Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hapana chezea Big Sam....

Hawa bado sana presha ya kukaa pale hawawezi kuhimili.

YNWA
I said right from the beginning of the season and I have been saying the same weeks after kwamba our biggest threat was always going to be Pep. Ni vile tu sisi wenyewe tushajichanganya hapa kati.

Hawa kina Rodgers, Ole, nk - they don't have what it takes to cruise a team through a title run-in phase.
Come April, am 100% certain they'll all spectacularly collapse. Pin this post and come back in May to challenge me!
 
Recently tumekuwa na gundu na wachezaji kutoka Bundesliga.
We sign them with fanfare but they end up disappointing us.
Maybe he 👇 will reverse that ugly trend but so far he has been extremely underwhelming (am not disappointed though because he didn't have my vote to join us, so...).

1613376704693.png
 
Mkuu Trent na Robbo wapo hoi hawa niwakupumzishwa lakini je nani acheze hizo nafasi zao na ukumbuke Klopp anamshambulia kutumia flanks na msimu huu asilimia kubwa ni kupitia upande wa Robbo..

Tsimikas pengine ni wakati aanze kupata dikika saa ili Robbo ajikusanye vwa kutosha mechi zimebakia EPL 14 na za UEFA na sio za kupoteza kama tunahitaji kubakia BIG 4.

In the meantime

Bayern Munich are stepping up their pursuit of Norwich City right-back Max Aarons... Huyu dogo kwa kweli angetufaa sana upande wa Trent.. Bayern na Barcelona wameonyesha nia kumdaka sioni tena kama tunaweza kumpata maana Neco sio EPL material bado anahitaji acheze kwingine kwa mkopo hata misimu miwili hivi.

YNWA
Kwa upupu wa beki inayoongozwa na Henderson, bora wapumzike tu milner/tsimikas acheze kushoto na neco acheze kulia
 
Kwa upupu wa beki inayoongozwa na Henderson, bora wapumzike tu milner/tsimikas acheze kushoto na neco acheze kulia
Mtoto Pendwa wa Klopp sasa kimya zile sifa zake tukishinda sasa hakuna ajabu hata lawama hapati zinapelekwa kwa wengine yeye wala haguswi.. Utawasikia tunamkosa Hendo pale kati ndio maana tunapigwa, wengine tunakosa kiongozi pale nyuma ndio maana tunapigwa sasa unajiuliza huyu kiongozi bora Hendo ni kiongozi tu akiwa MF...

Kwa Neco na Milner mara zote walivyopata dakika walipwaya kwenye kushambulia yaani hapo tu ndio wanakwama defensive wise walicheza poa na kama unavyojua TAA nae defensive wise yupo weak tazama Leicester walivyotumia upande wake goli la 3 kwa walijia weakness yake na Kabak hayupo upto speed mikiki ya EPL...

Liverpool tukicheza kama unit wala hakuna wa kutizuia na pia hata mapungufu haya ya mchezaji mmoja hua hayaonekani kwani opposite side wanakua hawapati muda wa kupanga yao jambo ambalo kwa sasa tumechemka.

We need luck to go past the tricky RB guys...

YNWA
 
I said right from the beginning of the season and I have been saying the same weeks after kwamba our biggest threat was always going to be Pep. Ni vile tu sisi wenyewe tushajichanganya hapa kati.

Hawa kina Rodgers, Ole, nk - they don't have what it takes to cruise a team through a title run-in phase.
Come April, am 100% certain they'll all spectacularly collapse. Pin this post and come back in May to challenge me!
Challenging Manchester City is not a walk in the park, hawa Stretford boys waliongoza ligi wakaanza na kuota ubingwa bila kutazama nani anawakimbiza kimya kimya....

Pep is the best kwa sasa mapema wengi waafiki hili itakua powa sana kupanga namna ya kumshusha pale kwa mipango.

Come May Pep ndio bingwa wengine tupambane kubakia UCL spot.

YNWA
 
Unaposema timu kubwa unaamisha timu zipi..

Kwanza hilo la kuweka ofa ni siri ya wahusika na ukumbuke haya yote hayasemwi na wachezaji husika mbali ni bla bla za magazeti na mitadao..

Kwa miaka ya hivi karibu Stev G alibakia Anfield pamoja na kutakiwa na Real Madrid na Chelsea.

Surez alibaki Anfield pamona na kutakiwa na Arsenal na Barcelona.

Bobby Firmino alichagua Anfield badala ya Stretford boys kuleta bla bla.

VVD alichagua kusubiri nusu msimu atue Anfield huku Chelsea kipindi kile wakiwa wamefika bei.

Allison aliichagua Anfield huku nao Chelsea wakiwa wamefika bei.

Mane simu moja tu ya Klopp ilmleta Anfield na kuwakacha Stretford boys..

Chamberlain aliwagomea Chelsea na kutua Anfield.

Elliott alipata ofa kutoka Chelsea, Spurs, Manchester United lakini mwishowe alitua Anfield.

Keita nae Bayern, Barcelona walikua wanamnyatia lakini alichagua majogoo wa jiji.

Klopp alifuatwa na mpaka Babu Fergie akumbali kutua Stretford boys lakini alwagomea na kusema hajaamua wapi atafanya yupo mapumziko na mapumziko yalivyoisha akatua Anfield na kushinda makombe yenye hadhi yote akiwa na Majogoo.

Stefan Bajcetic ametua January akitokea Celta Vigo huku akiwapiga chini Manchester United na Barcelona na kuchagua kuja Anfield.

Kwa haraka haraka nawakumbuka hao.

Ifahamike pia hawa wachezaji ni wafanya kazi hivyo kwao maslahi ndio chaguo la kwanza wapi anatua, cha pili kucheza mashindano ya Uefa na kingine ni aina ya kocha aliepo klabu husika kwa mfano Thiago inasemekana ndoto yake ilikua acheze chini ya Klopp hivyo Manchester City na Manchester United walimkosa kwa sababu hio..

YNWA
Chamberlain ondoa, Chelsea isingemchukua nuksi huyo. Alishawahi kusema akiwa Arsenal kuwa anaichukia Chelsea ndani ya damu yake, sasa boga kama huyo tumpeleke wapi
 
Pamoja na yote mim liverpool bado ninawahesabia ...

Tukiwakimbiza kama point 15 mbele clear hapo kidogo nitakuwa napumua kwa amani ...

Man utd sina wasiwasi nao kabisa ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom