Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wewe ni kibaraka wa timu gani ..nakuona kama kigeugeu..kama sio arsenal inayokufa basi wewe ni Chelsea inayozama baharini au man city inayokata roho

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha eti arsenal iliyokufa ngoja wenye timu zao waje ..ohoo

Ina maana hujui hadi leo mimi ni shabiki ndaki ndaki wa The Blues? Timu ya baba, timu ya mama, timu ya babu, tumu ya bibi..
Amia Chelsea mkuu acha kuzubaa mjini hapa..
 
Nimepitia Platforms mbalimbali nimegundua kuwa Washabiki wa Manure na Arsenal wanalazimisha kuwepo na mgogoro baina ya Mashabiki wa Liverpool na Klopp.
But kwa bahati mbaya kwa upande wao ni kwamba Mashabiki wa Liverpool na waelewa kuhusu uwezeshaji wa Timu yao na wanajua ni wapi hasa penye tatizo la msingi.
On point...

YNWA
 
Ollachuga Oc naona umeamua kufukuza kocha.... Nilikua nashangaa sana mbona hawa bookies wapo kimya sana na meneja anaefuata kupigwa KO.. Pole zake Lampard amepata somo muhimu sana...

Sasa lile domo lake kwa Klopp atakua hana pa kulisemea..

Sisi hatuna shinda na kocha wetu tunatimua hawa wachezaji mizigo...

YNWA
Yani sisi hatuna cha kujenga timu mkuu ..kama.klopp angekuwa Chelsea, na angeboronga mechi kadhaa basi tungefekelea mbali tu hakuna namna kabisa. Lampard anafaa kufundisha timu kama arsenal au Fulham huko
 
Yani sisi hatuna cha kujenga timu mkuu ..kama.klopp angekuwa Chelsea, na angeboronga mechi kadhaa basi tungefekelea mbali tu hakuna namna kabisa. Lampard anafaa kufundisha timu kama arsenal au Fulham huko
Dhubutu yaani huyu Mr. Liverpool Klopp afuate nini Chelsea wakati anajua fika boss wenu haelewi maana project...

Klopp hajawai kua desperate na kazi anakwenda kwa plan baada ya kuuziwa project na wenye timu na pia utayari wake na nafasi... muulize Babu Fergie alivyomfuata Klopp 2013 amridhi pale Old Trafford alijimbiwa aje...

Chelsea haina hadhi ya kocha aina ya Klopp...

Pale mtapata tu wapigaji wanakula ela haooo wanasepa na kwa vile zipo za mafuta ya Urusi wapige tuu...

YNWA
 
Nimepitia Platforms mbalimbali nimegundua kuwa Washabiki wa Manure na Arsenal wanalazimisha kuwepo na mgogoro baina ya Mashabiki wa Liverpool na Klopp.
But kwa bahati mbaya kwa upande wao ni kwamba Mashabiki wa Liverpool na waelewa kuhusu uwezeshaji wa Timu yao na wanajua ni wapi hasa penye tatizo la msingi.
Hiki ulichoandika ni practicable? Kwamba chuki yenu isababishwe na watu wa kando? Kwenye mpira chuki ya mashabiki na kocha husababishwa na matokeo.

Iangalie Real Madrid ya sasa na Man U ya sasa.
 
Wazee wako wote wanashabikia Manchester United (nawajuwa nimesoma nao ) ni wewe tu ulie amua kujichetua.
Hahahahaha eti arsenal iliyokufa ngoja wenye timu zao waje ..ohoo

Ina maana hujui hadi leo mimi ni shabiki ndaki ndaki wa The Blues? Timu ya baba, timu ya mama, timu ya babu, tumu ya bibi..
Amia Chelsea mkuu acha kuzubaa mjini hapa..
 
Mmekomaaaaaaa.????
JamiiForums-702403735.jpg
 
Klopp kulinda heshima yake msimu huu ukiisha na hakuna hela ya usajili namshauri awaachie timu yao.

Watafute kocha wa kubuy na kusell.

Timu imepata mafanikio makubwa football wise na financially, lakini mijitu hata kutoa hela ya kununua wachezaji inasema corona. Kabla ya corona walimnunua nani?
 
Zamu yako kuzinga.
Klopp kulinda heshima yake msimu huu ukiisha na hakuna hela ya usajili namshauri awaachie timu yao.

Watafute kocha wa kubuy na kusell.

Timu imepata mafanikio makubwa football wise na financially, lakini mijitu hata kutoa hela ya kununua wachezaji inasema corona. Kabla ya corona walimnunua nani?
 
Klopp kulinda heshima yake msimu huu ukiisha na hakuna hela ya usajili namshauri awaachie timu yao.

Watafute kocha wa kubuy na kusell.

Timu imepata mafanikio makubwa football wise na financially, lakini mijitu hata kutoa hela ya kununua wachezaji inasema corona. Kabla ya corona walimnunua nani?
Klopp naona akitua Barcelona ama timu ya Taifa ya Ujeremani...

FSG ni beberu alievaa miwani ya mbao..

Klopp aneleweka sipati picha namna timu kubwa kama Juventus, Bayern, Real Madrid, Barcelona, Manchester City watakua wanafuatilia hii picha ya kihindi Anfield inavyokwenda...

Dirisha bado siku kadhaa na cheque book FSG watadai ilishindwa tua Uingereza kwa vile corona inawazuia kutua na ndege Heathrow.. Mwaka huu tutayasikia mengi..

YNWA
 
Wazee wako wote wanashabikia Manchester United (nawajuwa nimesoma nao ) ni wewe tu ulie amua kujichetua.
Hahaha mimi nimerithi kushabikia Chelsea toka baba, baba naye karisi kwa babu(babaye) sasa nitanzaje kushabikia manure?? Kwanza kwenye ukoo wetu hakuna shabiki wa manure wala simba...
 
Nimegundua kumbe mchezaji wa mbele asipo funga basi hafai.

Firminho katoa asisti 2 lakini kaitwa kibudu.

Hahaha, humu ndani kila ntu na ntu yake, sisi Liverpool HALISI tuko nyuma ya wachezaji wote ila Henderson ni zaidi.

Kuna msemo wa kwenye kitabu cha Animal Farm, nguruwe walibadili katiba kutoka kwenye "All Animals are Equal" kwenda "All Animals are Equal but Some are More Equal Than Others"

Na sisi tunasema All Players Are Equal But Henderson Is More Equal Than Others.

Firmino atusubiri kwanza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom