jamaa hizi ndiyo tactic za kumjua Diaz kiundani, anaishia kucheka, South Americans ni balaa sana kwenye pesa, shortcuts nyingi sana aisee, na ubaya ni kwamba Grujic alivyotoka pale akaenda kumwambia Diaz watu wa LFC wanakuulizia, kitu ambacho kilimchanganya kabisa Diaz, na ndiyo maana hata Spurs walivyoanza mazungumzo na Porto, ikabidi camp ya Diaz i-leak kwenye vyombo vya habari kuhusu interest ya LFC, na agent wake ndiyo aliyewaambia LFC if you want Diaz you need to act now, because Porto are desperate kuhusu pesa na watakubali bid ya spurs, thats where we put Klopp, lijnders & Diaz kwenye zoom call na kumaliza kila kitu, then Julian Ward akamaliza kila kitu kwa upande wa Clubs, but bwana wee Siegrist kala hela sana safari hii, alinipa ishu ya profiling, but tangu nimeirudisha naona vitiki vya blue tu WhatsApp, but i understand him, being a paid scout for LFC ni full-time tough job, no money, so ukipata tumia vizuri, scouts wanaopata deals nyingi ni wale ambao wapo close na kina Fallows England, na ndiyo wanatumwa kila siku around europe, na hama wanacholeta, kina Lijnders, Klopp, Buvac, Edwards mara nyingi wamekuwa wakitumia connections kupata tips za hawa players na wengine wanaonekana kabisa tukicheza nao au kupitia games zingine, kina Fallows hamna kitu na ndiyo maana our academy is so weak.

Na hongera kwa agent wa Diaz, humble dude, na hii ndiyo deal yake kubwa ya kwanza, nadhani ameshajiweka sawa kwenye upande wa marketing sasa, na clubs kubwa zitaanza kumwamini. hongera sana kwake, tumeomba omba vikazi vya ku-profile youngsters wake ili tupate vihela kidogo vya kuishi.
Marekesho kutoka kwa Kop anasema kuna mengi umeandika humu siyo ya kweli.

👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Dave Fallow yeye ndio ana scout wachezaji ana channel yake kubwa sana ya Scout ambayo ameitengeneza Luis Diaz usajili wake Ulianza Kwenye Recomendation ya Scout anayebase Spain na Portugal anaitwa Kike huyu anatoa taarifa kwa Fallow na ndio watu wa kwanza kuonesha interest na hizi huwa wanawasialiana na wakala kama walivyofanya hapo mwanzo Hawa wakishapata hilo jina linapelekwa kwa Kitengo cha Science and Data chini ya Ian Graham na wenzake ambapo wanafanya extensive accession ya mchezaji strength yake na namna Makocha wetu wanataka iwe Then Hawa wanafanya mawasiliano na Makocha mfano mchezaji anatokea Portugal lazima Klopp ataongea na Pepjin na Vitor matos kwan wao wana wider network kule ya Makocha wenzao wlaiowahi fanya nao kazi na hata watu wa analysis plus wameishi soka la huko so Wanajua hii ni Full package hii sio,ingekuwa Ujerumani Klopp mwenyewe na Pete wangefanya ilo,South america lazima Claudio angetoa assessment yake kwa ufaham wa soka,character and other things hapa baadae Makocha wataambiwa kila kitu kumuhusu mchezaji na namna yetu ni kuwa na wachezaji wa 3 ambao Tuna amini wanaweza tu improve na mmoja tumbebe inarudi final details kama deal la Diaz bwana Ward yeye alifanya kusafiri na kutia dot tu maana kazi ilimalizwa na Kike na Fallows waliokwenda Portugal kwenye negotiation
 
IMG_20220213_085527.jpg
hivi ninyi liverkuku mumeshawahi kuwa na mchezaji aliyeshinda Kila kombe.?
Hapa Kante Ngolo kabakisha Euro tu.
Je ninyi liverkuku mumeshawahi kuwa na ania hii ya mchezaji?
#CFC💙💙💙
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom