Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
YNWA
Yule bwana mdogo Dwight Gayle sasa yupo Newcastle. Dogo sitokaa nimsahau huyu noma sana.Hawa Palace siwapendagi kukutana nao! Walimliza Suarez uwanjani hawa.
Zaha hayupo, yule ndio roho yaoHawa Palace siwapendagi kukutana nao! Walimliza Suarez uwanjani hawa.
Mpaka dakika ya 79 tunaongoza 3-0. Come full time 3-3Yule bwana mdogo Dwight Gayle sasa yupo Newcastle. Dogo sitokaa nimsahau huyu noma sana.
YNWA


Since that 3-3 draw 2014.. walikua wapinzaniLiverpool inaweza ikatu disappoint leo
But all the best,, crystal palace obviously it's tough game
yule jamaa more than a fighter... Ukiachilia fighting spirit yke uje kwenye talent yake chenga pace uwezo wa kufumania nyavu kwa kila aina ya style... Live long Luisua.Mpaka dakika ya 79 tunaongoza 3-0. Come full time 3-3
Ila Suarez ukiachilia mbali tabia zake za kishenzi ni mchezaji mfia timu yani alikuwaga anataka kushinda tu hataki habari nyingine. Ni wachezaji wachache sana ma fighter kama Suazombie.
Na bendera ya AnfieldKabisa Babu mmoja upo uhakika atatua Qatar.
Mungu awape afya njema mpaka inafika atakaepita akapeperusha bendera ya Afrika ipasavyo.
YNWA
Sijaelewa hiyo trauma wanasaidiwa vp online
Hii itasaidia kuwalinda Vijana wetu wasije wakaingia Mkenge kama Bobby Duncan alivyoingizwa Mkenge na Agent wake Seif Rubie.
Duncan alikuwa ni mmoja wa Vijana waliowekwa kwenye Project ya Liverpool ambapo wenzake ni Elliot, Jones na Neco Williams.
Yeye akajazwa Kiburi na Ujinga na Wakala wake akahama Liverpool kwenda Fiorentina! Hatimae sasahivi yupo Derby County tena U-23 wakati wenzake mpaka kina Gordon wanakipiga First Team na kina VVD na Salah.
Huyu Duncan nadhani pia kua ni kutoka familia moja ya na Gerrard alidhani kua professional ni easy come kumbe hakujua hard work, uvumilivu, kusikiliza ushauri kutokana klabuni kuhusu development yake matokeo yake sasa kashuka hukoo championship na tena timu ya vijana kimsingi sina uhakika kama hata huyo wakala bado yupo nae.Hii itasaidia kuwalinda Vijana wetu wasije wakaingia Mkenge kama Bobby Duncan alivyoingizwa Mkenge na Agent wake Seif Rubie.
Duncan alikuwa ni mmoja wa Vijana waliowekwa kwenye Project ya Liverpool ambapo wenzake ni Elliot, Jones na Neco Williams.
Yeye akajazwa Kiburi na Ujinga na Wakala wake akahama Liverpool kwenda Fiorentina! Hatimae sasahivi yupo Derby County tena U-23 wakati wenzake mpaka kina Gordon wanakipiga First Team na kina VVD na Salah.
Ile come back kila mtu huwa inamtesa sana.Yule bwana mdogo Dwight Gayle sasa yupo Newcastle. Dogo sitokaa nimsahau huyu noma sana.
YNWA
