Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Duuh kweli upo vzuri kwenye hio field haha full pro yaaani ...
Mwenzio haya mambo ya betting hua siyajui kabisa na sijawai weka bet kwa mhindi aisee..
Liverpool kwa sasa ukimuona VVD, Fabinho, Matip, Salah na Allison ndani wewe ujue ushindi ama sana sana sare ipoo...

Kwa kweli i wish you all the best.

YNWA
Ahsante sana. Sema sijachukulia kama serious business. Huwa naweka mkeka then napotezea naendlea na inshu zingine.

Huu ni mchezo wa kubahatisha nami nabahatisha tu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ahsante sana. Sema sijachukulia kama serious business. Huwa naweka mkeka then napotezea naendlea na inshu zingine.

Huu ni mchezo wa kubahatisha nami nabahatisha tu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hapo ndugu upo sawa isiwe mishe ya kudumu... kuna ma dogo hua nawaona kitaa full muda wote na mikeka mpaka wamekua kama wagonjwa fulani hivi...

YNWA
 
Hapana ya mwaka inaitwa ngumu kumeza.
Ya kila wiki ni tamu sana. Jana Basel kaninyoa nywele . Walishindwa kufikisha goli moja tu. Muhindi amekula 5k yangu Jana

Ningelamba leo 620k. Lakini ndiyo ivo mchezo wa kubahatisha next Liverpool akinipa ya mchango wa Harusi nakutumia ya Supu View attachment 1941415View attachment 1941416

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Boss kuna uzi wa WAKAMARIA ingependeza ungekuwa unaenda kule kupost mikeka.

Nb: usije ukaona nakuonea wivu ni ushauri tu.
 
Klopp ana trust issues hilo liko wazi.

Hua naamini kikosi kinaanza kupangwa mazoezini hivyo sijui hawa wachezaji wasiopata nafasi mara kwa mara hua hawaonyeshi makali ya kutosha kuaminika na Kocha.

Ishu pia nafasi wakipata in real game hua tunaishia lawama za one game wonder kwa mfano Chamberlain, Keita, Origi hawana consistency ku deliver as we fans expect na as Klopp demands hilo ndio linawakwamisha. Dogo Jones ndio bado anasoma kwa wanaojua ipo siku atamiliki Right MF ni muda tu sababu kipaji kipo..

Klopp at times tunamlaumu bure aisee maana utasema lete Keita, Ox aafu wanawekwa tazama sasa unachopata tofauti kabisa na tunavyotarajia.

Na pia FSG policy yap inambana Klopp kua na benchi kama la Chelsea au Manchester City aisee. Hatuna namna wapambane tu.

YNWA
Well said
 
B.... Take Klopp out bring Conte or El Cholo and we will rock n roll like the eighties....

C.. Konate is heir to VVD. On that department after last season miseries Klopp cant gamble. VVD aint getting any younger management of his playing time should be top class to get th best from him.

Let's be positive we are still a top class team when all the main guys are fit.

In Klopp and the Boys i trust.

YNWA
I fully concur with you on those 2 gaffers (Diego & Conte).
Our best bet though could be Diego. With Conte, the FSG model won't suit him as this gaffer thrives on marquee signings which he'll never get at LFC.

There aren't many Klopps out there unfortunately... so I think when he leaves, the entire LFC fraternity (including you and me) should seriously start pushing for FSG to relinquish the club ownership to patrons whose financial clout at least matches that of the likes of Man City, PSG, etc.

As for Konate being our next VVD, I really hope the boy lives up to that hype. I really really do.
VVD is just quite unique to our team set up as it has been proven time and time again when he plays and when he doesn't.... so if we get a like-for-like replacement, that will be huge.
 
I fully concur with you on those 2 gaffers (Diego & Conte).
Our best bet though could be Diego. With Conte, the FSG model won't suit him as this gaffer thrives on marquee signings which he'll never get at LFC.

There aren't many Klopps out there unfortunately... so I think when he leaves, the entire LFC fraternity (including you and me) should seriously start pushing for FSG to relinquish the club ownership to patrons whose financial clout at least matches that of the likes of Man City, PSG, etc.

As for Konate being our next VVD, I really hope the boy lives up to that hype. I really really do.
VVD is just quite unique to our team set up as it has been proven time and time again when he plays and when he doesn't.... so if we get a like-for-like replacement, that will be huge.
El Cholo would be a proper replacement any day maana going for Steve would be a back ward step...

Imagine Pep coming hahah that would br fabulous man. He wont have to cry for the fans maana Anfield wako bwerere...

Conte is no nonsense man. Hana kona kona za FSG kabisaaa...

VVD is definitely a special talent just how he make the back line intact is remarkable, he is leader of men... Konate will take time to reach those levels and be all round CB but where can he learn best than beside VVD and Klopp tutelage.

YNWA
 
Leo hii Klope hafai 😂😂😂
Anyway, saa ngapi tunaanza kumlaumu kocha.?
1631970769625.png
 
Sijajua kwa nini Matip hata bench hayupo. Injured au kapumzishwa tu?
Nimependa klopp rotation anazofanya kwa sasa. Sema badala ya kumwanzisha mzee milner angeanza Gomez.
Katikati ya dimba ndipo palipo na roho ya timu. Uwepo wa Fabby mkata umeme, na regulater Captain heddo ulinzi unakuwa umeimarshwa. Thiago yeye kazi ni kupandiaha mashambulizi mbele.

I can see a clean sheet.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom