Mkuu usihofu sana tunaishi mara moja tu acha vifanyio vigusane 😀
Kwa kweli nimekosa game kali, mimi naona FSG Hawa ndio wanatukost sana hawataki kusajiri wanategemea miujiza kila Mara wanamuona klop kama yesu.
Mwenzao kipara kule anapewa kila anachotaka Ila hawa wa huku kwetu hawana tofauti na mudi wa simba,
Wanaingiza faida na kutoa pesa irudishe faida hawataki matokeo yake ndio kama hivi, key players wakikosekana tuna struggle sana,
Naona klop angeondoka atuachie team hili maana inakoelekea atajiharibia cv sababu ya mabosi wachaga wa marekani.
Hivi Gomez alipona kumbe? Jamaa akichezaga kati huwa anatisha sana shida yake inategemea na atakavyoamka siku hiyo.
Ila i prefer Gomez na matip kuliko kounate mkuu.