GwamahalaJR
JF-Expert Member
- Jul 18, 2019
- 414
- 769
Ha ha ha ha ha ha ha...Hilo goli lake kesho waandishi wa England watasema linaponyesha CORONA
Ha ha ha ha ha ha ha...Hilo goli lake kesho waandishi wa England watasema linaponyesha CORONA
Naona amekusikia na amekuelewa...Tunanyanyaswa nyumbani kwasababu ya shit players like Hendo,
Acha ushamba wewe mjaluoBado unaendaga kwenye Uzi wa Chelsea?
Mara ya mwisho mimi kupita kwenye Uzi ule nadhani ilikuwa 2020.
Uzi hule umeejaa
That's why unaweza kuta wanasifia ujinga na kutukana yenye maana.
- Fools
- Rude boys
- Undisciplined boys
- Wretched Boys
- Immature boys
- Ignorant boys
Yani ule ni Uzi wa Watu wasio na adabu kazi kujazana Ujinga tu.
Huyu Klopp ni mbaguzi aka racist ..kwa sababu Konate na Origi ni weusi ndio maana hawapangi ..usiniulize kwa nini mane na vvd wanacheza wanacheza, ni kwa sababu hajapata wachezaji weupe wa replacement yao. Ubaguzi wa a hali ya juu kama wa klopp hautakiwi katika soka. Aliwahi kummaliza pia former Chelsea player, Daniel Sturrigde.Pia namuonea huruma MINAMINO naona kama klop kaamua kumuua kisoka. He should have started today but yuko benchi hata usoni anaonyesha huzuni. Kama hawezi mtumia amuuze au ampeleke kwa mkopo. Chamberlain alitakiwa auzwage mapema tu. KONATE nae mwingine wa kutia huruma. Maana hata carabao ataanza Phillips Ana Gomez......Asubiri majeruhi tu ndo atacheza.
Pia namuonea huruma MINAMINO naona kama klop kaamua kumuua kisoka. He should have started today but yuko benchi hata usoni anaonyesha huzuni. Kama hawezi mtumia amuuze au ampeleke kwa mkopo. Chamberlain alitakiwa auzwage mapema tu. KONATE nae mwingine wa kutia huruma. Maana hata carabao ataanza Phillips Ana Gomez......Asubiri majeruhi tu ndo atacheza.
Muna bahati nyie vijogoo vya kisasa mumejitutumua. Tungeweka kambi hapa
Una viashiria hatar sana vya ubaguzi...Huyu Klopp ni mbaguzi aka racist ..kwa sababu Konate na Origi ni weusi ndio maana hawapangi ..usiniulize kwa nini mane na vvd wanacheza wanacheza, ni kwa sababu hajapata wachezaji weupe wa replacement yao. Ubaguzi wa a hali ya juu kama wa klopp hautakiwi katika soka. Aliwahi kummaliza pia former Chelsea player, Daniel Sturrigde.
Huyu dogo naona ni failed project.Kuna muda alinifanya nisahau makosa yake,
Klopp hapangiwi aisee... This German Nazi has some balls kwa kweli...Mkuu ebu mpe klopu mbinu hasituaibishe nyumbani manake naona moto unawaka balaaa![]()
Wanabahati ina bidi turudishe moto kwa manyumbu kuleMuna bahati nyie vijogoo vya kisasa mumejitutumua. Tungeweka kambi hapa


Tatizo la Klop ni kama ya Mourinho tu. Akiamini wachezaji fulani basi hao hao atadeal nao mpaka mwisho.Klopp hapangiwi aisee... This German Nazi has some balls kwa kweli...
Ukiangalia upande wa pili game management ni muhimu sana kwa VVD hivyo cha msingi ni kuwapa second chance wachezaji wengine angalau waone wanaaminika ni kuwapa proper competition ili kuwaweka tayari wakihitajika any time.
YNWA
Duh...Here is my take (bitter but can safely say nearly factual) based on my observation during the past 2 seasons:
A: Take VVD out of our team (even with Klopp at the helm):
1. In the EPL, we'll be relegated into a top 4 dogfight, not title contenders. Even this will be all down to Klopp's magic wand
2. In the UCL, we'll be a regular last 16 dropout (or last 8 at best)
B: Keep VVD but take out Klopp:
1. In the EPL, we'll be an Everton
2. In the UCL, we'll be glued to the TV every season enjoying the misery of the Manure
C: Take out both VVD & Klopp:
1. In the EPL, we'll be another Arsenal (I mean Arteta's Arsenal)
2. In the UCL, we'll not even have any appetite to follow this competition
Klopp ana trust issues hilo liko wazi.Tatizo la Klop ni kama ya Mourinho tu. Akiamini wachezaji fulani basi hao hao atadeal nao mpaka mwisho.
Kocha anapofanya Rotation hata ya mchezaji mmoja inawapa motisha wengine pia ina fanya wachezaji wasichoke sana na kupunguza pron za injury za mara kwa mara
B.... Take Klopp out bring Conte or El Cholo and we will rock n roll like the eighties....Here is my take (bitter but can safely say nearly factual) based on my observation during the past 2 seasons:
A: Take VVD out of our team (even with Klopp at the helm):
1. In the EPL, we'll be relegated into a top 4 dogfight, not title contenders. Even this will be all down to Klopp's magic wand
2. In the UCL, we'll be a regular last 16 dropout (or last 8 at best)
B: Keep VVD but take out Klopp:
1. In the EPL, we'll be an Everton
2. In the UCL, we'll be glued to the TV every season enjoying the misery of the Manure
C: Take out both VVD & Klopp:
1. In the EPL, we'll be another Arsenal (I mean Arteta's Arsenal)
2. In the UCL, we'll not even have any appetite to follow this competition