Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Kwa hii EPL ilivyo naweza sema matokeo ya mwanzo wa Ligi sio ya kuyafurahia sanaaa yaaani kuleta ubingwa wa Ligi, hapa matokeo yenye uhakika wa ubingwa ni kuanzia January 2022 hapo ndio msimamo unaanza kuleta ni vipi nasafi ya kwanza mpaka ya 6 itakua.Anatakiwa kuchapwa kama 3 hivi mfululizo![]()
Unless itokee timu iwe moto mbaya sana isifungwe kuanzia sasa mpaka January 2022 basi hao watakua wamemaliza Ligi mapema sana case study Liverpool season 2019 2020. From the word go tulikomaa mno na hatimae ubingwa ulitua Anfield.
YNWA
