A man himselfJurgen Norbert Kaizer KloppView attachment 1986004
It should have been 7 or 8Katika Maisha yangu sikuwahi kufikiria kama Game yetu v/s inaweza kuwa Rahisi kiasi hichi
Hivi si kulikuwaga na kelele za Klopp out, ziliishiaga wapi?
It should have been 7 or 8
Naona tulipoa after red card
Konate na keita jana walikua watu
Aise nimekubali ..huyu kiumbe anajua. Hongera kwa ushindi mnono. Ila mbele ya Chelsea mtakaa tu.
CFC
Tatizo ni mfumo jinsi timu inavyocheza ..yani kila mchezaji anataka kufunga. Tuseme tu ukweli TT bado hajaweza kujua namna ta kumtumia Lukaku vizuri.Mimi najua TT ni kocha mzuri lakini anashindwa vipi kumtumia mchezaji aliemsajili mwenyewe? Au tumpe muda?
Mataji yote makubwa yataenda London na kwingineko uko ..hii Liverpool kwa sasa pambanieni carabao cup.Wana wa Liverpool
Tuzidi kushikamana,umoja wetu ndiyo ushindi wetu!
Klopp anatupa taji kubwa tena msimu huu
Hii thamani yake haina tofauti na ya Mason Mount kijana mdogo tu.
Wewe mechi mbili unampiga goli Tisa wakati arsenal mechi moja tu alibatizwa bao 8.Kitu kimoja kilichosahaulika ni kwamba katika Michezo Miwili iliyopita pale OT tumefunga Magoli 9.
Mungu mpe maisha marefu Ole pale Manchester
Na sisi tukisema hivo hivo tutakuwa tunakosea? Maana tulicheza dakika 45 tukiwa pungufu na bado mkaambulia point moja tena kibao cha zawadi penati.Jambo pekee la kushukuru ni kwamba mulikutana na Liverpool kipindi ambacho bado haijachanganya speed. Olewenu mungekutana nayo kipindi hichi maji mungeita mma.
Aseee ngoja tumuone mpaka mwisho wa msimu kama goli zitafika 15 😂Tatizo ni mfumo jinsi timu inavyocheza ..yani kila mchezaji anataka kufunga. Tuseme tu ukweli TT bado hajaweza kujua namna ta kumtumia Lukaku vizuri.
God is helping ndo naamka... Na raha ya ushindiI miss you more love,,
Am doing fine love,how about you?