Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,533
- 81,262
January kuna winter break ya week mbili so tayari itapunguza idadi ya mechi ambazo wangekosa.Kila nikikaaa napata wasiwasi hapo mbeleni kila ninapoikumbuka AFCON.
Tutamkosa SALAH na MANE.
Huenda kikawa kipindi kigumu sana kwetu
Na pia tarehe 27 December ndio siku team za AFCON zitatangaza vikosi vyao rasmi (majina ya walioitwa) hiyo ni wazi watacheza game ya boxing day vs Leeds.
Pia kuna tetesi kuwa LFC wataongea na football associations za Misri Guinea na Senegal wawaruhusu wacheze kwanza game ya Chelsea tarehe 2 January maana AFCON inaanza tarehe 9 January na final yake ni 7 February.
Hapo January pia kuna rounds mbili za FA cup zinachezwa na pia nusu fainali ya Carabao cup. Hizi mechi tunajua hata wakiwepo wangeweza kupumzishwa.
So game mbili tu za muhimu ndio wanaweza kuzikosa za Brentford tarehe 15 na Palace tarehe 22 January.
Game ya Leicester ya tarehe 9 February itategemea na team zao zitakuwa zimefikia hatua gani huko AFCON so kama kuna ambae atakuwa amecheza fainali lazima atai miss hiyo maana ipo siku mbili baada ya fainal.
