Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nimepitia Platforms mbalimbali nimegundua kuwa Washabiki wa Manure na Arsenal wanalazimisha kuwepo na mgogoro baina ya Mashabiki wa Liverpool na Klopp.
But kwa bahati mbaya kwa upande wao ni kwamba Mashabiki wa Liverpool na waelewa kuhusu uwezeshaji wa Timu yao na wanajua ni wapi hasa penye tatizo la msingi.
 
Wacha January ipite maana ndo mwezi wetu mgumu. But hofu yangu utapita tukiwa wa7 au 8. Maana next ni London Tottenham na westham
 
Mkuu hujamsikia Klopp kuhusu usajili?
Alishasema last week kuwa alipelekea pendekezo la kununua CB lakini FSG wakalikataa kutokana na Financial Policy yao. Hivyo yeye si Mtoto mdogo wa miaka 5 hawezi kulia kwa kukosa kupewa alichokitaka
Klopp kama Klopp ameshawajulia hawa FSG kaona isiwe taabu lawama zote kwake kama vile hahitaji aletewe wachezaji wapya...

Mkuu kuna jambo nashindwa kuelewa kwamba madhara ya Covid kwa Liverpool ni makubwa zaidi ya wengine maana huu wimbo wa mipango ya usjili kukwamishwa na covid ndio wimbo wao sasa... Kiasi hata usajili wa Jota na Tsimikas walikua chaguo la pili ama tatu vile.. Chaguo la kwanza akina Timo ilishidikana kwa vile Covid ilimega ela wa usajili nk... Sasa January tena habari ni hizo hizo...

Kuijenga timu kua BIG 4 consecutively sio jambo rahisi.. Tumeona vibopa Manchester United misimu kadhaa akaisaka big 4 kwa tochi..kwa namna hali inavyokwenda kasi na matokeo ndio kama hivi hivi sasa ni rasmi target yetu na Big 4 na upo uwezekano nayo tukaikosa endapo ushindani utazidi kuimarika hivi...

YNWA
 
  • Origi tutafute mteja
  • Xhaqiri tutafute mteja
  • Salah tutafute mteja
  • Gini aruhusiwe aondoke
  • Matip atafutwe mteja
  • Wilson atafutwe mteja
  • Nat Phillips atafutwe mteja
  • Adrian Arudishwe Mtaani
  • Keita atafutwe mteja
  • OX atafutwe mteja
  • Grujic atafutwe mteja

Mpaka hapo tutapata hela ya usajili kupitia sera yetu ya Sell to Buy.
In this covid era Mkuu unadhani Salah bei yake ya =100m kuna timu inaweza toa..

Shaqir, Wilson, Grujic, Nats walikua sokoni dirisha kuu October lakini hakuna aliefika bei zaidi ya kuwatoa kwa mkopo na wengine kubakia klabuni..

Kwenye hio list ongezea na Milner wampangie kazi myingine ama ahamie Leeds...

FSG ela watatoa ama Klopp atawakimbia mazima..

Tunahitaji CB mmoja, MF mmoja na namba 9 mmoja..


YNWA
 
In this covid era Mkuu unadhani Salah bei yake ya =100m kuna timu inaweza toa..

Shaqir, Wilson, Grujic, Nats walikua sokoni dirisha kuu October lakini hakuna aliefika bei zaidi ya kuwatoa kwa mkopo na wengine kubakia klabuni..

Kwenye hio list ongezea na Milner wampangie kazi myingine ama ahamie Leeds...

FSG ela watatoa ama Klopp atawakimbia mazima..

Tunahitaji CB mmoja, MF mmoja na namba 9 mmoja..


YNWA

Klopp alibugi step since mwanzo wa msimu, baada ya kupata mafanikio huku akijua sera za FSG alikua ahame tu! Lakini alijiona bado anaweza kufanya miujiza kwa wakina Origi akaona abakie madhara yake ndiyo haya anataka kuiharibu legacy take bure kupitia reference ya Dortmund na Mainz.
 
Ollachuga Oc naona umeamua kufukuza kocha.... Nilikua nashangaa sana mbona hawa bookies wapo kimya sana na meneja anaefuata kupigwa KO.. Pole zake Lampard amepata somo muhimu sana...

Sasa lile domo lake kwa Klopp atakua hana pa kulisemea..

Sisi hatuna shinda na kocha wetu tunatimua hawa wachezaji mizigo...

YNWA
 
Klopp alibugi step since mwanzo wa msimu, baada ya kupata mafanikio huku akijua sera za FSG alikua ahame tu! Lakini alijiona bado anaweza kufanya miujiza kwa wakina Origi akaona abakie madhara yake ndiyo haya anataka kuiharibu legacy take bure kupitia reference ya Dortmund na Mainz.
Klopp inabidi reference yake iwe nini kilichomfanya babu Fergie kushinda EPL 13 Trafford na sio aje na mambo yake ya Mainz ama Dortmund hilo kasha feli...

Mwanzoni mwa dirisha kuu la October 2020 nakumbuka alikua anawatetea hawa FSG kwenye hii ishu ya usajili kipindi hicho alikua hajapata pigo la wachezaji wake tegemezi kua majeruhi ya muda mrefu... Sasa mambo yamebadilika majeruhi hao na replacements haziji na hayupo tena tayari lawama zije kwake wakati ana mapungufu kikosini na ambayo muda ni sasa kuyatatua...

YNWA
 
Ni mwendo wa kujaza viserengeti Anfield 😂😂😂👌👌👌👌

Liverpool are winning the race for Derby County forward Kaide Gordon in a deal worth more than £1m for the teenager.

YNWA
 
Bado tutaendelea kupita kwenye wakati mgumu kama tutaendelea kuwakosa wachezaji wetu muhimu. VVD, Matip na Gomez ndio walikuwa Roho ya backline yetu. Sasa hawapo. Klopp amrudishe mzee Milner acheze kama centre back au aanze kumwamini Simikis. Huyu dogo mrembo haweze kukabiliana na wachezaji wa aina ya rashford kwa mbio na nguvu walizo nazo, kumbuka next game ni spurs tena London.

Tumvumilie tu Klopp, maana bado ni kocha bora na mzuri kwa sasa kwenye soka la ulaya. Nachokiona ni pamoja na kuwakosa wachezaji muhimu pia kuna ambao wameshuka viwango. Bobby total ni flop ila klopp kashindwa kuliona hilo. Ampe Origi au Minamino nafasi. Middle zetu zipo vizuri hasa baada ya Thiogo kurudi. Gianni, Jones, Captain wote wapo vizuri.
Mane na Salah wapo vizuri tu shida ipo kwa Bobby firmino.
Tuendelee kushikamana hili nalo litapita na tutarudi kwenye track

YNWA
CC. Malafyale
 
Ni mwendo wa kujaza viserengeti Anfield 😂😂😂👌👌👌👌

Liverpool are winning the race for Derby County forward Kaide Gordon in a deal worth more than £1m for the teenager.

YNWA

Mwanzo walituingiza Mkenge wengi sana walipotuaminisha kuwa wanasajili Vitoto kwa ajili ya Future Plan kumbe ndiyo sera zao mbovu za usajili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom