OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,064
Wewe unaonaje kabisa kipaji cha Keita kimekufa kifo cha mende kwa sababu ya ubaguzi wa rangi. Saiv Mane ameanza kuchoka utaona na kipaji kitakavyopukutika.Wewe naona huu uzi wa Liverpool sio wako labda umekosea tafuta uzi wa Gor Mahia, kauwa nini Keita na Origi? Origi ana bahati hata kuitwa mchezaji wa Liver kiwango chake huko Fulham labda Keita yeye kila siku yuko Hospital tu. Mbona hakuuwa kipaji na Wiln, Mane. Gomez na wengine unaweza unacheza huwezi utakalia bench tu. ondoa ujinga wako tafuta team umchukue na origi.