Zumbemkuu duh Keita mbona mie naona leo ndio weak link hana speed kabisa..Vijana wanacheza mwingi sana Leo. Keita ana perform vzr sana
Mshapigwa tayariKuna possibility yakupigwa home
Punguza hasira mwambaBado unaendaga kwenye Uzi wa Chelsea?
Mara ya mwisho mimi kupita kwenye Uzi ule nadhani ilikuwa 2020.
Uzi hule umeejaa
That's why unaweza kuta wanasifia ujinga na kutukana yenye maana.
- Fools
- Rude boys
- Undisciplined boys
- Wretched Boys
- Immature boys
- Ignorant boys
Yani ule ni Uzi wa Watu wasio na adabu kazi kujazana Ujinga tu.
Timu yenye mafanikio makubwa katika modern era ni Chelsea pekee na ni lazima ichukiwe mkuuMkuu kwenye mpira hakuna chuki wa kudumu. Mpira ni burudani sema tu mashabiki wengi wana chuki binafsi na timu ya Chelsea.![]()
Pale nyuma kuna tension..Kuna possibility yakupigwa home
Ngapi huko Anfield mkuu?Bado unaendaga kwenye Uzi wa Chelsea?
Mara ya mwisho mimi kupita kwenye Uzi ule nadhani ilikuwa 2020.
Uzi hule umeejaa
That's why unaweza kuta wanasifia ujinga na kutukana yenye maana.
- Fools
- Rude boys
- Undisciplined boys
- Wretched Boys
- Immature boys
- Ignorant boys
Yani ule ni Uzi wa Watu wasio na adabu kazi kujazana Ujinga tu.
VP Mzee Liverpool 1st half wamechezajeBado unaendaga kwenye Uzi wa Chelsea?
Mara ya mwisho mimi kupita kwenye Uzi ule nadhani ilikuwa 2020.
Uzi hule umeejaa
That's why unaweza kuta wanasifia ujinga na kutukana yenye maana.
- Fools
- Rude boys
- Undisciplined boys
- Wretched Boys
- Immature boys
- Ignorant boys
Yani ule ni Uzi wa Watu wasio na adabu kazi kujazana Ujinga tu.

Yaaani Anfield Klopp anafanya trials Hahaha duuh tuna kocha mwenye kifua cha nguvu sanaaaaa..Klopp sometimes huwa anazingua sana aisee...hii haikuwa lineup ya kuwapangia AC Milan.
Nimemsindikiza mshua na jezi yake nimevaa ila kinachotokea mmh, aibu nimeona mimiVP Mzee Liverpool 1st half wamechezaje
Km fools
Rude boys
Immature boys
Ignorant boys au VP?![]()
Bado unaendaga kwenye Uzi wa Chelsea?
Mara ya mwisho mimi kupita kwenye Uzi ule nadhani ilikuwa 2020.
Uzi hule umeejaa
That's why unaweza kuta wanasifia ujinga na kutukana yenye maana.
- Fools
- Rude boys
- Undisciplined boys
- Wretched Boys
- Immature boys
- Ignorant boys
Yani ule ni Uzi wa Watu wasio na adabu kazi kujazana Ujinga tu.
Kuna muda alinifanya nisahau makosa yake,Zumbemkuu duh Keita mbona mie naona leo ndio weak link hana speed kabisa..
YNWA
Nimemsindikiza mshua na jezi yake nimevaa ila kinachotokea mmh, aibu nimeona mimi








Bado unaendaga kwenye Uzi wa Chelsea?
Mara ya mwisho mimi kupita kwenye Uzi ule nadhani ilikuwa 2020.
Uzi hule umeejaa
That's why unaweza kuta wanasifia ujinga na kutukana yenye maana.
- Fools
- Rude boys
- Undisciplined boys
- Wretched Boys
- Immature boys
- Ignorant boys
Yani ule ni Uzi wa Watu wasio na adabu kazi kujazana Ujinga tu.


