I respect Edwards, but it was Klopp who upped his game.
Edwards & Dave fallows formed a transfer Commitee (TC), na walikuwa responsible for the signings of Markovic, Moreno, Dejan Lovren, Lallana, Balotelli, Borini, Lambert etc, when Klopp came in with his team, move yao ya kwanza ilikuwa ni kuivunja TC yote na kuanza upya, Edwards akapewa jukumu la ku-see out deals, our scouting department ikafanyiwa re-shuffle, kazi ya kwanza ya Edwards chini ya Klopp ilikuwa ni Grujic ambaye alikuwa recommended na Buvac, but baada ya hapo kuna deals kadhaa Edwards alishindwa ku-close down, kama za Gotze, Zielinski, Alex Teixeira etc, Benitez had to tip Klopp about Gini, klopp himself wanted Mane, Edward was learning, and klopp started to take him serious alivyo-suggest deal ya Mo Salah kama mbadala wa Gotze, klopp had to trust Edwards ana it paid off, but most of the players ambao wapo LFC now wamekuwa suggested na Buvac (Grujic, VVD, Keita, Fekir (failed deal etc), Ljinders (Fabinho, Jota, Diaz, Tsimikas etc), Klopp himself wanted Matip, Ox, Thiago, Minamino etc, then hata Edwards ukiachana na Salah, he suggested kuhusu Alisson, Robertson, Konate etc, but personally i will always respect Edwards kwa kuweza ku-close deals ngumu kwa muda wake aliokuwa LFC, na pia kitu ambacho nimejifunza kwake ni kuwa na utayari wa kujifunza vitu na kupenda kile anachofanya, before Klopp Edwards was a laughing stock at LFC, wachezaji aliokuwa analeta kupitia ile TC ilikuwa ni kichekesho, Klopp ambaye alifanya kazi na guru kama Zorc, angeweza kumfukuza edwards, but decided to trust him na kumpa njia na uzoefu mpya wa kufanya kazi, na kwa kweli Edwards kwenye upande wa ku-close deals huwezi kuacha kumpa pongezi zake kubwa na hata kwa aina ya players ambao alimpa Klopp ukilinganisha na record yake kabla ya klopp, Robertson, Salah, konate etc ni suggestions za Edwards, so ni anastahili heshima zake, maana kuna kipindi Klopp na team yake wakishapata profile ya mchezaji wanamtuma tu Eswards kumaliza deal na anafanikisha.
Namuangalia Julian Ward kwa ukaribu kuhusu hii deal ya Fabio, japokuwa naona Klopp kaamua kuingilia kati mwenyewe, but Ward ana potential.
Man, sionagi wanachofanya kina Fallows, Lijnders alitakiwa apewe extra salary ya ku-scout portuguese & spanish speaking players, ana good eye ya talent, nakumbuka siku ambayo Gonzalo Siegrist (South America LFC based scout) kapewa maelekezo na Club kum-scout Luis Diaz heavly (His playing style, off the pitch life style, his socio-cultural appeal kwenye his home-town etc), na ukishakuwa notified kuhusu hili suala na Club, it means unapewa a big package ya kukamilisha kazi yako, Siegrist alikuwa Ureno tangu October, kwaajili ya scout reporting na baadhi ya weeks alikuwa anasafiri mpaka Colombia ku-study life style ya Diaz, his family na watu wa karibu waliomzunguka (Ndugu yangu kala sana maisha safari hii, maana alipewa mpaka deal ya kuandaa medical), sasa bhana juzi nikaona article ya Grujic anasema kwenye ile game yetu na Porto at Anfield, kuna watu wa LFC walimfata na kumhoji kidogo kuhusu tabia za Diaz, nikacheka sana, namuuliza jamaa hizi ndiyo tactic za kumjua Diaz kiundani, anaishia kucheka, South Americans ni balaa sana kwenye pesa, shortcuts nyingi sana aisee, na ubaya ni kwamba Grujic alivyotoka pale akaenda kumwambia Diaz watu wa LFC wanakuulizia, kitu ambacho kilimchanganya kabisa Diaz, na ndiyo maana hata Spurs walivyoanza mazungumzo na Porto, ikabidi camp ya Diaz i-leak kwenye vyombo vya habari kuhusu interest ya LFC, na agent wake ndiyo aliyewaambia LFC if you want Diaz you need to act now, because Porto are desperate kuhusu pesa na watakubali bid ya spurs, thats where we put Klopp, lijnders & Diaz kwenye zoom call na kumaliza kila kitu, then Julian Ward akamaliza kila kitu kwa upande wa Clubs, but bwana wee Siegrist kala hela sana safari hii, alinipa ishu ya profiling, but tangu nimeirudisha naona vitiki vya blue tu WhatsApp, but i understand him, being a paid scout for LFC ni full-time tough job, no money, so ukipata tumia vizuri, scouts wanaopata deals nyingi ni wale ambao wapo close na kina Fallows England, na ndiyo wanatumwa kila siku around europe, na hama wanacholeta, kina Lijnders, Klopp, Buvac, Edwards mara nyingi wamekuwa wakitumia connections kupata tips za hawa players na wengine wanaonekana kabisa tukicheza nao au kupitia games zingine, kina Fallows hamna kitu na ndiyo maana our academy is so weak.
Na hongera kwa agent wa Diaz, humble dude, na hii ndiyo deal yake kubwa ya kwanza, nadhani ameshajiweka sawa kwenye upande wa marketing sasa, na clubs kubwa zitaanza kumwamini. hongera sana kwake, tumeomba omba vikazi vya ku-profile youngsters wake ili tupate vihela kidogo vya kuishi.