Aisee. Wakate rufaa kama hawajaridhika 😂😂😂😂😂😂😂.Nyie ndio mlikuwa mnatafutiwa ushindi maana goli mmepata dakika ya 95 inaelekea ya 96 huko wakati ziliongezwa dakika 4 tu.
Corner ilipatikana kabla ya dakika ya nne kufika.Nyie ndio mlikuwa mnatafutiwa ushindi maana goli mmepata dakika ya 95 inaelekea ya 96 huko wakati ziliongezwa dakika 4 tu.
Ingelikua aibu westham ety kwenda CLMpambane na Leicester sasaView attachment 1790202






Amka wewe bado umelala?Tu nachotakiwa sisi kushinda mechi zetu zote 4. Hiyo tarehe 18 lazima mmoja apoteze point 2 Kati ya Leicester na Chelsea maana hakuna matokea yatakayowapa wote points 3. Na uzuri Leicester tuna goal difference nzuri nao so sioni kama ni shida wakifungwa. Though ningependa zaidi wamfunge kabisa Chelsea
Top four ishakamilika ..nyie jihakikishieni nafasi ya kushiriki europaWalikuwa wapi muda wote huu? Tunakumbuka shuka kushakucha.... Ila Leicester, Chelsea mmoja wapo Lazima atupishe... YNWA
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Amka wewe takatakaHapa ni either chelsea au lecister atoke top 4 ...
Ni swala la muda tuu



Wewe utabaki na matokeo yako ya mfukoni sisi tunaleta Yale ya uwanjani..Chelsea hatarini kutoka top 4 ..
Hawezi mfunga lecister city final na epl consecutively ..!
Amka wewe takatakaHapana haijalishi hata leicester tutamtoa. sisi tukishinda mechi zote tuna point 69 leicester sababu watakutana na Chelsea lazima mtu atapoteza point bado draw ni bora zaidi. itakuja goal difference only ila mechi ya jana imetupa uhai na nafasi zaidi labda tulivuruge wenyewe tu lakini chance kubwa tushinde game zetu zote hawa wawili wataamua hatma zao.







Klopp ni Racist ..M'baguzi angalia jinsi alivyoua kipaji Cha Keita na OrigiKlopp pressed on Mane again: "If somebody shows me 5 million times respect and one time not, what's more important? I can see the headlines you're making of it, but that's not the case. If you would have seen me as a player, what I did out of emotion, it was insane!"
Mule mule tunaelekea mzeeLiverpool mtazikumbuka point za Newcastle, Leicester atafungwa na Chelsea na game ya mwisho atashinda kwa Spurs, hapo ndio kimbembe cha Europa minapokuja.



Kupata kichekesho Kama hiki bonyeza namba yeyotePoints za Newcastle tunazikumbuka kweli lakini Kati ya Chelsea na Leicester mmoja wapo lazima atupishe.
Na usijeshangaa tukamaliza nafasi ya 3 badala ya 4.


Hahahaha Hawa kuku sioni Kama wataikosa EuropaMpambane na Leicester sasaView attachment 1790202


Wewe naona huu uzi wa Liverpool sio wako labda umekosea tafuta uzi wa Gor Mahia, kauwa nini Keita na Origi? Origi ana bahati hata kuitwa mchezaji wa Liver kiwango chake huko Fulham labda Keita yeye kila siku yuko Hospital tu. Mbona hakuuwa kipaji na Wiln, Mane. Gomez na wengine unaweza unacheza huwezi utakalia bench tu. ondoa ujinga wako tafuta team umchukue na origi.Klopp ni Racist ..M'baguzi angalia jinsi alivyoua kipaji Cha Keita na Origi
Lakuvunda halina ubani msimu ujao Futuhi inakuhusu leo unafungwa ukijitahidi sana unadraw,nifutuhiiii!Points za Newcastle tunazikumbuka kweli lakini Kati ya Chelsea na Leicester mmoja wapo lazima atupishe.
Na usijeshangaa tukamaliza nafasi ya 3 badala ya 4.