Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Siku tukija kugundua kuwa tatizo siyo majeruhi, tatizo siyo wachezaji kuchoka bali tatizo ni kocha. Tutakuwa tumeshachelewa.

Iweje kuchoka na majeruhi yatuathiri mechi za Fulham, West Brom, Brighton (x2), Southampton, Newcastle, Burnley na Aston Villa!

Ila kuchoka na majeruhi hakutuathiri tukicheza na Tottenham, Leicester, Man City, Man Utd, Chelsea, Arsenal, Wolves, na zingine zenye ubora kwenye ligi?
Yamekuwa haya tena?

Kwahiyo tumtoe Klopp?
 
Hata mechi ya Burnley nilifungwa lakini jitihada zilikuwa zinaonekana ni ile ilitokea bahati mbaya tu, leo umechezwa utopolo sijapata kuona, cjui mara ya mwisho kuona liverpool ya hovyo kama hii ya leo ilikuwa lini tu?
Sijui tuzoee hizi timu under position 10 zitakua zinakuja na mentality hii maana sio jana tu ni mechi za hawa wenye kiu ya kubakia EPL ndio zinatusumbua haswaa..

Klopp kwa mara nyingine tena kawachukulia powa Seagulls na matokeo yake kachapwa safi yaani hakuna cha VAR wala nani tumepigwa kiroho safi..

Huyu kocha tangu alivyoichukua hii timu nimemfuatilia maana jamaa walimpa mkataba nadhani wa miaka 6 nikajiuliza ebo kunani wakati makocha EPL hua mkataba ni miaka 2 au 3 sana sana na hakika nasema anastahili kwani jamaa wanacheza soka moja safi sana yaani wanaanza sasa kua na identity ya anavyotaka mwalimu wao.. Soon hii itakua bogey team kama miaka ile Wigan alivyokua kiboko ya Top Teams..

Mpaka sasa ubingwa binafsi nasema Manchester City washindwe wao

YNWA
 
Mnafungwa na Brighton????msimu huu Klopp hatabeba kombe lolote amedharau Carabao na FA cup kwa kuona ni makombe madogo but kwa sasa ataanza kuyajutia sababu EPL na Champions league hatabeba

Klopp hakuna mahali imeandikwa kwamba ni lazima achukue kombe kila mwaka.

Hii ni nafasi kwa timu zenu kuchukua makombe sasa, maana Klopp kawaachia
 
Timu hua ikishachukua makombe yote,hua ile njaa ya ushindi unapotea,wachezaji wanaona wana kila kitu.
Timu sasa inabidi ianze kutengenezwa upya. Nusu ya wachezaji waondoke damu mpya ije ambao hawana medali yoyote.
Kwa wachezaji hawa hawa hatutaona mabadiliko yoyote
Madrid kachukua uefa mara tatu mfululizo nyie kuku mmebeba kombe moja tu mnaanza kusema morali imeshuka ,,,, juve kabeba kombe mara 9 mbona morali yao haishuki
 
Adjustments.jpg
 
No
Mane
Kipa Becker
Fabihno
Matip
VVD
Gomez
Jota

Liverpool HALISI tuchukulie matokeo ya hii mechi kama changamoto yetu ya majeruhi,tuzidi kuwa nyuma ya team nawaomba sana
Tumekusikia mwenye kiti.
Sisi Livakuku HALISI tunasema bado tuko nyuma ya timu, kwa matokeo yoyote, kwani hii timu tumeipenda wenyewe wala hatuja shikiwa manati.
 
Against Burnley you said we lost a game because there wasn't HENDO inside the pitch, Today HENDO was in starting line-up but I bet someone will say "We lost because Mane didn't play".
Ridiculous
Kua mpole bro.

Unabishana na mwenye kiti?

Unafikiri bila Mane VVD Matip Jota sisi tunajua kitu?

Mwenye kiti akiongea haipingwi.
Livakuku HALISI for life.
 
I have been proved wrong.

Earlier this season after VVD got injured, my thinking became like one of those "top reds" - believing that Klopp's mere presence at Anfield would miraculously clinch us the league this season. How did I get that so wrong!

With the currently stretched resources at his disposal, I suggest Klopp should be "knighted" if he even makes the top 4 this season.

Thiago's recruitment (which I personally disapproved right from the outset having seen how the BFC & LFC playstyles differ) was more of a "political ploy to please the 'voters'" than adding substance because it's all well documented on how Klopp wants his midfield to play - and Thiago doesn't fit that template and it's showing!

Thiago is not the only problem though. We have got problems all over the kitchen. A non-conventional backline (led by midfielders) is one. Lack of the relentless graft in the midfield that we are used to is another.

But there's this inconsistent strikeforce, especially our wayward # 9.
It's very unfortunate that Jota has been injured at a time when he's needed most. Our accustomed front 3 appear to be wearing out and it's inevitable if you historically look back at the EPL front 3 trend since 2004 (see below).
All the previous renown front 3s were able to effectively function together for 2.5 years average at best. Ours have managed to surpass that mark as the table below suggests - so one has to understand how that must have affected their performances!

1612421473683.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom