Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Izo game zenu za kuahirisha kisa korona ..Nani ajui nyie kuku ni waoga ..mbona sisi vidume tumekipiga ivyo ivyo!?? na viporo lazima vichache..
Klopp kashasema anafuata ushauri wa watalaam na yeye sio mtalaam mambo ya afya hivyo haya sijui tunaogopa gemu nimeyasikia kwako na ki ufupi hayatuhusu kwani kuna kamati ya Ligi inayoratibu haya mambo kutokana na ushindi uliopo usidhani ni rahisi hivyo

Fahamu pia sio gemu zote tumehairisha sisis. Ile gemu ya Leeds tarehe 28 December waliomba wenyewe isichezwe sasa hapo bado utasema tuliogopa sisi.

Tulia sidano iingie tuna viporo viwili murwa kabisaaaaa.

Usihofu sana mpira dakika 90+ hivyo lolote linaweza tokea.

Shinda mechi zako na sisi tushinde zetu Mei sio mbali tutajua nani kidume.

YNWA
 
Ila hao FGS nao somehow ni wehu aisee..
Hawataki kusajili,mahandsome wetu akina Fabinho ,TAA VVD wanacheza non stop bila kupumzika kisa kikosi chetu finyu
Yankees wana kopi na ku pasti kilichofanikiwa America na kuleta UK Liverpool. Walisahau jambo moja huo mfumo ni cycle ina mwisho na pia our cash cows loaded Spain clubs Barcelona na Real Madrid are bust hawana tena nguvu ya pesa kuja kununua wachezaji kama zamani.

Yaani mpaka Edwards anaodoka kashaona huu mfumo ni ngumu maana kuwa convince timu ikuuzie mchezaji kwa malipo ya muda mrefu wakati wao wanauza ili wanunue tena ni ngumu sana yaaani ndio tumefika hapo.

Ki ufupi FSG ingekua ni chaguo lao na mteja yupo nadhani huyu Salah wangekumbali auzwe ili watumie hizo pesa kununua AM mmoja na Strika/Winga mmoja, lakini sasa kila wakichungulia hawaoni Salah akipata mteja wakati sahihi hivyo shingo upande wanampa mkataba mpya.

Klopp genius making us move forward.

YNWA
 
Screenshot_20220124_223035_com.android.chrome_edit_26338324498584.jpg


Our very own Kings...

YNWA
 
Klopp kashasema anafuata ushauri wa watalaam na yeye sio mtalaam mambo ya afya hivyo haya sijui tunaogopa gemu nimeyasikia kwako na ki ufupi hayatuhusu kwani kuna kamati ya Ligi inayoratibu haya mambo kutokana na ushindi uliopo usidhani ni rahisi hivyo

Fahamu pia sio gemu zote tumehairisha sisis. Ile gemu ya Leeds tarehe 28 December waliomba wenyewe isichezwe sasa hapo bado utasema tuliogopa sisi.

Tulia sidano iingie tuna viporo viwili murwa kabisaaaaa.

Usihofu sana mpira dakika 90+ hivyo lolote linaweza tokea.

Shinda mechi zako na sisi tushinde zetu Mei sio mbali tutajua nani kidume.

YNWA
Unabishana na mtu ambae anaangalia mechi livescore mkuu? It means kwamba huwa haelewi chochote yeye ni ubishi usiokuwa na maana.
 
Ile come back kila mtu huwa inamtesa sana.

Mechi zangu mbaya za muda wote nasitakagi hata kuziona marudio yake
i) vs madrid( uclfinal 2017/2018)
ii) vs C palace msimu wa 2013/2014
iii) vs chelsea msimu wa 2013/2014(SG anaanguka)
Aisee upo na mimi hizi mechi dah.!!

Jumlisha ya Watford waliyotuharibia unbeaten bado mechi tatu tuchukue bila kufungwa...
 
[emoji1666] @andrewrobertso5 and @TrentAA are now level on 43 #PL assists since the left-back joined Liverpool from Hull in 2017

#CRYLIV | @LFC
IMG-20220124-WA0011.jpg
 
Nilikuwa nimejipiga ban kidogo wakuu nimerudi tena[emoji23][emoji23][emoji23]

Siku hizi wanakaa na kudiscus comment zangu ,hawa jamaa bana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ellioit too. Excited no longer have to suffer from watching Henderson kicking the ball away, shoot to the moon, losing his position, terminate all our fluid creative play, blaming other for unable to receive his terrible random pass, loss of possession whenever pressed.

C$P

dah.
 
Nasikia mnataka kuchukua epl bana ...

Liverpool kuchukua epl huu msimu ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano ....Mimi siogopi gap la point 6 ,nataka mje mtufikie kabisa kwa point 1 harafu tuanze mbio tuwaone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nasikia mnataka kuchukua epl bana ...

Liverpool kuchukua epl huu msimu ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano ....Mimi siogopi gap la point 6 ,nataka mje mtufikie kabisa kwa point 1 harafu tuanze mbio tuwaone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hicho kiburi ndio anguko lako hutoamini na kipara wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom