Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Huku kama kawa gif zinatua aisee...Hahahaha siku hizi Numbisa haposti magoli matamu kama ya chelsea ..magoli Yale unaeza yamezea na ugali kabisa. Salah ana mengi ya kujifunza kwa Lukaku the Great
Chelsea mnakwama wapiiiiiii...
Hivi Lukaku hata EPL au UCL kweli aliwai nyanyua kwapa au una leta yajayo hapa...
Salah ni level zingine kabisaaaa huyo dogo wenu atasubiri sana... Salah winga mfungaji na mpaka sasa ni centurion pale EPL yaaani baada ya Drogba anafuata Salah kutoka Africa kama wafungaji bora EPL wa muda wote...
YNWA

