Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp ana trust issues hilo liko wazi.

Hua naamini kikosi kinaanza kupangwa mazoezini hivyo sijui hawa wachezaji wasiopata nafasi mara kwa mara hua hawaonyeshi makali ya kutosha kuaminika na Kocha.

Ishu pia nafasi wakipata in real game hua tunaishia lawama za one game wonder kwa mfano Chamberlain, Keita, Origi hawana consistency ku deliver as we fans expect na as Klopp demands hilo ndio linawakwamisha. Dogo Jones ndio bado anasoma kwa wanaojua ipo siku atamiliki Right MF ni muda tu sababu kipaji kipo..

Klopp at times tunamlaumu bure aisee maana utasema lete Keita, Ox aafu wanawekwa tazama sasa unachopata tofauti kabisa na tunavyotarajia.

Na pia FSG policy yap inambana Klopp kua na benchi kama la Chelsea au Manchester City aisee. Hatuna namna wapambane tu.

YNWA
Yeah inabidi apambane na hao anaowaamini.

Meanwhile hongereni kwa ushindi. Jana pia mmenipa pesa ya bia wiki nzima.

Liverpool won
Man city won
PSG both scored
Ajax won
Borussia Dortmund won

Nimeamka na 450k. Nilijitosa 40k

Kubeti raha sana kama huna stress.
 
Yeah inabidi apambane na hao anaowaamini.

Meanwhile hongereni kwa ushindi. Jana pia mmenipa pesa ya bia wiki nzima.

Liverpool won
Man city won
PSG both scored
Ajax won
Borussia Dortmund won

Nimeamka na 450k. Nilijitosa 40k

Kubeti raha sana kama huna stress.
Weka mkeka hapa ,wacha kujiteknya na kucheka mwenyewe
 
Weka mkeka hapa ,wacha kujiteknya na kucheka mwenyewe
Mkuu mimi kila siku nakula juzi nimempa timu yangu clean shit nikaondoka na 50k. So ni kawaida kwangu kama umakini tuma no ako WhatsApp nikutumie mkeka uone.
 
Mkuu kwenye mpira hakuna chuki wa kudumu. Mpira ni burudani sema tu mashabiki wengi wana chuki binafsi na timu ya Chelsea.
Sio chuki mkuu, uzuri wa mpira haswa hapa jukwaani ni zile tambo na matani, ila zinapovuka mipaka hadi kufikia kwenye hatua ya matusi ndio huo utoto na ujinga watu hawapendi.
 
Sio chuki mkuu, uzuri wa mpira haswa hapa jukwaani ni zile tambo na matani, ila zinapovuka mipaka hadi kufikia kwenye hatua ya matusi ndio huo utoto na ujinga watu hawapendi.

Wanashindwa kutofautisha kati ya UTANI na Ujinga/Matusi/Upumbavu
 
Timu yenye mafanikio makubwa katika modern era ni Chelsea pekee na ni lazima ichukiwe mkuu
"Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe"

Na hapa ndiyo unathibitisha jinsi mulivyokithiri Utoto vichawani mwenu.

Hii kujigamba Timu inachukiwa unasikia kutoka kwa Mashabiki wa Chelsea tu.

Kwani kuna Mashabiki wa Moja kupenda Timu nyengine?

Kuna Mashabiki wanaochukiana kwenye Timu zao kuzidi Liverpool na Manchester? Umeshawahi kusikia Liverpool au Manchester wakijisifu kuchukiwa?

Hivi nyinyi kati ya Timu hizi za Liverpool, Arsenal, Man U na Spurs ni ipi munayoipenda? Hivyo kuchukiwa sio issue ya Chelsea tu bali kila Timu inachukiwa na Mwenzake.

Acheni utoto wa kujipa umuhimu wa kuwa Eti munachukiwa kwa sababu ya Ukubwa wenu wakati hata Uwanja hamuna Munakodisha.
 
Here is my take (bitter but can safely say nearly factual) based on my observation during the past 2 seasons:

A: Take VVD out of our team (even with Klopp at the helm):
1. In the EPL, we'll be relegated into a top 4 dogfight, not title contenders. Even this will be all down to Klopp's magic wand
2. In the UCL, we'll be a regular last 16 dropout (or last 8 at best)

B: Keep VVD but take out Klopp:
1. In the EPL, we'll be an Everton
2. In the UCL, we'll be glued to the TV every season enjoying the misery of the Manure

C: Take out both VVD & Klopp:
1. In the EPL, we'll be another Arsenal (I mean Arteta's Arsenal)
2. In the UCL, we'll not even have any appetite to follow this competition

Umeongea maneno ya kutengenezewa Fremu kabisa.
 
Na hapa ndiyo unathibitisha jinsi mulivyokithiri Utoto vichawani mwenu.

Hii kujigamba Timu inachukiwa unasikia kutoka kwa Mashabiki wa Chelsea tu.

Kwani kuna Mashabiki wa Moja kupenda Timu nyengine?

Kuna Mashabiki wanaochukiana kwenye Timu zao kuzidi Liverpool na Manchester? Umeshawahi kusikia Liverpool au Manchester wakijisifu kuchukiwa?

Hivi nyinyi kati ya Timu hizi za Liverpool, Arsenal, Man U na Spurs ni ipi munayoipenda? Hivyo kuchukiwa sio issue ya Chelsea tu bali kila Timu inachukiwa na Mwenzake.

Acheni utoto wa kujipa umuhimu wa kuwa Eti munachukiwa kwa sababu ya Ukubwa wenu wakati hata Uwanja hamuna Munakodisha.
We huelewi kitu nyamza pie
Chelsea ndio timu yenye makombe mengi kwenye modern era, ni kipi hujakielewa hapa
 
Yeah inabidi apambane na hao anaowaamini.

Meanwhile hongereni kwa ushindi. Jana pia mmenipa pesa ya bia wiki nzima.

Liverpool won
Man city won
PSG both scored
Ajax won
Borussia Dortmund won

Nimeamka na 450k. Nilijitosa 40k

Kubeti raha sana kama huna stress.
Duuuh kwa sasa tunakupa ela mwanzo mwisho...
Bet na ile ya bingwa mtarajiwa msimu huu huu 2021 - 2022 ni Liverpool 🔥🔥🔥🔥🔥😋😋😋.... Tukupe ela ya mwaka mzimaaaa sio wiki..

Tunashukuru kwa pongezi...

YNWA
 
Na hapa ndiyo unathibitisha jinsi mulivyokithiri Utoto vichawani mwenu.

Hii kujigamba Timu inachukiwa unasikia kutoka kwa Mashabiki wa Chelsea tu.

Kwani kuna Mashabiki wa Moja kupenda Timu nyengine?

Kuna Mashabiki wanaochukiana kwenye Timu zao kuzidi Liverpool na Manchester? Umeshawahi kusikia Liverpool au Manchester wakijisifu kuchukiwa?

Hivi nyinyi kati ya Timu hizi za Liverpool, Arsenal, Man U na Spurs ni ipi munayoipenda? Hivyo kuchukiwa sio issue ya Chelsea tu bali kila Timu inachukiwa na Mwenzake.

Acheni utoto wa kujipa umuhimu wa kuwa Eti munachukiwa kwa sababu ya Ukubwa wenu wakati hata Uwanja hamuna Munakodisha.
Sio uwanja hawana mbali pia wakihama Stanford Bridge basi na jina la Chelsea wanaliacha wasitumie tenaaa Hahaha yaaani hawa Chelsea Pitch Owners wana miliki naming right ya hii klabu.. Roman amechemka kabisa kuwang'oa aisee ili amiliki vyote peke yake...

YNWA
 
Duuuh kwa sasa tunakupa ela mwanzo mwisho...
Bet na ile ya bingwa mtarajiwa msimu huu huu 2021 - 2022 ni Liverpool .... Tukupe ela ya mwaka mzimaaaa sio wiki..

Tunashukuru kwa pongezi...

YNWA
Hapana ya mwaka inaitwa ngumu kumeza.
Ya kila wiki ni tamu sana. Jana Basel kaninyoa nywele . Walishindwa kufikisha goli moja tu. Muhindi amekula 5k yangu Jana

Ningelamba leo 620k. Lakini ndiyo ivo mchezo wa kubahatisha next Liverpool akinipa ya mchango wa Harusi nakutumia ya Supu
Screenshot_20210917-074712_Chrome.jpg
Screenshot_20210917-074722_Chrome.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hapana ya mwaka inaitwa ngumu kumeza.
Ya kila wiki ni tamu sana. Jana Basel kaninyoa nywele . Walishindwa kufikisha goli moja tu. Muhindi amekula 5k yangu Jana

Ningelamba leo 620k. Lakini ndiyo ivo mchezo wa kubahatisha next Liverpool akinipa ya mchango wa Harusi nakutumia ya Supu View attachment 1941415View attachment 1941416

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Duuh kweli upo vzuri kwenye hio field haha full pro yaaani ...
Mwenzio haya mambo ya betting hua siyajui kabisa na sijawai weka bet kwa mhindi aisee..
Liverpool kwa sasa ukimuona VVD, Fabinho, Matip, Salah na Allison ndani wewe ujue ushindi ama sana sana sare ipoo...

Kwa kweli i wish you all the best.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom