ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
Rent boyz.
Wamepata sare huko .sasa hivi akili zitaanza kuwa kaa sawa .
Mkuu kwani ninyi mlivyopata sare akili iliwakaa sawa.
Kujidai ni kwa kila timu kabla ya mchezo na baada ya mchezo.
Mfano leo mbano wote mnasema mnaenda kushinda. Tayari mna matokeo mkononi au mfukoni. Kwenye mpira lazima tujitape kabla ya mechi. Na baada ya mechi.
Ukifungwa umesidiwa mbinu ukishinda umemzidi mpinzani wako mbinu



.


