Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_2968.jpg

Tupo pamoja wana Liverpool HALISI
Wabeja sana!
 
Liverpool HALISI tunasemaje "If yu kant sapoti az wen wi droo or loz, dont sapoti az wen wi win"

Tuzidi kushikamana na kuwa nyuma ya Timu tuwaache Liverpool MASLAHI wawatukane wachezaji.

Wakati tukaendelea kushikamana sisi Wana Liverpool HALISI tumkumbuke kwenye maombi yetu Firmino, tumwombee awe wa kwanza kupata timu kati ya front 3 yetu atuache kidogo.
 
Using a 19-year old kid at that level is unacceptable...someone somewhere (not the gaffer obviously) must be held accountable.

Hurts to get beat by the mancs. We cannot merely push this result under the carpet just like that!
 
Liverpool mkiambiwa hamna kikosi kipana

Mlikuwa hamuelewi maana yake


Goli la Pili la rashford aisee limeonesha huko nyuma kumepwayaa ..pengo la vvd halizibiki
 
Manure wamepiga Bomu Motuary wanavyosherehekea utadhani wametukuta tunashinda kila mechi

Aliekosekana ni VVD tu ambae ana uhakika wa namba ktk timu ya jana mlitufunga 2-0 pale kwenu mwaka jana angalia kile kikosi kilivyokuwa cha manchester unite injury zilikuwa nyingi sana bora hata nyie ni vvd tu
 
Aliekosekana ni VVD tu ambae ana uhakika wa namba ktk timu ya jana mlitufunga 2-0 pale kwenu mwaka jana angalia kile kikosi kilivyokuwa cha manchester unite injury zilikuwa nyingi sana bora hata nyie ni vvd tu
Pengo la vvd limezibwa vizuri mno na fabinho, sometimes klop sijui anavutaga bange za wapi, William 46 yule mrembo gemu nyingi kachemka vibaya lkn klop kakomaa naye tu, Philips 47 the boy is matured anatosha kabisa kumkalisha bench Gomez, lkn cha ajabu klop kapuuzia huduma ya yule Dogo. Pain killer
 
Pengo la vvd limezibwa vizuri mno na fabinho, sometimes klop sijui anavutaga bange za wapi, William 46 yule mrembo gemu nyingi kachemka vibaya lkn klop kakomaa naye tu, Philips 47 the boy is matured anatosha kabisa kumkalisha bench Gomez, lkn cha ajabu klop kapuuzia huduma ya yule Dogo.

Kweli na kitu ya pili niliyogundua toka mech hii inapangwa klopp hana bahat na vikombe vidogo vya ndani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom