Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Dele kasukumwa.

Salah kashika mpira.

Nikafikiri wataangalia VAR kuona kama Trent alifanya contact na Dele, au kuona kama Salah alishika kabla mpira haujamfikia Trent.

Nikaona tu mtu katibiwa mpira ukawekwa kati.

Spurs leo wamejituma hadi nikashangaa. Ila zile chansi walizopoteza nikajua kumbe Spurs bado ina safari ndefu.
 
ingetumika var vzuri ...


Kane angekula red card ...

Goli la pili la robbo lingekataliwa ,Salah alishika mpira ...

Foul ya jota ingekuwa penalty .....

Robbo angepata red card kama alivopata ...


Game ilikuwa na pressure mno referee kajitahidi ....


Spurs kunakitua wanakitaka ,wanataka top 4 ....
 
ingetumika var vzuri ...


Kane angekula red card ...

Goli la pili la robbo lingekataliwa ,Salah alishika mpira ...

Foul ya jota ingekuwa penalty .....

Robbo angepata red card kama alivopata ...


Game ilikuwa na pressure mno referee kajitahidi ....


Spurs kunakitua wanakitaka ,wanataka top 4 ....
Goli halina shida. Revisit the football rules please.

Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
 
Konate jana woow whats a game kama ataedelea hivi plus aongeze spidi na game plan na kusoma mipango ya opponent vyema mbona tutakua sorted for so many many years..

Trent defence duties tangu apumzike VVD amekua level zingine kabisa... Ooh man huyu ni future captain wa Liverpool hilo lipo wazi sio kwa kujituma kule kwa janaaaaaaaa....

Morton, Keita, Milner ni pedestrian no real threat kwenda mbele ni real urgency kuzuia mashambulizi yaaani mbele hawapo nyuma hawapo kati hawapo... Hopefully Henderson, Jones watakua wame recover as soon.

Ni kazi ngumu kuvaa viatu vya Fabinho aisee hivyo hapa tutayumba kimtindo lakini umakini wa kutopoteza pasi hovyo utasaidia aisee...

Hivi January hii Klopp kwa nini asitue Fiorentina mazima kumchukua strika Dusan Vlahovic dogo ana miaka 21 nani real poacher aisee... Japo hili halisemwi mara kwa mara bado naamini tunahitaji mfungaji wa ukweli, pale mbele tunatengeza nafasi nyingi sana na bado nyingi wachezaji wetu wanakua sio clinical.. Hili lazima solutions ipatikane. Na huyu mwamba wa Serie A ndio jawabu bei yake haifiki £50m kwa sababu amegoma kuongeza mkataba hivyo ilikua tu Klopp atue mazima na magoli tumepata. Naona Arsenal, Tottenham, Juventus, Newcastle wanamtupia macho hivyo ni swala la kuwai chap.

YNWA
 
Konate jana woow whats a game kama ataedelea hivi plus aongeze spidi na game plan na kusoma mipango ya opponent vyema mbona tutakua sorted for so many many years..

Trent defence duties tangu apumzike VVD amekua level zingine kabisa... Ooh man huyu ni future captain wa Liverpool hilo lipo wazi sio kwa kujituma kule kwa janaaaaaaaa....

Morton, Keita, Milner ni pedestrian no real threat kwenda mbele ni real urgency kuzuia mashambulizi yaaani mbele hawapo nyuma hawapo kati hawapo... Hopefully Henderson, Jones watakua wame recover as soon.

Ni kazi ngumu kuvaa viatu vya Fabinho aisee hivyo hapa tutayumba kimtindo lakini umakini wa kutopoteza pasi hovyo utasaidia aisee...

Hivi January hii Klopp kwa nini asitue Fiorentina mazima kumchukua strika Dusan Vlahovic dogo ana miaka 21 nani real poacher aisee... Japo hili halisemwi mara kwa mara bado naamini tunahitaji mfungaji wa ukweli, pale mbele tunatengeza nafasi nyingi sana na bado nyingi wachezaji wetu wanakua sio clinical.. Hili lazima solutions ipatikane. Na huyu mwamba wa Serie A ndio jawabu bei yake haifiki £50m kwa sababu amegoma kuongeza mkataba hivyo ilikua tu Klopp atue mazima na magoli tumepata. Naona Arsenal, Tottenham, Juventus, Newcastle wanamtupia macho hivyo ni swala la kuwai chap.

YNWA
@Captain Marvelous mwamba niajeeeeeee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom