MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Okey, nadhani kuna ku-read into a lot of papers & google na kuwa in the mix, but again, wote tunakuwa na same goal ya kupata information, then when we read/do research about football structures kwenye footie outlets/articles/forums/club sites etc, tunatakiwa kuna mambo mengi sana yapo behind the scene yanayofanya na kusababisha football kuwa the most famous/corrupt/rich sport franchise in the world.Mkuu
Marekesho kutoka kwa Kop anasema kuna mengi umeandika humu siyo ya kweli.
Dave Fallow yeye ndio ana scout wachezaji ana channel yake kubwa sana ya Scout ambayo ameitengeneza Luis Diaz usajili wake Ulianza Kwenye Recomendation ya Scout anayebase Spain na Portugal anaitwa Kike huyu anatoa taarifa kwa Fallow na ndio watu wa kwanza kuonesha interest na hizi huwa wanawasialiana na wakala kama walivyofanya hapo mwanzo Hawa wakishapata hilo jina linapelekwa kwa Kitengo cha Science and Data chini ya Ian Graham na wenzake ambapo wanafanya extensive accession ya mchezaji strength yake na namna Makocha wetu wanataka iwe Then Hawa wanafanya mawasiliano na Makocha mfano mchezaji anatokea Portugal lazima Klopp ataongea na Pepjin na Vitor matos kwan wao wana wider network kule ya Makocha wenzao wlaiowahi fanya nao kazi na hata watu wa analysis plus wameishi soka la huko so Wanajua hii ni Full package hii sio,ingekuwa Ujerumani Klopp mwenyewe na Pete wangefanya ilo,South america lazima Claudio angetoa assessment yake kwa ufaham wa soka,character and other things hapa baadae Makocha wataambiwa kila kitu kumuhusu mchezaji na namna yetu ni kuwa na wachezaji wa 3 ambao Tuna amini wanaweza tu improve na mmoja tumbebe inarudi final details kama deal la Diaz bwana Ward yeye alifanya kusafiri na kutia dot tu maana kazi ilimalizwa na Kike na Fallows waliokwenda Portugal kwenye negotiation
Marekesho kutoka kwa Kop anasema kuna mengi umeandika humu siyo ya kweli.
Dave Fallow yeye ndio ana scout wachezaji ana channel yake kubwa sana ya Scout ambayo ameitengeneza Luis Diaz usajili wake Ulianza Kwenye Recomendation ya Scout anayebase Spain na Portugal anaitwa Kike huyu anatoa taarifa kwa Fallow na ndio watu wa kwanza kuonesha interest na hizi huwa wanawasialiana na wakala kama walivyofanya hapo mwanzo Hawa wakishapata hilo jina linapelekwa kwa Kitengo cha Science and Data chini ya Ian Graham na wenzake ambapo wanafanya extensive accession ya mchezaji strength yake na namna Makocha wetu wanataka iwe Then Hawa wanafanya mawasiliano na Makocha mfano mchezaji anatokea Portugal lazima Klopp ataongea na Pepjin na Vitor matos kwan wao wana wider network kule ya Makocha wenzao wlaiowahi fanya nao kazi na hata watu wa analysis plus wameishi soka la huko so Wanajua hii ni Full package hii sio,ingekuwa Ujerumani Klopp mwenyewe na Pete wangefanya ilo,South america lazima Claudio angetoa assessment yake kwa ufaham wa soka,character and other things hapa baadae Makocha wataambiwa kila kitu kumuhusu mchezaji na namna yetu ni kuwa na wachezaji wa 3 ambao Tuna amini wanaweza tu improve na mmoja tumbebe inarudi final details kama deal la Diaz bwana Ward yeye alifanya kusafiri na kutia dot tu maana kazi ilimalizwa na Kike na Fallows waliokwenda Portugal kwenye negotiation
Marekesho kutoka kwa Kop anasema kuna mengi umeandika humu siyo ya kweli.
Dave Fallow yeye ndio ana scout wachezaji ana channel yake kubwa sana ya Scout ambayo ameitengeneza Luis Diaz usajili wake Ulianza Kwenye Recomendation ya Scout anayebase Spain na Portugal anaitwa Kike huyu anatoa taarifa kwa Fallow na ndio watu wa kwanza kuonesha interest na hizi huwa wanawasialiana na wakala kama walivyofanya hapo mwanzo Hawa wakishapata hilo jina linapelekwa kwa Kitengo cha Science and Data chini ya Ian Graham na wenzake ambapo wanafanya extensive accession ya mchezaji strength yake na namna Makocha wetu wanataka iwe Then Hawa wanafanya mawasiliano na Makocha mfano mchezaji anatokea Portugal lazima Klopp ataongea na Pepjin na Vitor matos kwan wao wana wider network kule ya Makocha wenzao wlaiowahi fanya nao kazi na hata watu wa analysis plus wameishi soka la huko so Wanajua hii ni Full package hii sio,ingekuwa Ujerumani Klopp mwenyewe na Pete wangefanya ilo,South america lazima Claudio angetoa assessment yake kwa ufaham wa soka,character and other things hapa baadae Makocha wataambiwa kila kitu kumuhusu mchezaji na namna yetu ni kuwa na wachezaji wa 3 ambao Tuna amini wanaweza tu improve na mmoja tumbebe inarudi final details kama deal la Diaz bwana Ward yeye alifanya kusafiri na kutia dot tu maana kazi ilimalizwa na Kike na Fallows waliokwenda Portugal kwenye negotiation
I think i will try to discuss with the quoted "kop" katika scenarios mbili tofauti (without letting out baadhi ya vitu)
1. SCOUTING SYSTEM/STRUCTURE
2. TRANSFER BUSINESS.
Starting with SCOUTING.
Well, at LFC, FSG wananunua LFC, a struggling LFC (financially & in sport-management), Purlsow (one of our ex DOF) steps down baada ya ku-initiate sale ya LFC kwa FSG, then FSG wanamuajiri/appoint Comolli kama DOF, quickly Comolli himself uses his connection to sign Suarez, but on the other hand Daglish presented him with a list of British players he wants (Andy Carroll, Henderson, Downing, Charlie Adam etc), Comolli (A scouting guru) presented to FSG his list of players (Gotze, Aubameyang, Juan Mata, Kagawa etc), Daglish didnt want these players, he advised FSG against these signings, telling them he want to build LFC around passionate British players, FSG decided to follow Daglish route, ignoring the route ambayo imekuwa suggested na our DOF and a scouting guru (read his body of work), so kwa kufuata approach ya Daglish, Comolli as a DOF was tasked na ku-close deals za wachezaji anaowataka Daglish, wachezaji hao ni Carroll, Downing, Henderson, Charlie Adam na Jose Enrique, BUT when these signings failed to work, blame ikaja kwa Comolli, especially kuhusiana na signing ya Henderson, ambapo it was so clear kuwa Comolli wanted Gotze instead of Henderson, but Daglish insisted on Henderson, and we had to pay £20m, ambapo Comolli aliamini kuwa ni right price for him, sasa when Henderson was struggling FSG started to blame him kuwa he overpayed for him na kupelekea kumfukuza kazi, ambapo baada ya Comolli kuondoka nafasi akachukua Ian Ayre, remember kuwa Comolli alivyoajiriwa, naye akamleta Michael Edwards at LFC (2011), akiwa kama performance analysit.
FSG, realises kuwa walifanya branda, kwanza kuamini katika route ya Daglish, na pili kutoamini katika route ya Comolli (buying highly talented young players for cheap) na mwisho kabisa kumuondoa ofisini, so kwa ego yao ilikuwa ni vigumu kurudi kwa Comolli, wakaamua ku-follow route yake kwa kutumia watu wengine, hapo kwanza wakaamua ku-sign a young manager (Rogders), then wakakaa chini na Rogders na kumpa mchakato mzima wa kile wanachotaka kufanya, kwamba tunataka kutengeneza a good young team kwa kununua young players wenye potential ili wakue na team, na hawa wachezaji wakishakuwa wakubwa ndiyo watakaoleta return ya ku-fund other signings (sell to buy policy), ikumbukwe kuwa FSG paid kwenye region ya 100m for Daglish british signings ambazo zote ziligeuka kuwa flops (tumtoe Henderson), so hawakutaka tena kuingia hiyo hasara, hence wakaja na mfumo wa sell to buy, and kama unahitaji ku-recruit young players wenye potential kubwa you need an extensive scouting team, hence Rodgers recomended Dave Fallows (his friend) ambaye wakati huo alikuwa Man City, sasa alivyokuja Fallows pamoja na Barry Hunter, wakapewa jukumu la ku-identify top young talents around the world, scouting department yote ikafanyiwa re-shuffle, na hapo ikazaliwa Transfer Comittee, ambayo ndiyo ilikuwa inaongoza delegate yote ya scouting department, Dave Fallows and Michael Edwards wote ni proffesional performance analysits, so ilikuwa ni logic ku-form hii TC, na kazi yao ya kwanza ilikuwa ni 2012/13, players ambao walisainiwa kwa jicho la Fallows (as head of TC & Scouting department) ni Fabio Borini, Samed Yesir, Assaidi, Coutinho, Nuri Sahin. Joe Allen & Sturridge zilikuwa ni recomendations za Rogders mwenyewe. Borini/Yesir/Sahin/Assaidi wote wali-flop at LFC, Joe Allen flopped at LFC, katika signings zote za 2012/13 ni mbili tu zilifanikiwa Coutinho & DS, ilikuwa ni disastorious transfer window.
Then 2013/14, the TC again ikiongozwa na Fallows signed Iago Aspas, Sakho, Cissokho, Mignolet, Luis Alberto, Tiago illori. Kolo Toure & Victor moses zilikuwa ni signings za Rogders, hizo signings zote zili-fail at LFC (except Sakho ambae alipishana na klopp kwa mambo ya nidhamu), sasa it was at this point ambapo FSG wakaanza ku-raise questions kuhusu hizi signings, then we sold Suarez, replacements zake ndiyo zika-raise a lot of alarming question marks kwa owners, partners, legends etc, the TC pamoja na Rodgers went on and signed Markovic, Lallana, Lovren, Balotelli, Moreno, Emre Can etc, and the funny thing is Rogders didnt want Balotelli, but Fallows forced the deal, then 2015/16 the TC signed Benteke, Ings, Clyine, and Firmino (Firmino was the first and personal Michael Edwards suggestion at that time)..
Now, lets see this, Fallows as the head of TC & SD, ali-manage ku-oversee 90% of our bad signings, kuanzia uwanjani mpaka financially, na katika kipindi chote alichofanya kazi na Rogders ni wachezaji si chini ya watatu ndiyo walifanikiwa kuwa good signings, so you believe unachosoma google kuwa the same dude ambaye aliamini kuwa Balotelli & Lambert can replace Suarez ndiye alitoa tips kwa Management kuhusu deals za Salah, Mane, Jota, Diaz etc? you believe a dude who suggested Lovren, mignolet, Aspas, ndiye atakuwa the same dude ambaye ame-suggest deals za VVD,matip, Konate, Alisson etc? and you think a World Class Coach like Klopp aliyetokea kwenye team yenye world class scouting system atakubali kufanya kazi na head of scout ambaye alikuwa anadhani Balotelli anatosha kum-replace Suarez? theres a reason why Klopp alivyokuja at LFC alivunja TC, theres reason why Klopp alivyokuja at LFC akamchagua Edwards as his go-to guy over his then head of TC and head of scouting department.
Then, tell "the kop" kuwa tangu Klopp aje LFC hakuna mchezaji wa senior team ambaye amesajiliwa kwa suggestion ya Fallows, the head of scouting department.
Then kwenye football word, kuna kitu kinaitwa "EARS & EYES ON THE PRIZE", na kuna kitu kingine kidogo kinaitwa "word of mouth", Klopp alivyokuja na kuivunja TC, club ikarudi kwenye suala la Sports Director, na ukiwa na sports director kazi ya scouting department inakuwa ni minmum (nitaelezea), moja kati ya requirement kubwa ya Sports Director ni kuwa scouting master na football anaylist m-bobezi, na ukishakuwa scouting master unakuwa na your own "ears & eyes on the prize" hawa ni freelance scouts all over the world, hawa wengi wanakuwa kwenye contacts za kina Monch, Zorc etc, hawa ndiyo wanawapa taarifa kina monch/zorc kuwa Tanzania kuna mchezaji wa aina hii na hii itabidi umuone, hapo Monch/zorc anatoa order kwa head of scout wa club kufatilia in depth analysis ya huyo mchezaji, sasa at LFC baada ya Comolli kuwa sucked, we decided to work with no Sports Director hence formed a TC ambayo iliwapa kina Fallows mandate kama ya Sports Director (Ian Ayre was not a Sports Director), but when Klopp came tulirudi kwenye mfumo wa Sports Director, ambapo Edwars aliteuliwa, Klopp decided to trust talent ya Edwards kwenye performance analysis, na kwenye upande wa extensive scouting they decided to work together as a team (Klopp Edwards, Krawtiez, Buvac and later Ljinders and other legit connections around europe), which helped Edwards kuongeza connection zake binafsi na ku-sharpen his negotiation game.
Now, players wote walio-sainiwa chini ya Klopp, ni tips kutoka kwa plugs za Klopp, Edwards, Lijnders, Buvac, Krawtiez (btw you think Krawtiez ni just an assistant coach?), you see, Klopp ana aina yake ya anayocheza, tutumie ishu ya high-line defending, kwa mfumo huu lazima atahitaji sana pacey CB, mwenye attribute sawa na VVD/Gomez/Matip, then Klopp anaongea na kina Krawtiez, Krawtiez anamwambia Klopp, Bundesliga na France kuna young CBs wazuri sana itabidi tuangalie huko (assume Krawtiez hana recomendation), sasa Klopp anamwambia SPORTS DIRECTOR, nahitaji mchezaji wa namna hii, Sports Director ambaye now ana connection around Europe, anauliza kwa his "ears & eyes on the prize" kuhusu aina ya mchezaji anayemtaka, anapewa list ya wachezaji pamoja;
1. Partial Profiling
2. Playing Style
3. Strength & Weaknesses
4. Injury Record, etc
Then, Sports Director anaangalia na anapick 3 players (Plan A, plan B, plan C), akishapick, anamtumia Head of Scouting department kwaajili ya EXTENSIVE SCOUTING (3 months - 1 year), so head of scouting department anatakiwa ku-deal na wachezaji hao hao aliopewa, na akimaliza kazi, anarudisha full package yote kwa SD, SD anapeleka package kwa MANAGER, then manager na his coaching stuff wakiridhika, wanatoa go-ahead then owners wanapewa taarifa na kazi ya kujaribu kum-sign inaanza. another scenario, mfano tunacheza na Inter Milan, Klopp akawa impressed na Lautaro Martinez, ni lazima atamwambia SD kwanza afatilie his other aspects of the game ili kuona kwamba anaweza ku-fit kwenye mifumo yake ya uchezeshaji. na pia naamini umeelewa nilivyosema EXTENSIVE SCOUTING, maana wengi wetu tunajua tu kuwa ku-scout ni kwenda uwanjani kuangalia mchezaji, scouting ni tough job, kuna kumu-watch mchezaji na ku-see mchezaji, you need to SEE him.
In short thats how our scouting system works under our SD & Klopp (The MANAGER).
2. TRANSFER BUSINESS.
Under Klopp, LFC are operating under "ears & eyes on the prize" & "word of mouth", kama Dortmund, Madrid, Chelsea, Spurs, Juventus, Roma and even Utd, hizi Clubs zinategemea zaidi effiency ya SD kuliko kitu chochote katika suala la Transfer Business.
Transfer Business ni one of the most corrupt scene in football, a lot of things are conducted behind the scene, ukiona highly profiled players kafanikiwa kusajiliwa kwenye club yako ujue kuna kazi kubwa sana imefanyika behind the scene, na kama mchezaji ambaye unamuhitaji anatakiwa na team nyingi ni lazima uende extra miles ili kumpata, na hapo ndipo rough, na professional football spies ("word of mouth") wanaingia, lets say Salah wants to leave LFC, FSG tayari wanakuwa na price tag yao (negotiation starter), sasa Maybe madrid wanakuwa wa kwanza kuongea na Salah's agent kuhusu personal wages then wanakuwa wa kwanza kuongea na FSG, FSG wanakubali/wanaomba siku kadhaa za ku-evaluate bid ya Madrid, football Spies wanatuma hizi details kwa clubs zingine ambazo zipo interested, maybe PSG, so PSG washajua Salah ametaka mshahara wa kiasi gani, na pia wameshajua fee ambayo FSG wanashawishika nayo, so wanachokifanya ni ku-top wages & bid bila hata kwenda kwenye negotiation table, unakumbuka Chelsea walichotufanyia kwa Salah, unakumbuka Chelsea walichowafanyia Spurs kwa Willian, unakumbuka sisi tulivyofanyiwa na Dortmund kwa Mikhtaryan, unakumbuka Barcelona walichowafanyia Madrid kwa Neymar etc, mifano ni mingi sana, na sisi recently tumewafanyia hivyo Spurs kwa Luis Diaz, na tuliwafanyia hivyo Utd kwa Fabinho.
LUIS DIAZ, klopp & his team wants depth upfront, they want mchezaji ambaye ana-style of play inayofanana na Mane ili kusiwe na gap kubwa ya ubora kati yao, the words gets out kwenye scouting world, our scouting team (Under Fallows) manages to give names like Traore, Dembele (Barcelona) etc, our SD personally suggests Pedro Neto, sasa Lijnders ambaye kafanya kazi Porto na ana strong ties pale, anaambiwa na watu wa Porto kuwa kuna kijana wetu Diaz amedevelop vizuri sana na Club inajiandaa kuanza kutafuta suitors as they feel price yake ita-solve financial problems (Porto sold Diaz kwasababu ya matatizo ya uchumi waliyonayo now), Lijnders anaomba partial detailed profiling ya bwana mdogo, anaileta kwa Klopp & management, then anapewa SD, SD anatoa maelekezo kwa our scouting dept kwa ajili ya extensive scouting, he's south American, so anahitaji scout wa south america, anapigiwa simu "Biggie" Troiani, LFC chief Scout SA, bila hiyana anatoa link ya a well connected Spanish & portuguese Scout Siegrist, Siegrist anapewa kazi ya kufanya EXTENSIVE SCOUTING ya Luis Diaz, and the development was good, na during his scouting work, Diaz alikuja Anfield kucheza nasi kwenye CL, and Klopp was personally impressed pia.
Sasa, plans zilikuwa ni kumsajili Diaz in the summer, but Spurs firm interest forced our hands, Siegrist told the club kuwa it will take us some-time again kupata a perfect LW kama Diaz in the market na kwa price ambayo yupo quoted nayo, maana his output and style of play is perfect for Klopp & LFC, so we decided to act, na kama Siegrist angesema kuwa he's good but tutapata mwingine kama huyu, Club ingeacha Spurs waendelee naye, but amongst everything Siegrist report iliwapa moto sana kina Klopp, na ndiyo maana akapewa mpaka kazi ya kuandaa medical south america, kazi ambayo kwa siku nyingine angepewa Chief Scout (Troiani, boss wa Siegrist kwenye our SA pot), but this is our MANAGER anapenda ku-repay direct favours.
Then, nimeona hapo umemtaja Kike kuwa ndiye alitoa tip kwa LFC kuhusu Diaz? Kike yupi? the only scout ninayemjua ambaye anafanya kazi na midtable PL clubs nyingi na sijui kama bado ni official based Watford club chief scout in Spain & Portugal, anaitwa Kike Alonso (check him out), huyo Kike ambaye alitoa link kwa Club ni yupi? his fellow brothers/friends aliofanya nao kazi Porto ndiyo walimwambia Pep Lijnders kuhusu Diaz, maybe kati ya hao jamaa kuna mtu anaitwa Kike, but hakuna Scout anaitwa Kike ana-deal na LFC direct.
Then, 90% of Klopp's signing zimefanikiwa kwasababu anaamini katika involvement structure, kila mtu wake wa karibu anaweza kumpa heads-up za wachezaji around Europe na hadharau kabisa, Wenger, Fergie, Mourinho, Guardiola pia ni fan wa hili suala, ndiyo maana walifanikiwa sana.
Then, speaking of Dave Fallows, its not like he's not working, he's working, kuhakikisha kuwa scouting reports zinakamilika ontime etc, but ile power aliyokuwa nayo wakati wa TC hana tena, power ipo kwa SD na management, yeye anapokea orders na kuzi-see out operations, Unajua when Fallows had power at LFC, tulipata scandal ya ku-hack scouting database ya Man city (2013), we had to pay €1m+ kama settlement fee, and we were lucky because Man City hawakutaka kwenda na hiyo ishu mbali zaidi.
Then, Fallows kama head of scouting department amefanya kitu gani kwenye our academy? our academy is weak, recruitment structure is bad and not working at all, Dave Fallows alitakiwa awe anapewa praises za kuwaona kina Elliott, Fabio, Gordon etc, but no, hazipati because hamna alichokifanya, na ndiyo maana Klopp aliona kuwa uwezo wa jamaa ni kuratibu na ku-see out mipango yote ya scout reporting around the world, basi.

