Second Half Crystal Palace walikuwa moto sana, sema kama sio refa kuwa upande wenu, msingechomoa
source told the BBC: "We sent a team of policemen to a house at Coleah in Conakry to restore calm after some youths attempted acts of riotous conduct in a house believed to be the family home of footballer Naby Keita."
The report claims that "the youths were venting frustration at one of Keita's relatives who they believed had performed witchcraft, affecting the Liverpool star's Nations Cup performances and increasing his recent spate of injuries."
Captain Marvelous kumbe Keita kalogwa kwao bana sisi tunahangaika nae kila siku yupo kwenye crutches![]()
Hahaha Lady Reds OG katika ubora wake.Sema huyu mwamba handsome sana
Nina viporo viwili na baada ya hii winter break kikosi kinarejea kikiwa kamili ki ufupi hapo kwenye 48 ongeza pointi 6 aafu uanze kuleta maneno yako hapo.Angalia ubao unasoma ngapi Apo wanaume tuko kazini ..ngoja tumalize kazi Kwanza ..,😂😂😂🤣
View attachment 2093136
Handsome halafu anajua mpira,Mungu atupe nini tena?🙌Hahaha Lady Reds OG katika ubora wake.
YNWA
Hahahaha atupe Halland au Vincious Jnr haha na hutosikia nikiwasema hawa FSG tenaaa 😂😂😂😂😂Handsome halafu anajua mpira,Mungu atupe nini tena?🙌
Ila hao FGS nao somehow ni wehu aisee..Hahahaha atupe Halland au Vincious Jnr haha na hutosikia nikiwasema hawa FSG tenaaa 😂😂😂😂😂
YNWA
Izo game zenu za kuahirisha kisa korona ..Nani ajui nyie kuku ni waoga ..mbona sisi vidume tumekipiga ivyo ivyo!?? na viporo lazima vichache..Nina viporo viwili na baada ya hii winter break kikosi kinarejea kikiwa kamili ki ufupi hapo kwenye 48 ongeza pointi 6 aafu uanze kuleta maneno yako hapo.
YNWA
Wiki iliyopita ni yenu na wale nyumbu wa serengeti. Mmepewa magoli ya bure kabisa hata roho yako inakusutaRent Boy katika ubora wake