Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread



Salah misimu aliyocheza EPL hajafikia hata Nusu ya Misimu ya Drogba lakini amebakisha magoli 9 kufikia magoli yote 104 aliyofunga Drogba kwenye EPL.

Next season Salah will be Top African Scorer of all time kwenye EPL iwapo ataendelea kubakia EPL, na Mane will be in second position.

Pia Salah ataweka Rekodi ya kuwa Top European Scorer of all Time kwa Liverpool Players rekodi ambayo inashikiliwa na Steven Gerrard.

Then utasikia Salah auzwe! Ridiculous
 
Klopp ishu kama hizi hua hana muda nazo.

Ilitokea kwa Henderson tena hapo hapo Old Traford na hakuna ishu iliisha pale Pale.

Akaja Salah nae mambo haya haya tena yeye ni zaidi ya mara moja.

Akaja Keita nae vile vile Klopp aliizima chap.

Sasa amekuja Mane na Klopp kashasema it's all cool.

Anakomaa zaidi na wapi timu itamaliza kuliko haya ya wachezaji.

YNWA
Kweli lakini pia ukificha moshi moto utakuumbua mimi naona klopp
Awe mkali kidogo Team iende
 
Points za Newcastle tunazikumbuka kweli lakini Kati ya Chelsea na Leicester mmoja wapo lazima atupishe.
Na usijeshangaa tukamaliza nafasi ya 3 badala ya 4.
Dah! kweli mkuu nilikuwa sijaona kumbe mnagame tatu mkononi, basi Leicester Europa panamuhusu labda mfanye ajizi.
 
Easy said than done. How did arrive here.

Am at peace with the end of the season position whether we get Top 4 or not.

My only concern is will the Yankees give Edwards the cash to spend.

We need to strengthen seriously with established new comers sio this kids kama walivyo nunuliwa last major window.

For starters naona kuna Kanote to partner VVD.

MF box to box kuna Yves Bissuoma.

MF multi task yupo Housem Aour.

Strika bado sijaona haswa Edwards anapeleka wapi japo kwa Patson Daka naona anatufaa.

Winger kuna Ismail Sarr pia kuna Sancho 😁😁ooh man.

Muda utasema.

YNWA
Chief, you and I both know LFC - year in and year out - relishes and thrives on these types of situations.

Having annihilated Manure last nite, why not going the whole way now chief?
 
Kweli lakini pia ukificha moshi moto utakuumbua mimi naona klopp
Awe mkali kidogo Team iende
Sio kwamba si mkali mbali hapendi kufanya kazi hizo kwa kuzinufaisha media.

Yeye anafanya kazi kimya kimya huko vyumbani wala sio mpaka media wapate headlines.

Tangu ilivyotokea ile ya Henderson pale OT na Klopp akaipotozea na Henderson alikua na msimu mbaya ndio nikasema Klopp ni level zingine. Haya mambo hata Fergie, Mourinho, Conte, Mancini hawavumilii.

Mane atakua ananilaumu alipo.

Maisha yanakwenda kasi tumerejea tena kwenye mix ya UCL.

YNWA
 
Chief, you and I both know LFC - year in and year out - relishes and thrives on these types of situations.

Having annihilated Manure last nite, why not going the whole way now chief?
Its was sweet Man thrashing Manchester United kwao and 4 goals no joke. By thier standards they are having a cool season hivyo kuwafunga wakiwa in that form speaks volume where we wonna finish the season.

Now we are in very delicate situation as we have to pray for others to lose while we win all our games...

All in all am positive despite all the challenges we have faced most likely we are finishing the season on high note.

YNWA
 
Sio kwamba si mkali mbali hapendi kufanya kazi hizo kwa kuzinufaisha media.

Yeye anafanya kazi kimya kimya huko vyumbani wala sio mpaka media wapate headlines.

Tangu ilivyotokea ile ya Henderson pale OT na Klopp akaipotozea na Henderson alikua na msimu mbaya ndio nikasema Klopp ni level zingine. Haya mambo hata Fergie, Mourinho, Conte, Mancini hawavumilii.

Mane atakua ananilaumu alipo.

Maisha yanakwenda kasi tumerejea tena kwenye mix ya UCL.

YNWA
kweli makocha wengi huwa attitude ya kupanick fasta klopp nadhani hapa Mane ndio kaumia zaidi maana jamaa anajua kucheza na akili za wachezaji
Kwakweli tulipata kocha mzuri hapa
 
kweli makocha wengi huwa attitude ya kupanick fasta klopp nadhani hapa Mane ndio kaumia zaidi maana jamaa anajua kucheza na akili za wachezaji
Kwakweli tulipata kocha mzuri hapa
Klopp mwenyewe alisema akiwa mchezaji alikua na emotion swings zaidi ya Mane 😂😂😂yaaani alisema my goodness i wish you saw me when i was a player haha akimaanisha ali behave weird at times kama hakuridhiswa na tabia za mwalimu na pengine hii ndio inamfanya ku keep in check his emotions inapotokea mchezaji ame misbehave mbele ya camera yeye Klopp hua ana chill.

Kocha tunae wala hapendi ligi na wachezaji.

YNWA
 
Our future gaffer.... breaking all sorts of records in Scotland.

1621091006095.png
 
Liverpool starting XI vs the Baggies

Alisson; Alexander-Arnold, Phillips, R Williams, Robertson; Fabinho, Thiago, Jones; Salah, Mane, Firmino.

Liverpool substitutes: Adrian, Wijnaldum, Tsimikas, Shaqiri, Origi, Woodburn, Clarkson, N Williams, Koumetio.


YNWA
 
Liverpool starting XI vs the Baggies

Alisson; Alexander-Arnold, Phillips, R Williams, Robertson; Fabinho, Thiago, Jones; Salah, Mane, Firmino.

Liverpool substitutes: Adrian, Wijnaldum, Tsimikas, Shaqiri, Origi, Woodburn, Clarkson, N Williams, Koumetio.


YNWA
Huyu kocha hata ichangamsha hii tim kwa kusajili maana anaogopa waliopo hahaaa kama mchezaji akivimba yeye ananywea ni hatari sana kwa kiongozi
 
Liverpool hii bhana hata siielewi elewi ikikaribia kuifikia top 4 inagongwa na kakibonde tutashuka daraja sooon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom