Aisee Liverpool ni timu yangu lakn record huwa zinavunjwa na msimu huu hatuko vzur kabisaaaa
Aisee Liverpool ni timu yangu lakn record huwa zinavunjwa na msimu huu hatuko vzur kabisaaaa
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Yap ni mimi na wewe tu ndio LIVERPOOL PEP tuliobaki, chama chetu kimepoteza wanachama wake katika hiki kipindi cha mpito.Karibu wote kwenye burudani isiyo na stress LIVERPOOL PEP Tupo uwanjani.
Unaangalia mpira pembeni unakunywa kahawa saffffi.
Yap ni mimi na wewe tu ndio LIVERPOOL PEP tuliobaki, chama chetu kimepoteza wanachama wake katika hiki kipindi cha mpito.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hicho chama kina kiongozi kiande kama wa chama cha Wanalumumba.Mkuu karibu Liverpool HALISI tunakuhitaji sana huku tushikamane tujenge Timu.
Maisha yanakwenda kasi sanaaaaSoon tunaweza jikuta kwenye Table namba hii 👇
7. Liverpool FC
Kwa taarifa hii ya Deloitte ni wazi pesa ipo hivyo FSG waache danganya toto..
Bila UCL tumekwishaaaaaa..
![]()
Deloitte Football Money League: Liverpool join Man Utd in top five for 2019-20
Barcelona and Real Madrid head the Deloitte Football Money League list for the 2019-20 season; Champions League winners Bayern Munich are third, Manchester United fourth and Liverpool fifth in the list, which charts the financial performance of the highest revenue-generating clubswww.skysports.com
YNWA
Uwanjani matokeo yakiwa ni ushindi ujue makombe yatakuja tu na hayo huja na mkwaja mzito pia wadhamini nao wanakuja na ofa kambambe hivyo brand inakua nzito inajiuza yenyewe....Mapato ni £489.9M lakini bado tunategemea tuuze ndiyo tusajili.
Anyway from lounghing stock to Top 5 kiukweli tumepiga hatua! Mpaka kufikia Man City, Chelsea na Arsenal Kuwa nyuma yetu ujue kazi haikuwa ndogo kwani walituburuza kwa miaka mingi.
View attachment 1687612
Round ya pili ndiyo kwanza inaenda kuanza! Bado sana maana chochote chaweza kutokea!Manchester City bingwa wa EPL 2020-2021 ametuacha pointi 7 na wote tumecheza gemu sawa 19...
Tujipange kwa msimu ujao.. Huu FSG hawapo kwa kweli wapo lockdown.
YNWA