ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,063
Wanajiita kosi la Dunia [emoji23][emoji23][emoji23]Halafu eti kuna watu hawaishabikii liver ila wapo timu za ajabu ajabu kama man u.
Wanajiita kosi la Dunia [emoji23][emoji23][emoji23]Halafu eti kuna watu hawaishabikii liver ila wapo timu za ajabu ajabu kama man u.
Kumbe jamaa ana bald head eeh??Ohooo Matip ataona wivu ujue haha anajua you got eyes only for him...
Bald baddest Samba boy. Jana alikua moto sana
YNWA
Na kweli ni mikosi tu yaani😂Wanajiita kosi la Dunia [emoji23][emoji23][emoji23]
Leo hii hamna Mane wala Salah (anaingia kipindi cha pili) kikosini lakini hofu hatuna [emoji847][emoji847]Leo tupo full kikosi hapo aje yoyote yule lazima akae.
Hahahahah noma sanaaa..Kumbe jamaa ana bald head eeh??
Nilidhani anapenda tu kunyoa para.
Ah Matip namuelewa mno na ile body yake na shingo aww🥰
View attachment 2116154
Bwana wee FSG wameona ubora wa Klopp kama kocha na bila ubora wa kikosi kipana watachokwa haraka sana na pengine kusikia FSG out ishike kasi...
Juni 2022 natarajia kuona Bissouma na Bowen ndani ya Anfield.
YNWA
Nakwambia huyu Julian akianza Juni kununua akamleta huyu dogo Anfield aaa tutakua fire sanaaa...Me namtaka huyo Bowen hapo,akitua anfield hapo wapinzani wataomba poo.
Ridiculous khaa labda alijua atatumika kama pale Molineux kumbe Klopp had other plans...
Kijana ametua mikononi mwa mwamba wetu