King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Away Win ni kitu kikubwa sana wakati Wakubwa wengine wote wameshinda kwenye Home ground
SureTeam Salah auzwe nadhani watakuwa wamejifunza Kitu
1 goalTeam Salah auzwe nadhani watakuwa wamejifunza Kitu
Amecheza mechi 72 Inter Milan na kufunga goli 47..huku pia akiwa play maker hilo akiwa Manchester United hakua nalo to this standards za sasa.
Conte ni kocha wa counter attack huku akitumia wing backs almost same na Thomas ndio maana nasema kwa huu usajili mpo pazuri sana kuleta changamoto kwa Manchester City.
YNWA
Away Win ni kitu kikubwa sana wakati Wakubwa wengine wote wameshinda kwenye Home ground


3 Goals
1 Cleansheet
3 Points
Siyo kweliMkuu hongera kwa kushinda.
Ushindi ni ushindi haizalishi umeshinda wapi au katika mazingira gani.![]()
Ushindi wa liverpool away goli 3 bila una muhimu sana na ni mkubwa sana tofauti na ule wa ChelseaMkuu hongera kwa kushinda.
Ushindi ni ushindi haizalishi umeshinda wapi au katika mazingira gani.![]()
2017 ✅
2018 ✅
2019 ✅
2020 ✅
2021 ✅
Mohamed Salah is the first-ever player to score on 5️⃣ successive PL opening weekends 🇪🇬👑
Point zinakuwa 4 badala ya 3 sioUshindi wa liverpool away goli 3 bila una muhimu sana na ni mkubwa sana tofauti na ule wa Chelsea
Mkuu hawa Brentford wana pool nzuri sana ya ma scouts yaaani watakua Dortmund ya UK one day...@Captain Marvelous umeona forward za BRE zilivyo clinical na vile zina maamuzi? au Ni beki tu wa arsenal ndio wabovu sana?
Hivi inamaana hatuna mascouts wazuri wakutuletea forward kutoka hata championship kwa bei nzuri? maana tunaogopa tunaogopa kutoa mpunga mkubwa wakati timu kama BRE zina watu wenye maamuzi wazuri tu.
Asante Mr Chelsea hakika mwanzo mzuri. Tunahitaji tupate pointi za kutosha kabla ya krismasi aisee maana kuanzia pale ndio ma balaa huanza.Hongereni sana naona mmeanza ligi kwa kishindo
Chelsea 4 reva