Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jaribu kupitia Comments zetu japo za masaa 12 yaliyopita utaona kuwa hatuna tatizo lolote na Klopp hata tukishuka Daraja tukaenda Championship bado tutakuwa na Imani na Klopp kwani anayesababisha matatizo yote haya tumeshamzungumzia sana tu na wala sio Klopp.
Hivyo sidhai kama unaweza kuona KloppOut kwenye huu Uzi.
Huu utulivu mnaouonyesha ni maandalizi ya kimbunga.
 
insta_2493889865155065743.jpeg
 
Hawa owners wananishangaza sana
Wanashindwa kuibeba timu Kwa stupid policy ya sell first huku hela ipo..

Hawatazami mpira?Hawaoni hatuna subs kabisa??

Yaani tumewapa ujiko WA bure Man u..
If only tungenunua CB mapema
 
Hawa owners wananishangaza sana
Wanashindwa kuibeba timu Kwa stupid policy ya sell first huku hela ipo..

Hawatazami mpira?Hawaoni hatuna subs kabisa??

Yaani tumewapa ujiko WA bure Man u..
If only tungenunua CB mapema
Umetupa ujiko unadhani pia hatuna Quality kwenye kikosi chetu ya kuwafunga nyie Liver?..unawapa ujiko kina Burnley huko sio sisi,sisi ni vinara wa ligi,embu tupe heshima kidogo

Mashabiki wa Liver huwa ni maskini jeuri/mwenye dharau..
 
Kwa hiyo wadau tunajiteteaje!

Ni Mick Mouse Cups au majeruhi wengi!
Both hahaha... Ongezea na soka ni mchezo powa sana yaani 1 mistake 1 goal...

Rys kama Rys kafanya yake...

Honestly huyu dogo mpaka sasa kwa nafasi alizopata Team A alitakiwa awe ameiva kiasi fulani lakini kwa mara nyingine tena anafanya yake and dearly costly...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom