Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nadhani kila mechi ina matakwa yake ukichukulia huu uwanja huwa kuna hali ya hewa mbaya na wale jamaa wakubwa wanatumia nguvu sana ndio sababu ya kuchezesha kikosi waliozoea mazingira yale pia muhimu ilikuwa point 3 ile mechi sio ya kina Diaz ina kazi imekamilika ni kweli kipindi cha kwanza walipata nafasi lakini kipindi cha pili hawakuwa hatari kabisa yes hatukuwa na haja ya kucheza vizuri sana ila malengo yametimia, haya ni kawaida kuna mechi unashinda bila kucheza vizuri ndio ubora wa team.
 
View attachment 822971
Full name: Liverpool Football Club

Nickname(s): The Reds

Founded: 3 June 1892

League: Premier League

Website: LiverpoolFC.com


View attachment 822972
Ground: Anfield, (Capacity: 54,074) - Pitch 101m x 68m


View attachment 822990
Principal Owner: John W. Henry

View attachment 822995
Chairman: Tom Werner

View attachment 823004
Manager: Jürgen Norbert Klopp
Liverpool Trophies:
League Tittles: 19

Premier League Champions: 19 (1900/01, 1905/06, 1921/22, 1922/23, 1946/47, 1963/64, 1965/66, 1972/73, 1975/76, 1976/77, 1978/79, 1979/80, 1981/82, 1982/83, 1983/84, 1985/86, 1987/88, 1989/90, 2019/2020)

European Trophies: 12
UEFA Champions League: 6 (1976/77, 1977/78, 1980/81, 1983/84, 2004/05, 2018/19)
UEFA Europa League: 3 (1972/73, 1975/76, 2000/01)
UEFA Super Cup: 4 (1977, 2001, 2005 ,2019)

FIFA Club World Cup: 1 (2019)

FA Cup Trophies: 7 (1965, 1974, 1986, 1989, 1992, 2001, 2006)

League Cup: 8 (1980/81, 1981/82, 1982/83, 1983/84, 1994/95, 2000/01, 2002/03, 2011/12)

Community Shield: 16
FA Community Shield: 2 (2001, 2006)
FA Charity Cup: 13 (1964, 1965, 1966, 1974, 1976, 1977, 1979, 1980, 1982, 1986, 1988, 1989, 1990)
Sheriff of London Charity Shield: 1 (1906)

Other Trophies:
Second Division: 4 (1893/94, 1895/96, 1904/05, 1961/62)
Lancashire League: 1 (1892/93)
Football League Super Cup: 1 (1985–86)

View attachment 1115544
Liverpool Football Club celebrate as they Crowned Champions League Winners (2019/2020)

View attachment 1542917
Liverpool Football Club celebrate as they Crowned EPL Winners (2018/19)


View attachment 1543670
Liverpool Premier League Timetable of 2020/21
Follow this thread for team updates!
Just for the records

Mwanzilishi wa uzi wetu ni asenane dam-dam

Kweli the good days zilikua good
 
Hivi wakuu ile vibe ilukua Anfield wakati Salah anaingia ile sub mliipata vyema jamani.

Man huyu jamaa anapendwa sana yaaani sio kwa mahaba yale.

Niseme kweli amewakamata FSG penyewe na asiachilie ashikilie hapo hapo mpaka wampe huo mkataba wa £400k kwa wiki na miaka miwili na optional mwaka mmoja.

Ukiachana na magoli na assist yake uwanjani pia kibiashara anawapa FSG ela za kutosha hivyo kumkosa pia FSG watapata pigo kubwa kibiashara.
Ipo hivi.

Mwaka ulioisha jezi 816,000 za Salah ziliuzwa kati ya jezi 2.4m za Liverpool
Kila jezi ya Liverpool inayouzwa kihalali kupitia Nike na mtadao wao wa baishara Liverpool wanapata asilimia 20% ya mauzo.
Liverpool bei ya jezi ya juu yenye jina la mchezaji ni £85,assuming bei ya pound moja ni tsh 3,000.
£85x3,000=255,000tsh
Kila jezi inayouzwa Liverpool wanachukua 51,000tsh (20%) kwa kila jezi.
Salah 2021 aliuza jezi 816,000.
Ina maana Liverpool walipata kama ifuatavyo kutoka mauzo ya Jezi ya Salah
*816,000 jezi x51,000tsh= 41,616,000,000tsh.

Salah pekee alichangia mauzo ya jezi kwa asilimia 42 kwa mwaka 2020 na 2021.

Duniani Salah alikua namba 4.
List ya mauzo ya bora ya jezi
* Lionel Messi position 1. 2m jezi.
* Ronaldo position 1.05m
* Lewandoski position 970,00k
* Salah position 816,000k

Mauzo bora ya jezi kwa klabu yalikua Ulaya kama ifuatavyo.

1) Bayern Munich 3.2m
2) Real Madrid 3m
3) Liverpool 2.4m
4) Manchester United 1.9m
5) Juventus 1.4m

Liverpool imeongoza kwa mauzo ya Jezi Uingereza.

Wakuu hili swala FSG wafanye chap huyu dogo apewe anachokitaka.
Hizo ni jezi tu sasa nenda kwenye endorsement za baishara nako wanapata na kadhalika.

Ukija uwanjani dogo ni Mfungaji bora mtengenazaji wetu bora wa magoli tangu atue.

Salah ni ASSET UWANJANI NA KIBIASHARA.

YNWA
Okey Sawa uko sahihi lakini turudi kweny e pitch kuna vvd, Becker, Mane na fabinho wote wanafanya vizuri kwenye position zao. Sasa leo hii mikataba ya wachezaji karibia wanne inaisha kwa pamoja mane firminho na salah mwenyewe na wengineo Sasa basi unapomuongeza Salah namna hiyo unategemea unatengeneza nn kwenye timu na hawa wengne waongezwe kutoka alipo Sasa mpaka mshahara anaotaka hapo ni parefu Sana italeta mpalaganyiko kwenye timu ndo maana m6pka leo wachezaji wote hao wameshindwa kuongeza mikataba kwa sababu yake pesa anayotaka nyingi
 
Just for the records

Mwanzilishi wa uzi wetu ni asenane dam-dam

Kweli the good days zilikua good
Mwanzilishi wa huu Uzi ni Mbu ambaye sasa hivi anajiita Ladder. No Liverpool damu huyu jamaa sio Arsenal huyu jamaa.
 
Okey Sawa uko sahihi lakini turudi kweny e pitch kuna vvd, Becker, Mane na fabinho wote wanafanya vizuri kwenye position zao. Sasa leo hii mikataba ya wachezaji karibia wanne inaisha kwa pamoja mane firminho na salah mwenyewe na wengineo Sasa basi unapomuongeza Salah namna hiyo unategemea unatengeneza nn kwenye timu na hawa wengne waongezwe kutoka alipo Sasa mpaka mshahara anaotaka hapo ni parefu Sana italeta mpalaganyiko kwenye timu ndo maana m6pka leo wachezaji wote hao wameshindwa kuongeza mikataba kwa sababu yake pesa anayotaka nyingi
Mkuu kuna Salah mchezaji na kuna Salah biashara nje ya uwanja. Uwanjani yupo vizuri na kibiashara yupo vizuri, ni mtulivu hana kashfa hivyo pia ma endorsement kama yote..

Salah ana deserve mshahara huo wa1, 253, 155, 956tsh(1 billion na ushee) kwa wiki kwa sababu ndio mchezaji anaeuza jezi zaidi akishikilia asilimia 42 ya mauzo yote pia amekua na impact kubwa uwanjani kufunga na kutoa assist za kutosha na pia hua hana majeruhi ya mara kwa mara..... JOTA according to CIES kwa sasa ndio most valuable Liverpool player ila kibiashara bado hajafika levo za Salah.

Wafuatao waliongeza mikataba yao Juni 2021 .

*VVD aliongeza analipwa £220,00k kwa wiki. Mpaka 2025.

*Fabinho aliongeza analipwa £180,000 kwa wiki mpaka 2026.

*Alisson aliongeza analipwa £150,000k mpaka 2027

* Henderson aliongeza analipwa £150,000k mpaka 2025.

Kwenye kila team kuna top players kama na wanalipwa crazy figures. Salah kwa sasa yupo levo na hawa jamaa na pengine msimu huu uwanjani anawazidi. Mtazame Ronaldo na Messi above umri wa Salah lakini wana command hefty pay za ajabu sana.

Baadhi ya wachezaji wanaolipwa pesa kama pesa za kutisha na hawa hapa..

*KDB Manchester City 1,228,203,000tsh

*Ronaldo Manchester United 1,228,223,000tsh

*Messi PSG 3,064,725,000tsh kwa wiki, duniani namba 1 upande wa soka. Yaaani kwa wiki analipwa Bilioni 3 na ushee. Damn this magician.

* Lewandoski analipwa 1,117,179,000.tsh kwa wiki.

*Degea analipwa 1,196,338,000tsh kwa wiki

*Mbappe analipwa 1,309,724,000tsh kwa wiki..na Liverpool eti wamtaka 😂

* Neymar analipwa 1,934,504,000tsh kwa wiki ni muda mwingi ni mgonjwa.

* Gareth Barry analipwa 1,596,660,000tsh na hata hachezi.

* Surez babu analipwa 1,835,002,000tsh kwa wiki.

Nk nk nk


Wachezaji hao wengi wao ni serial winners wana deliver mwaka after mwaka.
wanakua wapo kibiashara na kimpira hivyo Salah kwetu ndio nguzo kuu kuvutia investors wa matangazo na washirika wa biashara hivyo huu mkataba wake apewe chap tumalize haya maneno.

Itakua grave mistake Salah kuodoka Liverpool kwa sababu tu FSG hawawezi kumlipa anachostahili kulipwa. Liverpool ina evolve sio tena kijiwe cha kutafuta soko mbali wachezaji wanakuja hapa kutimiza ndoto zao na hio ni pamoja na walipwe wanachostahili. Liverpool ina stable finance za kuweza kulipa huu mshahara wa Salah.

Kama FSG walitoka nje ya policy yao kumsajili Thiago basi na hili la Salah wafanye hivyo hivyo waweke policy pembeni wampe anachotaka.

Akina Sancho ambao hata robo ya Salah hawajafika wanalipwa 1,096,511,461tsh yaani Bilioni moja ya Kitanzania na ushee.

Lets appreciate Salah by paying him whats he deserve.

YNWA
 
The BAD BAD BAD NEWS...
View attachment 2118711

Wakuu niambieni labda na makengeza kuhusu huyu bwana seriously tunamhitaji huyu Milner aongeze mkataba Liverpool... Haiyaaa sasa hawa akina Fabio Carvalho, Jones, Chamberlain, Keita, Bissouma, Fabinho, Henderson, Thiago nk watakua wanapata dakika namna gani hapa.

Hapa Klopp atuambie kwa kina aidha anataka abaki kama mentor kwa upcoming talent akicheza kuanzia dakika ya 90 kama leo au ni vipi jamaa.

Just let the man go to Leeds.

Klopp kawaambia wenye timu Milner abakie msimu mmoja tena.

Mbona simuoni Klopp kusema Salah apewe mkwaja na mkataba mpya, au Mane au Firmino nwa labda kwa vile Milner mkataba wake unaisha Juni 2022.

YNWA
milner ni kocha mchezaji mkuu, kama kina gigs enzi za babu fergie
 
Maana halisi ya timu, ukiwa sehemu ya ulinzi unazuia, ukiwa sehemu ya kiungo unaunganisha timu na ukiwa sehemu ya ushambuliaji Basi unafunga!
Yaaani jamaa yupo cool sana.

Huu usajili hata sijui hata kama akina Romano walitonywa aisee maana yaaani tulipigwa ile fainali na Real Madrid mara pap dogo Fabinho akatua kimya kimya.

YNWA
 
Okey Sawa uko sahihi lakini turudi kweny e pitch kuna vvd, Becker, Mane na fabinho wote wanafanya vizuri kwenye position zao. Sasa leo hii mikataba ya wachezaji karibia wanne inaisha kwa pamoja mane firminho na salah mwenyewe na wengineo Sasa basi unapomuongeza Salah namna hiyo unategemea unatengeneza nn kwenye timu na hawa wengne waongezwe kutoka alipo Sasa mpaka mshahara anaotaka hapo ni parefu Sana italeta mpalaganyiko kwenye timu ndo maana m6pka leo wachezaji wote hao wameshindwa kuongeza mikataba kwa sababu yake pesa anayotaka nyingi
Na hili ndo tatizo kubwa kule Man u wachezaji wanategeana

Mishahara inamata sana kuharibu kama watapishana palefu.
 
Adjustments.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom