LIVERPOOL LIVERPOOL LIVERPOOL
Nlichogundua kuhusu LIVERPOOL ni kwamba wachezaji wetu na benchi zima wapo kwenye ARI KUBWA msimu huu
Alafu pia kuna AMANI na FURAHA Pia kuna UMOJA tukiendelea hivi msimu huu kuna legend atafungwa tena 5 zingine nadhani hakuna timu yoyote ile Barani ULAYA ambayo inaweza kutukaribia UCL Wapinzani wetu ni Real Madrid na Hawa Mabaharia Wakijerumani Bayen Munich Hamna timu nyingine narudia tena kusema HAMNA TIMU Nyingine tena ambayo ina uwezo wa kutusimamisha labda sisi wenyewe tuwe wazembe ila kama mambo yatakwenda hivi tutegemee mazuri LIVERPOOL