one by one
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 5,835
- 9,311
Sana tena sana mapenzi yangu yote kwake lakini hichi kitendo hapana kabisa.
Sana tena sana mapenzi yangu yote kwake lakini hichi kitendo hapana kabisa.
Njoo usome komeent yako ,tayari lecister kashampiga united na ole kawapa point 3 kwa kuweka kikosi dhaifu ,vip nyie leo wanyama ni wakali sana
Cavan
Bruno
Pogba
Aiseee
======
McFred
Rashford Fernandes Pogba
Cavani
=======
Mnatokea wapi nyie jamaa kwa huo mziki hapo juu?
Huna kikosi cha kuifunga man utd wewe ..
Unabadilisha gia angani eehHapa ni either chelsea au lecister atoke top 4 ...
Ni swala la muda tuu
Lecister akifungwa na chelsea ,then akashinda match ya mwisho hutaweza kumtoa ...Unabadilisha gia angani eeh
Ni hivi hapo yeyote anaweza akatolewa either Chelsea or Leicester kwasababu ukiangalia GD kati yangu na leicester ni ndogo sana hivyo Leicester tunaweza kumtoa kwa GD, Lakini pia chelsea kama atapoteza game na Leicester bas ntamtoakwa kumzid point. Sijui umenielewa???Lecister akifungwa na chelsea ,then akashinda match ya mwisho hutaweza kumtoa ...
Chelsea pekee ndio yupo danger zone mpaka sasa ...View attachment 1784036
Chelsea hatarini kutoka top 4 ..Ni hivi hapo yeyote anaweza akatolewa either Chelsea or Leicester kwasababu ukiangalia GD kati yangu na leicester ni ndogo sana hivyo Leicester tunaweza kumtoa kwa GD, Lakini pia chelsea kama atapoteza game na Leicester bas ntamtoakwa kumzid point. Sijui umenielewa???
Hapana haijalishi hata leicester tutamtoa. sisi tukishinda mechi zote tuna point 69 leicester sababu watakutana na Chelsea lazima mtu atapoteza point bado draw ni bora zaidi. itakuja goal difference only ila mechi ya jana imetupa uhai na nafasi zaidi labda tulivuruge wenyewe tu lakini chance kubwa tushinde game zetu zote hawa wawili wataamua hatma zao.Lecister akifungwa na chelsea ,then akashinda match ya mwisho hutaweza kumtoa ...
Chelsea pekee ndio yupo danger zone mpaka sasa ...View attachment 1784036
Hapa ni either chelsea au lecister atoke top 4 ...
Ni swala la muda tuu
form yake mbaya kuliko firmino? yani firmino kuna kipind alikua anamweka benchi mpk JotaNampenda sana Mane lakini kitendo chake cha kukataa kumpa mkono Klop kimenikera sana badala ya kujingalia yeye anataka kumlaumu kocha hata alivyoingia unaona kabisa impact yake ndogo kocha alikuwa sahihi kabisa kuweka nje. Hii ni team sio Tennis kaweka bench sio kwamba mchezaji mbaya ila form yake kwa muda sasa hayuko vizuri na lion tumeona kabla ya kuingia na baada ya kuingia. Natumaini ataomba msamaha vinginevyo team kubwa kuliko mtu anaweza kuondoka narudia nampenda sana Mane lakini jana kile kitendo kimenikera sana.
GD umeiona?Lecister akifungwa na chelsea ,then akashinda match ya mwisho hutaweza kumtoa ...
Chelsea pekee ndio yupo danger zone mpaka sasa ...View attachment 1784036
Halafu team yako imetoka kushinda mechi muhimu sana kwa mustakabali wa sisi kuingia Champions league na walionza wote watatu Salah, Jota na Firminho wamefunga unafanya kitendo kama kila tungekuwa tumefungwa unaweza kusema hasira ya kutoanza halafu kufungwa. Mane kachemka katika hili huwa tunasema Mo mbinafsi ila leo Mane kaonesha ubinafsi. Heshimu wachezaji wenzako heshimu team sisi tunapigani twende UEFA.form yake mbaya kuliko firmino? yani firmino kuna kipind alikua anamweka benchi mpk Jota
kwenye nidhamu nakubaliana na wewe kabisa, Mane kakosea sana tena sana!....Halafu team yako imetoka kushinda mechi muhimu sana kwa mustakabali wa sisi kuingia Champions league na walionza wote watatu Salah, Jota na Firminho wamefunga unafanya kitendo kama kila tungekuwa tumefungwa unaweza kusema hasira ya kutoanza halafu kufungwa. Mane kachemka katika hili huwa tunasema Mo mbinafsi ila leo Mane kaonesha ubinafsi. Heshimu wachezaji wenzako heshimu team sisi tunapigani twende UEFA.
Acha uzwazwa wewe lei akipoteza moja tu awe makini maana kuna GD ndogo mno yeye na liver, akifungwa game moja anaweza kupotea, pona yake ashinde moja asuluhu mojaLecister akifungwa na chelsea ,then akashinda match ya mwisho hutaweza kumtoa ...
Chelsea pekee ndio yupo danger zone mpaka sasa ...View attachment 1784036
Wewe ni chelsea eeh ,Acha uzwazwa wewe lei akipoteza moja tu awe makini maana kuna GD ndogo mno yeye na liver, akifungwa game moja anaweza kupotea, pona yake asinde moja asuluhu moja



