Tell them babeNilishaolewa mkuu.
Wewe dgo nenda kajichueNyie bado ni matakataka tu hata Kama munashinda lakini Nina hakika sisi bado tutamaliza ligi juu yenu ..apo kwenye kubeba ubingwa nilijipa uhakika Ila saivi mmmh mambo magumu aise ..lakini sisi bado ni mabingwa banangoja tuwape wape eya taimu kidogo muruke ruke ili angalau musikose hata top four ..wakati mabingwa wapya tunatawazwa hapo May.
In God We Trust. Unajua sisi Chelsea ni Watoto Wa Mungu ivyo tunatingishwa kidogo ili kupimwa Imani yetu lakini ilishatabiriwa kitambo kinyama kuwa Bingwa "atatoka upande wa kaskazini"![]()
Hivyo nyie endeleeni kuamini kwamba muña timu ya kubeba ubingwa hamujui kwamba mpira ni sayansi.
#CFC![]()
Mrudi hapa baada ya mechi kuisha.Wale wa Spurs tujuane mapema ....
Come on Spurs .....
Conte come on ....
Huyu kipara hafaiDah! Man city anakichafua huko
Huyu kipara kutoka pale juu sidhani, alafu kikosi cha leo sikielewi elewi hiviHuyu kipara hafai




Ameng'ang'ania pale juu.Huyu kipara kutoka pale juu sidhani, alafu kikosi cha leo sikielewi elewi hivi![]()
Timu lao bovu linaelekea kudraw na wolvesWolverhampton Wanderers unawajua Ollachuga Oc.
YNWA
Wolverhampton Wanderers unawajua Ollachuga Oc.
YNWA
Ata chelsea naye kacheza katika mazingira hayohayo ya corona kikubwa ukaze ila hiyo sio sababu hivi sasa.VVD out
Fabinho OUT
Thiago OUT
Henderson OUT
Dah! Corona nuksi sana