Hahaha hapana mkuu ni uwezo tu wa kuusoma mchezo.Kwani we jamaa unafanya kazi na klopp??
Asante mkuu sema mie huwa napitapita huku mara moja moja. Ni kwamba tu huu uzi unakimbia sana kila nikija nakuta comments si chini ya 100 hivyo sipati wasaa wa kusoma zote.Mkuu mtendee haki na Karma
Wale huwa wabangaizaji tu.ATM wshakuwa wake zetu
We mzeeNilikabiliwa na majukumu mazito ya kitaifa. Ila nilikuwa nawasomeni kwa makini sana.
Picnic hapana mkuu... nimeamua kuwa karibu na watumishi wenzangu wa Mungu




Nasikia Swalehe naye ni shahidi kwenye kesi ya Mbowe. Kumbe kameshakuwa kakubwa...We mzee![]()
Nmekanunulia paka sa hviNasikia Swalehe naye ni shahidi kwenye kesi ya Mbowe. Kumbe kameshakuwa kakubwa...


Liver ni muda wa kuchukua EPL na UCL at the same time...


mkuu punguza kuwa kilaza ...Hahaha Cadabra hata Europa naona wataikosa wakomae na Serie A..Hahaha yeah inatoa sare hii. Cadabra thought he has scored 😂😂
Keita body always let him down the moment he want to justify price yake basi huyoooo injury inamfuata...Hata Keita akiwa fit na akiwa kwenye form kama Ile na Man U.... ubingwa nje nje hata EPL