Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Keita wanaedelea na scan ndio klabu itoe taarifa kamili ya lile jeraha. Klopp anasema dogo ana maumivu makali sana.Captain vipi taarifa ya keita?
YNWA
Keita wanaedelea na scan ndio klabu itoe taarifa kamili ya lile jeraha. Klopp anasema dogo ana maumivu makali sana.Captain vipi taarifa ya keita?
Funny enough the bookies had Manchester United as favourites for the title capturing Varane, Ronaldo and Sancho as their added advantage...
Henderson the yesterday Xavi hahahaha ama kweliiiiiiiiiiiii... Yaani 114 touches aisee.
ooh!!!
....Guys, YOU WILL NEVER WALK ALONE... hebu iendelezeni thread yenu, duh, mmeuchuna as if hamuongozi league? au hamjiamini amini?
haya.... nitarudi tena humu mpaka mzoee!!!
Mkuu lembu tunaamini tunapambana kushinda EPL na UCL hivyo tutakomaa mpaka dakika ya mwisho....Labda January tena muwe na pumzi kweli kweli, ratiba yetu inaonyesha kuwa tutaendelea kuteremka
Huyo jamaa ndio huwa kawaida yake.Mimi nazungumzia Timu wewe unanitajia Kigenge cha Walimbwende! Yani kumlinganisha Bakhressa na Babalevo?
SimTank alibahatika Magoli ya Mdondo kwenye mechi 2 za kwanza wakaona ni bonge la Striker kumbe ni Mugalu aliyenenepa tu.



