Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
yes... uko sawa...

Mkuu swala la kuongoza ligi sisi sio washamba wakuongoza ligi ila tunaongea kuwakejeli chelsea maana wao kuongoza ligi wanaona kama Bahati,walikuwa wanapiga kelele humu tunaongoza ligi.

Mfano Arsenal akiongoza ligi watakuja kusema hapa kwamba wanaongozA ligi.


Kuongoza ligi sio muhimu sana maana hata Man U alishaongoza ligi saizi yuko wapi?
 
Mkuu swala la kuongoza ligi sisi sio washamba wakuongoza ligi ila tunaongea kuwakejeli chelsea maana wao kuongoza ligi wanaona kama Bahati,walikuwa wanapiga kelele humu tunaongoza ligi.

Mfano Arsenal akiongoza ligi watakuja kusema hapa kwamba wanaongozA ligi.


Kuongoza ligi sio muhimu sana maana hata Man U alishaongoza ligi saizi yuko wapi?
Sawa bhana naona na nyinyi mmeshangilia kuongoza ligi kwa dakika kadhaa saiv man city yupo kileleni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom