Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,071
- 20,332
Tumeshinda lakini kwa mbinde sana.
Hizo ndio dalili Za ubingwa mkuu.[emoji3]
Tumeshinda lakini kwa mbinde sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] et dalili za ubingwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787], next game Leicester cityHizo ndio dalili Za ubingwa mkuu.[emoji3]
Tupo ugenini na hawa jamaa msimu huu kwao hawafungiki kirahisi aisee.
Patrick Viera alivyopata hii kazi Selhurst Park nilijua fika hatamaliza mzunguko wa kwanza kabla hajatimuliwa kazi, aisee kiukweli ame ni sapraizi sana kazi kubwa amefanya aisee.
YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] et dalili za ubingwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787], next game Leicester city
We have done a double this season watulie tuli haha so cool yaaani they meant to spoil the rhythm but hawajaweza at the end Jota made the difference with that timed run behind the lines...Mara ya mwisho kwenye Epl kutufunga hao jamaa ni 2017. Siku zote hatuwafungagi kila hisi hao jamaa.
Huyu jamaa akishafunga ndevu huwezi kumfunga kirahisi ujue 😂😂😂🤙🤙🤙🤙....
😂😂😂😂😂No Salah No Mane No problem...Wapi salah,wapi mane [emoji3].walikuwa wanasema hatutafunga magoli sasa kiko wapi tumebakiza mechi na leicester tu kama watafika final wasipofika final mechi na leicester watakwepo .mechi na Cardiff sihesabii kwakuwa tutashinda na hata wangekwepo wasingecheza.
Sasa wataturia maana ohoo watakuwa afcon mtakoma [emoji3].
Jamaa wanalalamika kuwa tumepewa penalty ya mchongo.Bearded Brazilian Samba boy
Huyu jamaa akishafunga ndevu huwezi kumfunga kirahisi ujue 😂😂😂🤙🤙🤙🤙....
Huyu mwamba kwa kweli is next level.
Concentration yake perfect.
One game at time...
Kipara jana kasema anashangaa sana wanaosema ubingwa ni wake haha anasema lazima angekua anaongoza ligi kwa tofauti ya pointi 40 kati yake na Liverpool pengine ange relax kusema ubingwa uhakika lakini kwa hali ilivyo sasa sio rahisi kwake kama wengi wanavyodhani...
YNWA
Liverpool will have Mohamed Salah, Sadio Mané, Naby Keita, Thiago Alcantara & Harvey Elliott back for their next Premier League match.
Walitusema sana hasa tulipotoa sare na ile Arsenal pungufu.Ohoo,wakienda afcon mtakoma,sasa hivi watakuwa wanaona Aibu.