Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huu uchoyo alioufanya Jota ni wa kupigwa Risasi.

Yani pana Mane na Salah kashindwa kutoa pasi 😠

Lakini nimemsamehe
 
Tusiposhinda basi tutakua majuha, Chelsea alisare vs Burnley , jioni tukapoteza kwa westham

leo wamepoteza , jioni tunaelekea kutoa sare
kwa mentality hii ya kushindwa kufaidika na kupoteza point kwa aliyejuu yetu basi ubingwa tutausikia tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom