Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Kwa hio ndio Inter Milan mambo yatakua hivi yaaaaani...
YNWA
YNWA
Hivi ile ya Kane kipindi cha kwanza kwa nini sio Red yaaaaani....
YNWA
DahFT
Spurs 2 - 2 Liverpool

Yaani leo tunachanwa kweupee kama hatupo vile...
Midfielder pale kati ni mizigo..
Defence mizigo yaaani bila Alisson mbona leo nyingi sanaaa...
Robertson silly tackle aafu anacheka yaaani i miss old Fergie maana kama hapa mchezaji mbona angeisoma namba..
Na ni Captain wa Scotland anafanya ujinga kama huu like serious...
YNWA
Yaaani ugenini na kikosi kilivyo finyu hivi tumetoka na pointi moja mbona kama ushindi kwetu huu...Kipindi cha kwanza Refa aliwastahamilia sana
Tukumbaliane hatuna kikosi cha kuwakimbiza Manchester City tunahitaji kabisa na bahati kama leo ili kua nao aisee maana hivi Spurs wamekosa aje yale magoli yao yaaani...Mkuu pale kati Aibu Aisee.ila Spurs wakawaidia sana yaani hapo ndio full kikosi? HAwatuwezi










utafikili mieleka ...Double standards.... Poor referringHajataka kwenda kuangalia,angeenda ingekuwa red card ile.
Marefa wanatuchukia Arsenal, inawezekana mmenyimwa red card ili Spurs amtoe Gunners Top four ahaaahaYaaani ugenini na kikosi kilivyo finyu hivi tumetoka na pointi moja mbona kama ushindi kwetu huu...
MF ndio hua injini ya Liverpool ya Klopp na leo hakika ilikua hafifu sana.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwa matokeo haya.
Refa kituko sana yaaani faulo aliyocheza Kane hakustahili kwenda kwenye kitivi ila kwa Robertson amekimbilia kwenye kitivi...
Mwezi huu wa December ni dhahiri marefa UK ni kama wamechoka sana kwa kweli wakale krismasi warudi wakiwa na vichwa sawa sio haya ya leo..
YNWA





Will Jr jamani asa nyie mahasimu wa kudumu na Spurs kwa hio sasa ni mission ya kuwatoa BIG 4 waingie wao Hahaha duuh basi imekula kwao maana tumegawana keki leo hakuna zaidi...Marefa wanatuchukia Arsenal, inawezekana mmenyimwa red card ili Spurs amtoe Gunners Top four ahaaaha
Pale Pain Killer utashuka aisee...Kama mnaweza mtufuate pale juu ....
Three point ahead,top of the table
Kabla ya kutuombea kupoteza game nyie mnauhakika wa kushinda zenu..Pale Pain Killer utashuka aisee...
Kipara alipo hana furaha maana anajua hatari kwake ni Liverpool na tupo na nyinyi mpaka kieleweke...
YNWA
Je umelewa?Klopp out sosha in