Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Aisee!
Unaweza kufanikiwa kumfunga City, lakini bado hiyo haiwezi kutosha kukupa ubingwa kama utakuwa unagawa points kwa hizi timu ambazo City akikutana nazo anazifumua. Mnachokifanya ni sawasawa na kuchota maji kwenye pipa kwa kutumia tenga.
Watakuwa hawana tofauti na Arse8 kwa sasa..

Ngoja nicheke zangu..

Anfield
 
Siku tukija kugundua kuwa tatizo siyo majeruhi, tatizo siyo wachezaji kuchoka bali tatizo ni kocha. Tutakuwa tumeshachelewa.

Iweje kuchoka na majeruhi yatuathiri mechi za Fulham, West Brom, Brighton (x2), Southampton, Newcastle, Burnley na Aston Villa!

Ila kuchoka na majeruhi hakutuathiri tukicheza na Tottenham, Leicester, Man City, Man Utd, Chelsea, Arsenal, Wolves, na zingine zenye ubora kwenye ligi?
 
Vibonde vinatoka na clean sheet anfield

Aiseeee ni jambo la kutafakali

Liverpool vs burnely (0-1)

Liverpool vs brighton (0 -1)


Je hizo timu ziko na CB wakali kiasi kwamba kina salah hawaoni lango ?

Au klop hana mbinu kwa timu inayojilinda
 
Siku tukija kugundua kuwa tatizo siyo majeruhi, tatizo siyo wachezaji kuchoka bali tatizo ni kocha. Tutakuwa tumeshachelewa.

Iweje kuchoka na majeruhi yatuathiri mechi za Fulham, West Brom, Brighton (x2), Southampton, Newcastle, Burnley na Aston Villa!

Ila kuchoka na majeruhi hakutuathiri tukicheza na Tottenham, Leicester, Man City, Man Utd, Chelsea, Arsenal, Wolves, na zingine zenye ubora kwenye ligi?

Thers is a problem somewhere we must accept the truth kwamba kumfunga Brighton doesn't need VVD au FABINHO.
 
Klopp is Gineous as we used call him, but kuna shida imeshaanza kujitokeza, Those Teams out of Top 10 tunashindwa kufurukuta but we are very dangerous kwa Timu za Top Four hii obviously ni small Team Mentality.

Hatuna Plan B kwa Timu zinazodefend deep that's why even Anfield Sasa inageuka Shamba la Bibi. Klopp a-refresh mbinu zake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom