Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,999
- 27,975
Leo ndo umeliona pengo la Coutinho? Sio nyinyi mliokuwa mnasema kwa kikosi kile hamuwezi kummiss huyo jamaa?Hiki kikosi kinahitaji real shake up..
Yule namba 10 design ya Coutinho kwa kweli ni muda sahihi sasa ma scouts wamlete...
Hatuna wachezaji design ya Foden, Fernando, Silva nk wa kufungua defensi.. Yaani leo tumechanwa laivu lol...
Kutegemea Robbo na TAA hii inapitwa na wakati bila defensi na MF kamili hawawezi kua effective vilivyo...
Klopp go for Maxmilman Pale Newcastle anatufaa sanaaaaaaa...
YNWA
