Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Sadio Mane, The Liverpool Star Senegal earning approximately £11.5M per year has given the world a lesson in modesty after some fans spotted him carrying a cracked iPhone. His response is legendary:
"Why would I want 10 Ferraris, 20 diamond watches, and 2 jet planes? What would that do for the world? I starved, I worked in the fields, I played barefoot, and I didn't go to school. Now I can help people. I prefer to build schools and give poor people food or clothing. I have built schools & a stadium; we provide clothes, shoes, and food for people in extreme poverty. I give 70 euros per month to all people from a very poor Senegalese region in order to contribute to their family economy. I do not need to display luxury cars, luxury homes, trips, and even planes. I prefer that my people receive a little of what life has given me,"

248796984_606139940557619_106536830432629703_n.jpg
 
LIVERPOOL LIVERPOOL LIVERPOOL
Nlichogundua kuhusu LIVERPOOL ni kwamba wachezaji wetu na benchi zima wapo kwenye ARI KUBWA msimu huu
Alafu pia kuna AMANI na FURAHA Pia kuna UMOJA tukiendelea hivi msimu huu kuna legend atafungwa tena 5 zingine nadhani hakuna timu yoyote ile Barani ULAYA ambayo inaweza kutukaribia UCL Wapinzani wetu ni Real Madrid na Hawa Mabaharia Wakijerumani Bayen Munich Hamna timu nyingine narudia tena kusema HAMNA TIMU Nyingine tena ambayo ina uwezo wa kutusimamisha labda sisi wenyewe tuwe wazembe ila kama mambo yatakwenda hivi tutegemee mazuri LIVERPOOL
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom