OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Salah anaibeba hii liverkuku na anataka mzigo kwa week pound lako tano ongezeni pesa la sivyo mtakosa huruma take.
Andamana basi ili wakuweke hiyo nafasi....Jibu swali msimamo haunihusu maana najua hio sio nafasi yenu
Alafu ww ambae huwa ukipgwa huonekani kwenye jukwaa hili tuliaPSG leo hajapiga shot hata moja na kachezea kipigo mbele ya Renes Tena na clean sheat juu..
Wewe unashangaa ya city??



Chelsea mechi saba za ligi imefungwa goli 3 tuKubali tu, kwamba chelsea ina beki bora.
Angalia timu iliyoruhusu goal chache katika major league za Europe.
Halafu wewe umekaa mbwinde huko unasema tuna beki mbovu?
Nitamlipa hata mmSalah anaibeba hii liverkuku na anataka mzigo kwa week pound lako tano ongezeni pesa la sivyo mtakosa huruma take.


Liverpool ka fungwa goli sita sawa na man u sasa sijui unaongea nini,Kwa Hindi beki yenu inavyoruhusu mabao kizembe ni ngumu Sana kwa nyie kuwa mabingwa. Labda itokee performance ya city na Chelsea imeshuka. Lakini ukiwa Hivi Hivi hata man u anaweza kukuacha nyuma
Mkuu huo ndio ukweli kabisaaaaa ili mmoja awe bingwa lazima wengine awaombee njaa na ukame wa ushindi hilo lipo wazi...Kwa Hindi beki yenu inavyoruhusu mabao kizembe ni ngumu Sana kwa nyie kuwa mabingwa. Labda itokee performance ya city na Chelsea imeshuka. Lakini ukiwa Hivi Hivi hata man u anaweza kukuacha nyuma
Unamjua Jesus (Yesu) na Chiesa (Kanisa) ? Waliifanya nini hiyo beki nzuri?Kubali tu, kwamba chelsea ina beki bora.
Angalia timu iliyoruhusu goal chache katika major league za Europe.
Halafu wewe umekaa mbwinde huko unasema tuna beki mbovu?
We pimbi...si ndo ulikua unatamba kutufunga?...au ulifikil unakuja kucheza na Chelsea?Kenge nyie milner ilitakiwa ale red card ....
Mtakuja etihad
Wee ulikua unaenda Stamford bridge...kule wanapo pakk mabasii....mmecheza mpira gani mbanga Sana wwHapo anfield tumepachafua ...
Kila mtu amaeona nan kacheza mpira ...
Wewe Chelsea hata ukishinda hufiki mahalii....kwa strikers wap.... power trailer.....lukakuu?Mtaendelea kujisifia 16 unbeaten lakini mlisahau 2018/19 Man city alichukua ubingwa kwa sababu ya ujinga huu huu wa unbeaten, na mnasahau kuwa droo nazo zinazopoteza point nyingi
Mfano sisi tumefungwa tumejiuliza tumeshinda tunaongoza ligi, ninyi na unbeaten yenu mko chini yetu, simple maths
We mbuzi upo kwenye uzi wa wanaume....naona ulitegemea mmeo ashinde....ama kweli wanawake mkiwezeshwa mnawezaa.,..Chelsea ungekua na beki za kuaminika ungepigwa na vibabu wa Turin nice mbwa ww... city mmeo alikukojolea kimoja mpaka saiv uko nacho matakon fala Sana....Nyie kuku huu msimu mutatoboka Sana hamuna beki Tena was kuzuia magoli.
Hii huwa inatokea sometimes, bahati mbaya ilikuwa kwenu.. poleniWe robbed ...
Milner deserved second yellow card and sent off...
Tulikuwa tunashinda game

Sisi sio kituo Cha mabasi Kama lilivyo team lenu....ukiiangalia mpira wa wanaume Liverpool una enjoy....sio ule wa kupaki mabasi mpaka kerooMpaka Sasa ushapachikwa bao 6 huna tofauti na arse8
Ukiona mtu/watu wanakufatilia sana ujue una mafanikio..We mbuzi upo kwenye uzi wa wanaume....naona ulitegemea mmeo ashinde....ama kweli wanawake mkiwezeshwa mnawezaa.,..Chelsea ungekua na beki za kuaminika ungepigwa na vibabu wa Turin nice mbwa ww... city mmeo alikukojolea kimoja mpaka saiv uko nacho matakon fala Sana....
Halafu unakuja kuleta uhanangwa kwenye nyuzi za watu ....potea kima ww
Mashabiki wa Chelsea walio wengi akili Ni chachee mno.....Ila ukweli Ni kwamba wanaiogopa Sana LIVERPOOLMkuu huo ndio ukweli kabisaaaaa ili mmoja awe bingwa lazima wengine awaombee njaa na ukame wa ushindi hilo lipo wazi...
Wewe unatuombea njaa wengine ili uzidi kujiimarisha kileleni ki ufupi ndio jukumu letu mashabiki wakati wachezaji wanapambana uwanjani sie huku ni kuombeana vipigo ama sare...
Hii Liverpool ndugu usiichukulie powa kabisa hua namwambia uwe na maneno ya akiba aisee. Hata wewe ni shahidi tulivyomaliza ligi nafasi ya 3 msimu uliopita ilikua busu la malaika maana baaada ya vile vipigo vya Anfield wengi walisema hatumo tenaaaa lakini kipenga cha mwisho Mei 2021 tulikua tupo juu yako ndugu...
Tukutane baada ya mechi za kimataifa.. Jiadae maana wakati Lukaku mechi ya 4 au 3 hajatupia Salah ni kila mechi nyavu anatingisha.
YNWA