42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Sisi ngolo kante akiwa majeruhi kuna match nyingi sana tunapata matokeo...Wewe ukimkosa tu salah upo hoi hii ndio tofauti yangu na wewe
Wao aumie hata VVD tu...
Sisi ngolo kante akiwa majeruhi kuna match nyingi sana tunapata matokeo...Wewe ukimkosa tu salah upo hoi hii ndio tofauti yangu na wewe
Ona takataka hii. Eti hatuna mchezaji wa kutupa ubingwa???Unasema hivyo kwa kuwa amesifia timu yako.
Kiukweli Mkuu hamna mchezaji wakuwapa ubingwa wa pale Epl mpaka sasa,ni swala la muda tu utanielewa.
Utakataa kwakuwa unaongoza ligi kwa point 3 hizo.
Mngekuwa hamja fungwa mpaka saizi labda ningeogopa ila mmefungwa mmetoka draw.
Sema mashabiki wengi wenu bado hamfatilii mpira vizuri.
Yaani chelsea kuanzia leo mpaka ligi inaisha atakuwa yupo tu hapo juu ,kweli?
Ata ile invicible ya Arsenal haikuongoza ligi muda wote.
Me nimeanza kufatilia ligi ya Epl muda mrefu sana.hizo kelele kama za kwako tulishakutananazo sana kwa timu zingine na Man U msimu uliopita,lakini Man U waliishia wapi Msimu uliopita?
Huko kwa salah tusiongee sana VVD akipata majeruhi ya muda mrefu mbadala wake ni nani?Mkuu kwa wastani salah kukosa mechi Msimu mzima ni mechi moja na huwaga haumii yeye.
Salah huwaga hakosekaniki kwa maana nyingine.
Timu ya kawaida uliyoshindwa kuipiga goal wakiwa 10 uwanjani.Ni kweli ubingwa unawafuata Chelsea maana wana timu ya kawaida sana lakini wanapata matokeo.
Huu mwezi wa 11 ukiisha bado chelsea anaongoza ligi mkatafute kazi nyingine ya kufanya...Mkuu mwaka jana unakumbuka everton na aston villa mechi 5 za mwanzo?
Walishinda mechi zote aston villa alikuwa hajarusu goli lolote,mlikuja hapa mkatuaminisha watachukua ligi me nikawapinga uzuri mkanielewa.
Everton Uliwatabiria watafanya vizuri chini ya Carlo,ligi imeisha wako nje ya top 10.
Msimu uliopita Walikuja Man U ukatuaminisha tena watachukua ubingwa lakini wakaangukia pua.
Kuna muda pia msimu huu kuna watu walisema Man U watachukua ubingwa lakini Saizi hawasemi tena maana Man U na Arsenal point sawa na Arsenal na wao arsenal wataanza kusema tunachukua ubingwa.
Kwa mtazamo wangu ni sisi na man city tukiongoza ligi tunakuwa bado hatuamini kama tutachukua ubingwa mpaka mwisho wa ligi au gap la point liwe kuanzia point 15 huko na kuendelea,tofauti na hapo hakunaga kelele kwamba ubingwa wa kwetu Safari hii.
Timu zingine zikiwa hapo juu kelele zinakuwA nyingi sana kulazimisha kwamba tuwaamini wao ndio mabingwa wa msimu.sijajua kwanini iko hivyo hiyo.hizo kelele usije ukaziogopa misimu yote zipo hizo kelele hata msimu ujao pia zitakuwepo pia.
Kusema chelsea ni mabingwa msimu huu ni sawa kwa upande wako maana unaangalia upepo Uko wapi saizi,ila mambo yanakuwa yanabadilika especially kwenye Epl.
Kuna muda tena utafika utatuaminisha timu nyingi tena kwamba ndio watakuwa mabingwa.tutakubali pia maana tunaangalia upepo uko wapi Saizi.
Navyoona saizi upepo unavyoenda Arsenal na wenyewe wanakuja soon watatulazimisha tuamini wao watakuchua ubingwa ,kuanzia wafungwe zile goli tano na man city hawajafungwa tena mpaka leo hii
Kwa upande wangu me simpi nafasi chelsea ya kuchukua ubingwa kwasababu tu saizi anaongoza ligi .sijaanza kuifatilia leo Epl naijua vizuri sana.
Na sasa hivi wataendelea kuonekana maana walianza na mechi ngumu saizi naona wako na timu zinazoshika nafasi ya mwisho kwenye Epl.(norwich,Newcastle).
Wachezaji kama nani kwa mfano?Mkuu kiukweli hamna wachezaji wakuwapa ubingwa pale Epl, ni swala la muda tu.
Saizi hautaelewa subiria ligi iishe ndio utaelewa,hawezi kuelewa saizi kwa sababu unaongoza ligi.
Na hutaki kusikia chochote zaizi ya kuambiwa unachukua ubingwa.
Huyu jamaa ni kichwa maji...Mbona nyie hamjabebeka sasa na kina Brighton n Brentford![]()
Tunaongoza GD haya unataka kusemaje?Chelwowo haiongozi magoli ya kufunga wewe
Hahahah mtajua hamjui....Tuache utan Chelsea ubingwa unawafata ....
Wengine tuliobaki city ,liverpool ,man utd tunautafuta ubingwa ....
Game ya liverpool vs Chelsea..
Game ya Brentford vs Chelsea ...
miongoni mwa game zilizokuwa zinaonesha kuwa ubingwa wa epl unaifuata Chelsea ,Wala Chelsea hatafuti ubingwa ....
Sisi ngolo kante akiwa majeruhi kuna match nyingi sana tunapata matokeo...
Wao aumie hata VVD tu...
Tunaongoza GD haya unataka kusemaje?
Hahahah kwa hiyo kipimo ni kunaliza juu ya Chelsea?Acha uongo VVD mbona last season hakuwepo na tukamaliza juu yenu
Hahahah kwa hiyo kipimo ni kunaliza juu ya Chelsea?
Hii timu ni vituko
Yes msimu uliopita hajacheza match nyingi mlibeba ubingwa?We si umesema VVD asipokuwepo tunakuwa kama Norwich
Inakuaje ina team yakawaida ukiwa inaongoza magoal yakufunga na ndio team iliyoruhusu magoal machache huo ukawaida unaozungumza uko wapi?
Kama nyie mlivyo kuwa mkiliwa?Yes msimu uliopita hajacheza match nyingi mlibeba ubingwa?
Si kila mtu alikuwa anajilia vyake?
Tuliliwa mpaka tukabeba UCL...Kama nyie mlivyo kuwa mkiliwa?
Hii minamaa huwa inaropokaga tu bila fact yeyote achana nayo, na itakuja na hoja nyingineeeeChelsea haiongozi kwenye magoli ya kufunga mkuu,yaani mlivyoshinda zile goli 7 na 3 hizo ndio unalazimisha kwamba mnaongonza goli za kufunga kweli?. Sasa ukaona utawadanganya watu huku.
View attachment 1993706
Epl kwani mlibeba nyie? Mbona huwa hamna hoja za maana?Tuliliwa mpaka tukabeba UCL...