Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Ollachuga Oc atakua sijui kajificha chaka lipi aisee...

Hii ligi haitaki maneno mengi ni simple lets the results speak

YNWA

Sijui bado watakuwa na moyo kwamba wanachukua ubingwa?

Maana walikuwa wanaongozA ligi ukiwaambia nyinyi hamchukui hawakuelewi.

Walianza ligi kwa mbwembwe kuna kipindi walituacha points 4. Wakajiona wameshachukua ubingwa. Sasa hivi tumewaacha point 1.

Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini chelsea itachukua ubingwa.
 
Sijui bado watakuwa na moyo kwamba wanachukua ubingwa?

Maana walikuwa wanaongozA ligi ukiwaambia nyinyi hamchukui hawakuelewi.

Walianza ligi kwa mbwembwe kuna kipindi walituacha points 4. Wakajiona wameshachukua ubingwa. Sasa hivi tumewaacha point 1.

Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini chelsea itachukua ubingwa.
Ligi bado sana Mkuu. Ni 3 horse race kati ya Liverpool, Manchester City na Chelsea.

Usiemtaka sasa kakaa pale kileleni yaaani sasa ni game management ya hali ya juu maana huyu kipara hachelewi kushinda mechi 20 zijazo haha...

Fomu yetu kuanzia January 2022 ita determine tutakapomaliza msimu huu.

YNWA
 
Ligi bado sana Mkuu. Ni 3 horse race kati ya Liverpool, Manchester City na Chelsea.

Usiemtaka sasa kakaa pale kileleni yaaani sasa ni game management ya hali ya juu maana huyu kipara hachelewi kushinda mechi 20 zijazo haha...

Fomu yetu kuanzia January 2022 ita determine tutakapomaliza msimu huu.

YNWA

Mkuu sisi waelewa tunalijua hilo ligi bado .kuna mambo mengi yanatokea saizi chelsea injury’s zinawaandama.

Kipara sijui pale juu anatoka vipi?

Ila naona sasa hivi wachezaji wetu wanaokuwa injury wanarudi atabaki tu firmino Na Eliot.
 
Sisi huwa hatuna mbwembwe kama hao chelsea kwanza hata huwa tukifungwa tuna maintain temper sasa ingia kwenye uzi wa chelsea kule , lawama sio kwa mendy mara chilwel mara ng'olo kante majeruhi mara wanataka kumfukuza TT wamlete Sosha aliye toka man u
 
Na imeandikwa
Wa kwanza kwanza atakuwa wa tatu 😀😀

Wagonga nyundo huwa hawatuangushi wakuu..
 
Sijui bado watakuwa na moyo kwamba wanachukua ubingwa?

Maana walikuwa wanaongozA ligi ukiwaambia nyinyi hamchukui hawakuelewi.

Walianza ligi kwa mbwembwe kuna kipindi walituacha points 4. Wakajiona wameshachukua ubingwa. Sasa hivi tumewaacha point 1.

Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini chelsea itachukua ubingwa.
Me too
 
Kuna pundit bongo nimemsikia anamweka Jota na Chicharito in same bracket, does it sit right?
Must be a lazy pundit, i think alikuwa anajaribu kuonesha ufanano wa Jota na Chicharito katika suala nzima la kuwa ruthless kwenye box kwasababu ya timing & quick reading of the ball movement but then alitakiwa kuangalia all-round play ya Jota & Chicharito, ni 2 different players.

Chicharito ni "typical" number 9, Jota ni "typical" winger, RW/LW, but Klopp is playing him as inside forward/false 9 or as a second 10, his job is to score/link up play/press/hold or occupy the attacking channels for our Wingers, ningesema ku-assist but that is not one of his strength so his main job ni kufunga/occupying attacking channels/press from halfspaces, higher-up the pitch & kuiba first balls, roles ambazo haziwezi fanywa na typical number 9 kama Chicharito, Chicharito was a poacher, a very good poacher but ange-struggle sana kipindi hiki cha VAR, maana strengh yake kubwa sana ilikuwa ni NDANI YA BOX, tofauti na Jota.

Kama angefanya a little research nadhani angepata room ya kuwa more specific.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom