Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Timu yenye mafanikio makubwa katika modern era ni Chelsea pekee na ni lazima ichukiwe mkuu
"Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe"

Kabisa mkuu. Na kitu nilichogundua mashabiki wa man u, Liverpool na Arsenal wanaichukia chelsea hatari.

Wakitaniwa eti vijana wa chelsea mi naona ni chuki na wivu tu kwao hawana lolote.
 
Dah! Foward zetu zimechoka mno kwa sasa. Pale mbele tunamtegemea Salah ila huyu maneno sijui uzee unamnyemelea?
 
Namuonea huruma sana Konate
Pia namuonea huruma MINAMINO naona kama klop kaamua kumuua kisoka. He should have started today but yuko benchi hata usoni anaonyesha huzuni. Kama hawezi mtumia amuuze au ampeleke kwa mkopo. Chamberlain alitakiwa auzwage mapema tu. KONATE nae mwingine wa kutia huruma. Maana hata carabao ataanza Phillips Ana Gomez......Asubiri majeruhi tu ndo atacheza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom