Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Tunacheza na nani?Mkuu hii ratiba yako kama sio vile. Mbona gemu yetu kesho Jumamosi saa kumi na mbili jioni.
YNWA
Tunacheza na nani?
Tunachezea wapi?Wolves
Tupo ugenini kesho Wolverhampton.Tunacheza na nani?
Tunachezea wapi?
Jota atatuokoaTupo ugenini kesho Wolverhampton.
Ni gemu ngumu sana maana kocha wao mpya Lage kuwajenga ki vingine sana msimu huu lakini no worries we got Jota haha...
YNWA

Oh okeeUgenini nyumbani kwa wolve
Oh okee
Mechi za ugenini huwa zinanipa presha.
No Firmino no problem we got Jota...Jota atatuokoa![]()
Umekunywaa mchuzi wenye pilipili eeeh,Afu nyie nawatamani Sana muje pale OT niwabandue maana mlibahatisha mechi iliyopita.

Nimepata nguvu ya kuangalia mechi kesho.No Firmino no problem we got Jota...
Jota pale ni nyumbani kwake hivyo atacheza kama yupo kwao vile haha..
Baunsa Traore kiwango kimeanza rejea nadhani anafanya display ya kutafuta mauzo January...
Rekodi yetu ugenini ndio bora kabisa kuzidi timu zote hivyo tuna probability kubwa ya kushinda...
Wachezaji wetu viwango vimeanza kurejea na mechi sasa zinakuja kwa wingi hivyo ni jambo njema sana...
YNWA