Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Hivi Manchester United kweli wana ndoto kabisa kumshusha Pep kileleni haha nwei ni msimu wa maajabu lolote lile linawezekana aisee japo kwangu naona ngumu sana...Niwambie tu Washabiki wa Man United kuwa sisi Liverpool hatuna uwezo wowote wa kumfunga Man City hivyo atatufunga tu hata tufanye nini, kwahiyo tafuteni njia nyengine ya kupunguza game la points na Man City na si kupitia mechi yetu.
Bila KBD, Aguero na Laporte wanashinda na wameshinda gemu 13 mfululizo huu ni ujumbe tosha wanachokitaka msimu huu ni ubingwa tu na pengine kama wana bahati basi UCL nayo ipo wazi kwa mwenye mipango dhabiti kuichukua..
YNWA
