Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu tatizo hizi kuku zinaamini kikosi Chao ni Bora kuliko. ..Sasa mbaya zaidi hawana hata sub za maana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hiki kipigo ni proper wake up call kwa Klopp kuhusu pale kati yaani tunakua overran kirahisi sana...

Tuombe wachezaji wetu wanaokwenda mechi za kimataifa warudi wakiwa wazima kabisa..

YNWA
Tatizo ni klop mwenyewe na mifumo yake, japo kuna maajabu goli la pili Ox anamsindikiza mtu kama mshenga vile badala acheze hata technical foul
 
Hahahahahahaha hahahahahahahaha hahahahahahaha Anibiteni kama AnibiteniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Hizi kuku Leo zimeteseka aisee.....


Mimi binafsi hiki kipigo nilijua mnaenda kuchezea [emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Westahm wajinga wale hawana fomular ,wanacheza kwa kukamia ,nguvu ,yanapanda na kushuka yote ....yametutoa carabao hivo hivo ....


Tunawasubili epl tuwapige goli za kutosha mamaeeee...
 

3-3 apo

Kliilooop dkk ya 98
Sisi bado ni unbeaten πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Mmeanza kupoteana kufika Januari mtakuwa nafasi ya 10 huko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…