Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

LIVERPOOL LIVERPOOL LIVERPOOL
Nlichogundua kuhusu LIVERPOOL ni kwamba wachezaji wetu na benchi zima wapo kwenye ARI KUBWA msimu huu
Alafu pia kuna AMANI na FURAHA Pia kuna UMOJA tukiendelea hivi msimu huu kuna legend atafungwa tena 5 zingine nadhani hakuna timu yoyote ile Barani ULAYA ambayo inaweza kutukaribia UCL Wapinzani wetu ni Real Madrid na Hawa Mabaharia Wakijerumani Bayen Munich Hamna timu nyingine narudia tena kusema HAMNA TIMU Nyingine tena ambayo ina uwezo wa kutusimamisha labda sisi wenyewe tuwe wazembe ila kama mambo yatakwenda hivi tutegemee mazuri LIVERPOOL
Na Yanga ya Feisal
 
Adjustments.jpg
 
Group Of Death....

Mapema sana tumemaliza haya maneno. Tunaongoza kundi..
Tuna gemu 2 moja ugenini dhidi ya Ac Milan na moja nyumbani dhidi ya Porto..

Klopp kasema atapanga kikosi cha kushinda zote kwani kila ushindi Uefa Champions league kuna ela nyingi tu inaongezeka kuingia Klabuni hivyo...

YNWA
 
LIVERPOOL LIVERPOOL LIVERPOOL
Nlichogundua kuhusu LIVERPOOL ni kwamba wachezaji wetu na benchi zima wapo kwenye ARI KUBWA msimu huu
Alafu pia kuna AMANI na FURAHA Pia kuna UMOJA tukiendelea hivi msimu huu kuna legend atafungwa tena 5 zingine nadhani hakuna timu yoyote ile Barani ULAYA ambayo inaweza kutukaribia UCL Wapinzani wetu ni Real Madrid na Hawa Mabaharia Wakijerumani Bayen Munich Hamna timu nyingine narudia tena kusema HAMNA TIMU Nyingine tena ambayo ina uwezo wa kutusimamisha labda sisi wenyewe tuwe wazembe ila kama mambo yatakwenda hivi tutegemee mazuri LIVERPOOL
Ngoja wanaojifanya timu kubwa duniani waje wanaojiita wazee wa 2000's...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom