Nyie mmeshawahi kukaa hapo juu mpaka mzunguko wa kwanza unaisha na hamkubeba ubingwa.Tunaongoza ligi hahaha Ollachuga Oc na vijana wake upo uwezekano wakasahau kukaa pale juu tenaaaaa....
Origi the man for the big moments.
Tukumbushane matokeo ya leo
Chelsea 2.. Westham 3
Liverpool 1.. Wolverhampton 0
YNWA
Nimempenda TAAHuu uchoyo alioufanya Jota ni wa kupigwa Risasi.
Yani pana Mane na Salah kashindwa kutoa pasi
Lakini nimemsamehe
Nyie mmeshawahi kukaa hapo juu mpaka mzunguko wa kwanza unaisha na hamkubeba ubingwa.
Msijisahaulishe.
yes... uko sawa...Mkuu saizi tunaongoza ligi swala la kutokuchukua ligi ni lingine .
We are top of the table .
Tugange yajayo ndugu yaliyopita yaache huko huko haisaidii kusema leo ulianza ligi ukiwa kileleni lakini mpaka Pep anamalizana na Claudio kuna uwezekano ukawa nafasi ya 3.Nyie mmeshawahi kukaa hapo juu mpaka mzunguko wa kwanza unaisha na hamkubeba ubingwa.
Msijisahaulishe.
Haina shida huu upepo tu kwa kila mmoja...Tugange yajayo ndugu yaliyopita yaache huko huko haisaidii kusema leo ulianza ligi ukiwa kileleni lakini mpaka Pep anamalizana na Claudio kuna uwezekano ukawa nafasi ya 3.
YNWA
Kabisa ndugu hii EPL msimu huu hata bingwa atakua kawaacha wa pili na wa tatu kwa pointi chache sana.Haina shida huu upepo tu kwa kila mmoja...
Football without Origi is nothing.Klopp kila akitaka kumuuza Origi moyo unasita,huyu jamaa nyakati za shida anaikoa Liverpool.
Nyie matakataka munasemaje? Na nyie munataka kuongoza ligi Kama Chelsea? Muna uwezo uo?
Origi in....
Hizi ndio game zake. Anatuokoa sana....
SawaLeo hamshindi its either mgongwe au mtoe draw
TuliaaaaAkuokoe uendee wapi tulia hivo hivo
Unateseka ukiwa wapi mkuu?Nyie mmeshawahi kukaa hapo juu mpaka mzunguko wa kwanza unaisha na hamkubeba ubingwa.
Msijisahaulishe.
Tunakumbushana tu, mmeongoza ligi kwa dakika 24 tu.yes... uko sawa...
Me siyo liver....Tunakumbushana tu, mmeongoza ligi kwa dakika 24 tu. View attachment 2033072