Mkuu kile kitendo kwa kweli dogo kafeli haijalishi kama Klopp alimuahidi kumuanzisha jana na baadae Klopp akabadili na kumanzisha bench alitakiwa kwanza aone the positive side maana huyo Jota aliechukua nafasi yake jana kafunga goli murwa sana na alikipiga haswa hivyo Mane angetulia kwanza. Yeye mwenyewe kashasema huu ndio msimu wake mmbaya tangu ameanza kucheza professional football hivyo tayari kasha lost atulie asubiri to prove the doubters wrong next season sio kumdharau Klopp tena nyumbani kwa mahasimu wakuu Manchester United .
Watetezi wa Mane wanasema ameonyesha ni fighter anataka apambane uwanjani kuisaidia timu kuingia top 4 na wanasema mentally alikua ready to wear the jersy na apambane kushinda.
Msimu huu wa 2020 2021 amecheza mechi 45 ambazo ni EPL 32,UCL 10,.FA 2 na Community 1.Amefunga magoli jumla goli 14(EPL amefunga goli 9,UCL amefunga goli 3,FA amefunga goli 2)... Ana assit 7. This is poor really poor by any standards.
Klopp kashasema it's all good. Hana muda wa hayo mambo mission yake sasa ni Top 4 finish endapo Chelsea ama Leicester watateleza. All the best Klopp.
YNWA